×

MEI MOSI Mtaka awa Kivutio

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ndugu Anthony Mtaka leo amekuwa kivutio wakati alipoongoza Walimu katika maandamano ikiwa sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi),Picha 3 hizi zilizopigwa na Adam H. Mzee zikimuonyesha Mkuu wa mkoa huyo akiongoza Waalimu hao kupita mbele ya jukwaa kuu.

Leave a Comment