ILIPOISHIA RISASI JUMATANO
Nilipata tabu sana kumwambia inatosha maana kila nilipojaribu kusema, hakuwa ametoa ulimi wake kinywani mwangu, nikabaki namsukuma lakini wapi! Alining’ang’ania mpaka nikajikuta naishiwa nguvu na kulegea…
SASA ENDELEA…
“Twende chumbani basi,” akaniambia…”
Aliponieleza hivyo nikabaki nikimwangalia kwa kumlegezea macho, kwa kuhofia kufumwa na afande Marwa na Mwita nilishindwa kumkubalia au kukataa.
“Mbona unaniangalia ina maana hujanisikia?” aliniuliza.
“Mimi kwenda ndani na wewe sitaweza kufanya hivyo…”
“Kwa nini?” aliniuliza.
Nilimweleza kwamba ikitokea wenzake wamerudi ghafla itakuwa balaa kwani wanaweza kunijeruhi kwa kipigo kama siyo kuniua kabisa.
Nilipotoa kauli hiyo, alicheka na kuniambia kumbe nilikuwa muoga, sasa kama sikutaka kuingia ndani atatoa siri yangu.
Aliponiambia hivyo, moyo ulipiga paa kwani nilielewa hatari iliyokuwa mbele yangu kama angemwambia afande Mwita kwamba niliingia chumbani kwa afande Marwa lingekuwa bonge la msala.
“Bado unaendelea na msimamo wa kutotaka kuingia ndani, kwanza hatuendi kukaa muda mrefu sijui unaogoa nini binti mzuri,” aliniambia.
Aliponisifia kwamba nilikuwa binti mzuri, japo moyoni sikuwa tayari kufanya naye mapenzi nilifurahi na kuachia tabasamu.
Moja kwa moja alipoona nimetabasamu akajua nilikubaliana naye akanishika mkono na kuniongoza chumbani kwake kama vile nilikuwa mkewe.
Tulipofika hakunipa nafasi, akakivamia kifua changu na kuanza kukishika na kuhamia maeneo mengi aliyopendezwa nayo.
Licha ya pale mlangoni kula denda lililonifanya niishiwe nguvu na kulegea, jamaa huyo ambaye kwa muda mfupi niliokuwa naye nilibaini alikuwa akipenda sana kula denda, akanivutia maungoni mwake, akatoa ulimi na kuuelekeza kinywani mwangu.
Alipofanya hivyo, niliudaka na kinywa changu, akaanza kuuchezesha huku akiuvuta na kuung’ata kimtindo ulimi wangu mwili ukanisisimka.
Pamoja na utundu alionifanyia, moyo wangu haukuwa radhi kubilingika na jamaa huyo ambaye hakunivutia kama ilivyokuwa kwa maafande wenzake akina Mwita.
Aliporidhika kwa denda, alinivutia kitandani ambapo aliniomba nivue nguo ili tuingie katika awamu ya mwisho lakini nilimkatalia kwamba sikujisikia vizuri.
“Wewe binti unajua sikuelewi hata kidogo,” aliniambia.
Nilimweleza kwamba ni kweli sikujisikia vizuri na kumpa ahadi kwa kuwa bado nitakuwepo pale asijali nikiwa vizuri nitampa penzi ambalo hakuwahi kulipata tangu alipoanza mapenzi.
Kauli yangu ilimchekesha na kunieleza niache kumtania kwani kwa umri wake alikuwa amekutana na wanawake mbalimbali waliojua mapenzi.
“Sijakataa lakini siku hiyo ndiyo utaamini maneno yangu wewe kuwa mvumilivu, si unaelewa kwamba siku zote mvumilivu hula mbivu?”
“Huo msemo umeshapitwa na wakati, tafadhali naomba japo mara moja, hivi huwezi kujua kama hapa nilipo nipo katika wakati mgumu sana binti mzuri?”
“Si wewe pekee uko katika hali hiyo, mimi mwenyewe nipo kwenye mateso lakini hali yangu hainiruhusu kwa leo,” nilimwambia.
“Unaumwa nini kwani?” aliniuliza.
“Jamani wewe, hivi kwa nini huniamini ninapokwambia siko vizuri, matatizo mengine ni ya sisi wanawake,” nilimwambia.
Nilipomweleza maneno hayo, nilimuona akiwa mpole kisha akaniuliza nilitarajia kuwepo pale kwa muda gani, nikamwambia pale yangekuwa makazi yangu ya kudumu.
“Kwa hiyo Mwita ndiyo kaamua kukuchukua jumla uwe mke wake?” akaniuliza.
“Yeye ndiyo kasema hivyo, sijui sasa kama atabadilika lakini kwa upande wangu naelewa nitakuwa hapa kwa muda mrefu,” nilimwambia.
“Haya lakini umenikatili sana wewe mtoto, leo nilitaka kufurahi na wewe na wewe ufurahi na mimi,” aliniambia.
Kwa kuhofia kukutwa na afande Mwita, nilimuomba aniruhusu niondoke ombi ambalo hakulipinga zaidi ya kusisitiza kwamba nitakupojisikia vizuri nimfahamishe kumpa asante yake ya kunifichia siri.
“Usijali kwa hilo,” nilimjibu kisha nilitoka mle chumbani kwake na kwenda chumbani kwa Mwita.
“Mh! Hawa maafande sasa wataka kunigeuza chombo chao cha starehe maana kila kunapokucha anaibuka mwingine na kunitaka, huyu ningemlegezea naye angenitafuna,” Rhoda alijisemea moyoni akiwa ameketi katika kitanda cha afande Mwita.
Wakati Rhoda akiwaza hivyo, yule afande aliyemkosa alilaani sana kitendo cha Rhoda kutojisikia vizuri na kujipa imani kwamba zisingepita siku mbili lazima angempata.
Rhoda akiwa anatafakari vitendo vichafu alivyokuwa akifanya na maafande wale, akasikia sauti ya mwanamke aliyekuwa akizungumza kama mama yake akisalimiana na mtu nje.
“Mh! Huyu mbona ana sauti kama ya mama, au atakuwa yeye!” aliwaza.
“Humo ndani hakuna mtu wenyewe wamekwenda kazini na leo watachelewa kurudi,” yule afande aliyetaka kutoka kimapenzi na Rhoda alimfahamisha mwanamke huyo.
Itaendelea kwenye Gazeti la Risasi Mchanganyiko.