
Je, una shauku ya kufanya kazi kwenye mazingira ya mauzo na huduma kwa wateja? Hii ni fursa yako ya kujiunga na timu yetu.
📍 Eneo la Kazi: Dar es Salaam (Shopping Malls)
Sifa za Mwombaji
- Awe amehitimu angalau Kidato cha Nne (Form Four).
- Awe na uwezo mzuri wa kuwasiliana na wateja.
- Awe mwaminifu, mchapakazi na mwenye nidhamu.
- Uzoefu katika mauzo au huduma kwa wateja utazingatiwa kama faida ya ziada.
Majukumu ya Kazi
- Kuhudumia wateja kwa weledi na heshima.
- Kuuza bidhaa na kufikia malengo ya mauzo.
- Kupanga na kutunza bidhaa dukani.
- Kuhakikisha duka linakuwa safi, nadhifu na lenye mpangilio mzuri.
Mshahara na Maslahi
- 💰 Mshahara: TSh 500,000 kwa mwezi.
- 🎯 Bonus kulingana na utendaji wa kazi.
Jinsi ya Kutuma Maombi
Tuma CV yako kupitia WhatsApp kwa namba:
📲 0656 116 023
Waombaji watakaokidhi vigezo watawasiliana nao kwa ajili ya usaili.
Karibu ujiunge na timu yetu!