
Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amesema hakuna mtu anayemfikia mumewe kwenye suala zima la uigizaji nchini na kuongeza kuwa yeye ni shabiki yake namba moja.
Shamsa ameyasema hayo na mengine mengi katika mahojiano maalum na Global TV!

Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amesema hakuna mtu anayemfikia mumewe kwenye suala zima la uigizaji nchini na kuongeza kuwa yeye ni shabiki yake namba moja.
Shamsa ameyasema hayo na mengine mengi katika mahojiano maalum na Global TV!