×

Benki ya NCBA Yaendelea Kupanua Wigo, Yafungua Tawi jipya Zanzibar

 

Waziri wa Fedha na Mipango wa Zanzibar, Mhe. Balozi, Mohamed Ramia Abdiwawa (wa pili kulia) akizindua nembo ya benki ya NCBA kwenye hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la benki hiyo lililopo jengo la Muzamil mtaa wa Mlandege mjini Zanzibar. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi,Mhe. Hassan Khatib, Mkurugenzi Mkuu wa NCBA Bank Tanzania Limited, Margaret Karume, Mshauri wa Raisi wa Zanzibar, Mhe. Abdulrahman Mwinyimbegu, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Mhe. Hassan Hafidh na mwisho kushoto ni Mkurugenzi wa Biashara na Huduma za Kidigitali NCBA Bank, Gift Shoko.                                                                                                                                           
Waziri wa Fedha na Mipango wa Zanzibar, Mhe. Balozi, Mohamed Ramia Abdiwawa akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NCBA nchini, Margaret Karume kwenye hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la Benki hiyo lililopo jengo la Muzamil mtaa wa Mlandege mjini Zanzibar.              
Waziri wa Fedha na Mipango wa Zanzibar, Mhe. Balozi, Mohamed Ramia Abdiwawa akizungumza na wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya NCBA lililopo jengo la Muzamil mtaa wa Mlandege mjini Zanzibar.

Leave a Comment