Leo ni ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ambapo shughuli ya utoaji wa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2022 inafanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Leo ni ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ambapo shughuli ya utoaji wa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2022 inafanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.