Daktari bingwa wa ubongo na mishipa ya fahamu kutoka Hospitali ya Saifee, wameendelea na kampeni yao ya kutoa elimu kuhusu ugonjwa wa Parkinson kwa watoa huduma juu ya namna ya kuwasaidia watu wanaosumbuliwa na ugonjwa huo.
Daktari bingwa wa ubongo na mishipa ya fahamu kutoka Hospitali ya Saifee, wameendelea na kampeni yao ya kutoa elimu kuhusu ugonjwa wa Parkinson kwa watoa huduma juu ya namna ya kuwasaidia watu wanaosumbuliwa na ugonjwa huo.