Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa kuna mtu kamtumia meseji kuwa kuna watu 8 wamelipwa milioni 6 ili waondoe uhai wake.
Makonda ameendelea kwa kusema kuwa haogopi chochote kwani analindwa na Malaika wa Mungu hivyo yuko salama.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa kuna mtu kamtumia meseji kuwa kuna watu 8 wamelipwa milioni 6 ili waondoe uhai wake.
Makonda ameendelea kwa kusema kuwa haogopi chochote kwani analindwa na Malaika wa Mungu hivyo yuko salama.