Mwenyekiti wa kanisa Katoliki Mkoani Shinyanga amejikuta katika matatizo mazito baada ya kutuhumiwa kumpa Ujauzito mwanafunzi wa kidato cha pili hali iliyosababisha mwanafunzi huyo kukatisha masomo yake.
Mwenyekiti wa kanisa Katoliki Mkoani Shinyanga amejikuta katika matatizo mazito baada ya kutuhumiwa kumpa Ujauzito mwanafunzi wa kidato cha pili hali iliyosababisha mwanafunzi huyo kukatisha masomo yake.