×

Rais Dkt. Samia Awasalimia Wananchi Wa Namanyere Mkoa Rukwa – Video

Rais Dkt. Samia akizungumza na Wananchi wa Namanyere Wilaya ya Nkasi Mkoa Rukwa mara baada ya kuanza Ziara yake Mkoani humo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwasalimia Wananchi wa Namanyere Mkoa Rukwa ikiwa ni sehemu ya Ziara yake inayoanza Mkoa huo Julai 15, 2024 ambapo alikagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo.


Leave a Comment