×

Rais Samia Azungumza na Watanzania wakiwemo wafanyakazi, wanafunzi na wafanyabiashara wanaoishi China

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watanzania wakiwemo wafanyakazi, wanafunzi na wafanyabiashara wanaoishi nchini China (Diaspora) kwenye mkutano uliofanyika Jijini Beijing tarehe 06 Septemba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Watanzania wakiwemo wafanyakazi, wanafunzi na wafanyabiashara wanaoishi nchini China (Diaspora) kwenye mkutano uliofanyika Jijini Beijing tarehe 06 Septemba, 2024.

Rais Samia akutana na Watanzania wanaoishi nchini China (Diaspora).

 

Leave a Comment