Browsing Category
Burudani
Muigizaji Mkongwe “Cloud” Awasili Nchini, Kuungana na Mashabiki Yanga Day – Video
Muigizaji mkongwe na maarufu wa filamu za BongoMuvi, Issa Musa maarufu kama “Cloud”, jana mchana amewasili nchini akitokea London, Uingereza, ambako anaishi na familia yake huku akiendelea kufanya kazi nchini Sweden.
Cloud, ambaye…
Shinda Samsung A25 Mpya kwa Kucheza Super Heli
Katika ulimwengu wa michezo ya kubahatisha, kila mchezaji hutafuta si tu burudani, bali pia ushindi wa maana. Na sasa, Meridianbet imekuja na ofa ya kipekee yenye msisimko na matarajio makubwa, nafasi ya kushinda simu mpya kabisa ya…
Zaidi ya Ubashiri, Ni Burudani, Ushindi na Teknolojia Mpya
Bingwa wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, ameleta promosheni kabambe inayowapa wachezaji wake nafasi ya kipekee ya kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 kupitia mchezo maarufu wa Aviator.
Promosheni…
Iceland Yatajwa Tena Kuwa Nchi Yenye Amani Zaidi Duniani
Taifa la Iceland, lililoko katika kanda ya Nordic, limeendelea kushikilia nafasi yake kama nchi yenye amani zaidi duniani kwa mujibu wa ripoti mpya ya Global Peace Index (GPI). Nchi hii ndogo, inayosifika kwa mandhari yake ya kuvutia…
White Cane Kutoka Meridianbet Yawa Mwanga wa Matumaini kwa Wenye Ulemavu wa Macho
Ujio wa Meridianbet pale Kinondoni Manyanya umekuwa wa furaha sana kwa watu wenye ulemavu wa macho ambao Agosti 29,2025 wamefikiwa na kampuni ya ubashiri Tanzania na kupewa msaada wa fimbo za kutembelea maarufu kama (White Cane).
Na…
Mystery Multiplier, Bahati Mpya Inayotikisa Kasino Mtandaoni
Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri nchini, imekuja na kubwa kuliko haswa baada ya kuzindua kampeni mpya na kabambe inayojulikana kama Mystery Multiplier, na tayari imekuwa gumzo kwa mashabiki wa kasino.
Tofauti na promosheni…
Mwanamke Ahukumiwa Kwa Kula Nauli ya Mwanaume – Video
Mahakama ya Mwanzo jijini Lagos, Nigeria, imemhukumu mwanamke anayefahamika kwa jina la Jennifer kulipa faini ya ₦450,000 (sawa na zaidi ya Shilingi 730,000 za Kitanzania), baada ya kupatikana na hatia ya kupokea fedha kwa udanganyifu.…
Dunia Mpya ya Burudani na Ushindi Kutoka Ruby Play
Meridianbet kupitia kasino mtandaoni imezidi kupanua upeo wake na sasa inakukaribisha kwenye ulimwengu mpya wa michezo ya sloti kupitia mtoaji mpya, Ruby Play. Hii ni hatua inayokuja na msisimko mkubwa, ikiunganisha ubora wa teknolojia,…
Chrome City Yapagawisha Hustlers Kariakoo Na Manzese Kuelekea Uzinduzi Tanganyika Packers
Agosti 26, 2025 - Dar es Salaam. Mishemishe na harakati za Kariakoo na Manzese zilinoga kipekee kwa ‘vibe’ la aina yake jana baada ya timu ya Chrome City kuingia mtaani kuungana na mashujaa halisi wa uchumi wa mijini Tanzania – hustlers.…
Playson Short Races, Ibuka Bingwa Uondoka Na Hadi TZS Bilioni 6
Meridianbet inazidi kuupa moto ulimwengu wa kasino mtandaoni kwa kuwaletea mashabiki Playson Short Races mashindano ya kasi yanayowapa wachezaji nafasi ya kipekee kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku.
Kila usiku kuanzia…
Meridianbet Waguswa na Maisha ya Wakazi wa Kijitonyama Kisiwani
Agosti 22, 2025 wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wameamua kugusa maisha ya wakazi wa Kijitonyama Kisiwani kwa kuwapelekea msaada wa vyakula, huku hii ikiwa ni namna ya kurejesha kwa jamii.
Msaa wa vyakula ambao Meridianbet…
Mapumziko ya Shakira Ufukweni Yawavutia Mashabiki Duniani
Nyota wa muziki wa kimataifa, Shakira, ameonekana akijipumzisha na kutafuta utulivu wa kiroho kwenye ufukwe wa Los Cabos, Mexico, kabla ya kuendelea na mfululizo wa maonesho yake makubwa nchini humo.
Jumatano, kamera zilimnasa…
Zawadi Kubwa Za Kasino Mtandaoni Zipo Expanse Tournament
Umetembelea Kasino Mtandaoni ya Meridianbet leo? Nakushauri tu ufanye kuingia kwani utafurahi mwenyewe na moyo wako. Promosheni ya Shindano la Expanse bado inaendelea na huenda leo ni nafasi yako ya kushinda. Jisajili hapa ushinde…
Diamond Amchana Mbosso: Lengo Ni Kutafuta Beef na Mimi, Utrend kwa Vitu vya Kijinga
Kivumbi kimezuka tena kati ya staa namba moja wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na msanii wake wa zamani wa WCB, Mbosso, baada ya Diamond kumchana waziwazi akidai anatafuta ugomvi wa makusudi ili apate umaarufu wa haraka.
Akizungumza…
Tiwa Savage Aweka Masharti Ya Mwanaume Anayemtaka
Muimbaji maarufu wa Nigeria, Tiwa Savage, ameibuka tena mtandaoni akizungumza wazi kuhusu maisha yake ya mapenzi na mwanaume anayemtaka kushirikiana naye maisha. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya burudani, Tiwa amesema…
Bet Builder, Jenga Tiketi Yako na Kuongeza Fursa za Ushindi
Kwa wapenzi wa michezo, Meridianbet inawaletea suluhisho la kipekee la Bet Builder, chaguo ambalo limebeba ukubwa wa bashiri kwa kiwango cha juu zaidi. Bet Builder inapatikana kwa bashiri za kabla ya mechi na bashiri za moja kwa moja…
Cristiano Ronaldo Amvisha Georgina Pete ya Uchumba Yenye Thamani ya Hadi Bilioni 12
Nguli wa soka duniani, Cristiano Ronaldo (40), hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa muda mrefu, Georgina Rodríguez, pete kubwa na ya kifahari inayofaa hadhi ya bilionea.
Georgina alionyesha pete hiyo mpya kupitia ukurasa…
Kidoa: Wasichana Wengi Waliofanikiwa wametokea Uswahilini
MSANII wa fil amu ambaye pia alikuwa muuza sura kwenye video za Kibongo, Asha Salum ‘Kidoa’ amejisifu kukulia uswahilini na kusema kuwa wasichana wengi ambao maisha yao wamekulia huko ndiyo wanaofanikiwa kimaisha.
Kidoa alisema kuwa,…
Meridianbet Yapanua Wigo wa Michezo, Yaleta Watoa Huduma Wapya
Meridianbet imezidi kupanua upeo wa burudani kwa kuwaletea wateja wake watoa huduma wakubwa wawili wa kimataifa wanaofahamika zaidi kwa ubora wa huduma wanazozitoa, Aspect Gaming na Superspade Games, ambao sasa wanapatikana rasmi ndani…
Meridianbet Yazindua Upya Playson Short Races – Usiku wa Burudani na Ushindi Mkubwa Tanzania!
Meridianbet imezindua tena burudani kali ya kasino mtandaoni, ni Playson Short Races, mashindano ya usiku yanayowasha moto kwa mashabiki wa michezo ya kubahatisha Tanzania. Kuanzia saa 4 usiku hadi saa 8:50 usiku, kila spini yako…
Cheza Super Heli na Ushinde Samsung Galaxy A25 Kila Wiki
Hatimaye sasa mchezo wa Super Heli unaopatikana kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet umewasili na ujio wake wakati huu ni wa mvuto kwani mchezo umekuja na zawadi murua kabisa kwa wachezaji. Washindi mbalimbali wa mchezo huu sasa…
Dogo Janja Aongoza Kura za Maoni CCM Ngarenaro – Awashinda Wakongwe
Msanii wa Bongofleva, Dogo Janja, aibuka kidedea kwenye kura za maoni CCM Kata ya Ngarenaro, akimshinda aliyekuwa diwani Isaya Doita kwa tofauti ya kura 16.
🗳️ Wapiga kura walioshiriki: 139
✅ Kura halali: 138…
Mpenzi Wa Zamani Wa Diddy Atoa Barua Ya Kumtetea Katika Kesi Yake Ya Jinai
Gina Huynh, aliyewahi kuwa mpenzi wa Diddy, sasa ametajwa kama Mhusika Namba 3 katika mashitaka ya shirikisho dhidi ya msanii huyo maarufu wa hip hop.
Katika hatua ya kushangaza, Gina ameandika barua kwa jaji akiunga mkono ombi la…
Burudani Mpya Ya Kasino Mtandaoni Yawasili Meridianbet Kupitia TVBET
Ulimwengu wa burudani unaendelea kubadilika kwa kasi kubwa, huku teknolojia ikiweka alama mpya kila uchwao. Moja ya maeneo yanayoshuhudia mageuzi haya ya kipekee ni michezo ya kasino mtandaoni, na jina linalozidi kung’ara kwa ubunifu…
Sista Francis Piscatella Atambuliwa na Guinness Kama Mtawa Mzee Zaidi Duniani
Sista Francis Piscatella, raia wa Marekani mwenye umri wa miaka 112, ametambuliwa rasmi na Guinness World Records kama mtawa mzee zaidi duniani.
Sista Francis alizaliwa mwaka 1913, na ametumikia Kanisa Katoliki kwa miaka 94,…
Afisa Habari Wa Yanga Ally Kamwe, Afunga Ndoa Jijini Arusha
AFISA Habari wa Yanga SC Ally kamwe, hatimaye ameaga rasmi maisha ya upweke baada ya kufunga ndoa leo jijini Arusha, katika hafla iliyohudhuriwa na ndugu, marafiki na wadau mbalimbali wa tasnia ya burudani.
Sherehe hiyo ya kipekee…
Kamanda wa Polisi Mtwara Afunguka Kuhusu Tukio la Ebitoke
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limethibitisha kuwa limemkamata msanii wa vichekesho, Anastanzia Exavery Mahatane (27), maarufu kama Ebitoke, akiwa katika fukwe za Msanga Mkuu, Mtwara, katika hali inayoashiria kuwa amechanganyikiwa.…
Ally Kamwe na Mchumba Wake Yasmine Wafanya Send-off Arusha – Video
ARUSHA – Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga SC, Ally Kamwe, usiku wa kuamkia leo Julai 31, 2025, amefanya sherehe ya send-off na mchumba wake mrembo, Yasmine, ikiwa ni hatua kuelekea katika tukio kubwa la ndoa yao…
Mashabiki Wapigwa Butwaa: Loveness Tarimo Apata Mimba?
Mashabiki wa mitandao ya kijamii wameachwa midomo wazi baada ya mrembo Lovless Tarimo, mwanamke mashuhuri kwa mwili wake wa misuli na mazoezi makali ya kubeba vyuma, kutangaza kuwa ni mjamzito. Lovless, ambaye amekuwa kivutio cha wengi…
Ukurasa Mpya Wa Kipindi Pendwa Cha Watoto Akili And Me
Dar es Salaam, Ubongo, shirika linaloongoza Afrika katika kutoa elimu burudani linayo furaha kutangaza uzinduzi wa msimu wa tano wa kipindi chake cha maendeleo ya awali kwa watoto, Akili and Me, kikiwa na mwonekano mpya wa kuvutia na…
Zaiylisa Ajizawadia Gari Mpya na Kutuma Ujumbe Mzito: “Si Kila Unachopoteza Ni Laana…”
Malkia wa mitindo na malkia wa vichwa vya habari, Zaiylisa, amhadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kishindo hivi karibuni kwa staili ya kipekee na ya kuvutia. Katika kile kilichoonekana kama birthday hive ya karne, Zaiylisa hakusubiri…
Rosemary Range Ametikisa Jukwaa la Tuzo za EAEA kwa Mbwembwe na Umahiri
Mwanadada machachari kutoka Tanzania, Rosemary Range amejinyakulia tuzo ya "Mshawishi wa Mitandao Anayeinuka Kwa Kasi Zaidi" katika hafla ya EAEA iliyofanyika jijini Nairobi.
alivutia macho ya wengi alipowasili na mbwembwe ukumbini…
Aliyeua Wanafunzi Wanne Afungwa Kifungo cha Maisha
Bryan Kohberger, mwanafunzi wa shahada ya uzamifu katika sheria ya uhalifu, amehukumiwa kifungo cha maisha bila uwezekano wa msamaha wa kifungo (parole) mnamo tarehe 23 Julai 2025 katika Mahakama ya Ada, iliyopo Boise, jimbo la Idaho.…
BBNaija Yarudi kwa Kishindo! Msimu wa 10 Wazinduliwa Rasmi Leo Nigeria
Tamasha maarufu la runinga barani Afrika, Big Brother Naija (BBNaija), limerudi kwa kishindo leo Julai 26, 2025, likianza msimu wake wa 10 kwa uzinduzi wa aina yake nchini Nigeria.
Kwa mara nyingine, watazamaji kutoka Tanzania hadi…
Tammy Slaton Ashtua Dunia kwa Mwonekano Mpya Baada ya Kupunguza Uzito
Mwigizaji maarufu wa Marekani, Tammy Slaton, ameacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kuonesha mabadiliko makubwa ya mwonekano kufuatia safari ya miaka minne ya kupunguza uzito.
Tammy, ambaye hapo awali alikuwa na uzito wa zaidi ya…
CEO na Afisa Rasilimali Watu Wajiuzulu Baada ya Kuumbuliwa Kwenye Tamasha
Kampuni ya teknolojia ya Astronomer, inayojihusisha na huduma za usimamizi wa data na mfumo wa Apache Airflow, imejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya viongozi wake wawili wakuu kuondoka kwa mfululizo, kufuatia video ya utata…
Safari ya Upendo Yazaa Tunda, Jux na Priscilla Watangaza Ujauzito
Priscilla Ojo, mke wa msanii maarufu wa Bongo Fleva, Juma Jux, ametangaza rasmi ujauzito wao wa kwanza kupitia ukurasa wake wa Instagram mnamo Julai 24, 2025.
Tangazo hilo limehitimisha uvumi uliodumu kwa wiki kadhaa, ambapo baadhi…
KMC na Bittech Zatembelea Faraja Orphanage Centre
Jumatano ya leo imeanza vyema kabisa kwenye kituo cha watoto yatima cha Faraja Orphanage Centre kule Mburahati Maziwa baada ya kupokea ujio wa Bittech na KMC ambao walifika kwaajili ya kutoa msaada kwa watoto hao.
Kituo hicho cha…
Malkia wa Mitindo Vera Sidika Aanza Maisha Mapya Kibabe!
Mwanamitindo na sosholaiti maarufu kutoka Kenya, Vera Sidika, anayejulikana kwa jina la utani kama Vee Beiby, ameibuka upya na kuteka mitandao ya kijamii kwa kishindo baada ya kuanika sura mpya ya maisha yake ya kifahari.
Kupitia…
Rais Samia Aridhia Tanzania Kuandaa Miss World 2027
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameridhia rasmi hatua ya Tanzania kuanza maandalizi ya kuwa mwenyeji wa fainali za mashindano ya Unyange Duniani mwaka 2027, tukio kubwa la kimataifa linalotarajiwa…