
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Ismail Samamba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini
Anachukua nafasi ya Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine


Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Ismail Samamba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini
Anachukua nafasi ya Kheri Abdul Mahimbali ambaye atapangiwa kazi nyingine
