Klabu ya Al Sadd Sc imethibitisha kuwa Xavi Hernandez ameondoka klabuni hapo na kujiunga na Fc Barcelona kama kocha Mkuu Barcelona wamelipa kiasi cha €5m ili kuvunja mkataba wake na timu hiyo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.