
Klabu ya Yanga SC imeibuka na ushindi katika mchezo wao wa kwanza katika hatua za awali klabu Bingwa Afrika mara baada ya kuibuka na ushindi wa goli nne kwa bila dhidi ya Vital’O FC katika dimba la Azam Complex Chamazi.

Klabu ya Yanga SC imeibuka na ushindi katika mchezo wao wa kwanza katika hatua za awali klabu Bingwa Afrika mara baada ya kuibuka na ushindi wa goli nne kwa bila dhidi ya Vital’O FC katika dimba la Azam Complex Chamazi.