×

Watu 4 Wafariki kwa Kufukiwa na Kifusi Leo Kawe – Dar

kifusi

Watu wanne wamepoteza maisha na wengine watano wajeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi asubuhi hii eneo la Ukwamani, Kawe – Dar.

Taarifa za awali zinasema waliofariki ni mfanyakazi wa ndani, watoto wawili na baba mwenye nyumba.

Leave a Comment