Browsing Category
Burudani
Ushindi wa Kutisha Unakungoja Ukicheza Trick or Treat Bonanza
Wapenzi wa kasino na michezo ya mtandaoni, msimu wa Halloween umefika na Meridianbet imekuandalia burudani isiyo na kifani kupitia Trick or Treat Bonanza, mchezo ambao unachanganya ladha ya Halloween na fursa za ushindi wa kweli.…
Mke wa Akon Atikisa Dunia Afungua Kesi ya Talaka, Adai Euro Milioni 100
Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Akon, anakabiliwa na mgogoro mkubwa wa kifamilia na kifedha baada ya mke wake, Tomeka Thiam, kufungua kesi ya talaka kufuatia ndoa yao ya miaka 29.
Kilichowashangaza wengi ni kwamba nyaraka za…
Lucky Loser: Promosheni Inayogeuza Hasara Kuwa Ushindi!
Katika ulimwengu wa kubashiri, kushindwa siyo mwisho tena! Kampuni ya Meridianbet imezindua promosheni mpya yenye kuleta msisimko kwa wachezaji wa Win&Go, iitwayo Lucky Loser. Kupitia promosheni hii, tiketi yoyote yenye namba 6…
Kim Kardashian Afunguka Sababu za Talaka na Kanye West
Mwigizaji na mfanyabiashara maarufu Kim Kardashian hatimaye ameeleza kwa kina kilichomsukuma kuachana na rapa Kanye West, baada ya miaka minane ya ndoa.
Akizungumza katika kipindi cha “Call Her Daddy” kilichoongozwa na Alex Cooper,…
Poshy Queen Aibua Gumzo Mitandaoni Kwa Kumposti Mpenzi Mpya
Mrembo maarufu wa mitandao ya kijamii, Poshy Queen (@poshyqueeen), ambaye pia ni mke wa mfanyabiashara maarufu anayejulikana kama Dalali, ameibua gumzo kubwa mitandaoni baada ya kumposti mpenzi wake mpya kwenye ukurasa wake wa Instagram…
Aggybaby Apokea Tuzo Kubwa Nigeria, Apongezwa na Bodi ya Filamu Tanzania
Msanii wa muziki na maigizo, Agness Suleiman Kahamba, maarufu kama Aggybaby, ameshinda Tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike wa Mwaka 2025 kutoka Achievers Awards International ya nchini Nigeria, kutokana na mchango wake mkubwa katika sanaa ya…
Binti wa Eminem, Alaina Scott, Atangaza Ujauzito
Alaina Scott, binti wa rapa maarufu duniani Eminem, ametangaza kuwa anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza na mume wake, Matt Moeller.Marshall Mathers anaejulikana kama Eminem, alimlea Alaina kama binti yake tangu akiwa mdogo. Alaina ni…
Bodi ya Filamu Yampongeza Stella Mbuge kwa Ushindi wa Tuzo za MVAA – Nigeria
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dkt. Gervas Kasiga (PhD), kwa niaba ya Bodi, amempongeza mwanatasnia wa filamu na michezo ya kuigiza nchini, Stella Mbuge @officialstellambuge, baada ya kushinda tuzo ya Best MVAA Upcoming…
Marioo Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mke Wake “Nawaweka Hadharani”
Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo, amezua gumzo mitandaoni baada ya kuandika ujumbe mrefu wenye hisia kali kupitia ukurasa wake wa Instagram akimzungumzia mke wake, Paula Kajala, na watu waliokuwa wakimsema au kumpotosha.…
Paula Azuia Video Ya Marioo Asema “Vipande Hivyo Havifai”, Marioo Amlalamikia Mtandaoni
Msanii nyota wa Bongofleva, Marioo, amejikuta kwenye mtafaruku wa kimapenzi na mpenzi wake ambaye pia ni mama wa mtoto wake, Paula Kajala, baada ya kudaiwa kuzuia kuachiwa kwa video mpya ya wimbo wake.
Kupitia ukurasa wake wa…
Sanchi: Msidanganyike na Maisha Yangu ya Mitandaoni
Mrembo maarufu na msanii wa mitindo, Surraiya Rimoy almaarufu kama Sanchi, ameweka wazi kuwa maisha anayoyaonesha kwenye mitandao ya kijamii yasichukuliwe kama taswira halisi ya maisha yake binafsi.
Sanchi amesema kumekuwa na dhana…
Bilionea wa Nigeria Afunga Ndoa na Mke wa 19, Atetea Ndoa za Wake Wengi
Delta, Nigeria — Mfanyabiashara maarufu na bilionea Chief Jite Odeworitse Tesigimoje, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya GIM Brown Marine, ameibua mjadala mkubwa nchini Nigeria baada ya kufunga ndoa na mke wake wa 19 katika sherehe…
Meridianbet Yawapa Wachezaji Wapya Bonasi Tatu Kwa Mpiko, Fursa Ya Pekee Ya Ukaribisho
Ikiwa ni sehemu ya kuongeza msisimko kwa wateja wapya wanaojiunga na jukwaa lake, Meridianbet imetangaza BONASI YA UKARIBISHO YA KIPEKEE, ya Dau la Kwanza, la Pili, na la Tatu!.
Ndiyo, Bonasi Tatu kwa Mpigo! Inaweza kuonekana kama…
Meridianbet Yawaletea Wachezaji wa Win&Go Ofa ya 10% Money Back Julai Hii
Kuanzia Julai 1 hadi Julai 30, 2025, Meridianbet imewaletea wachezaji wa mchezo wa Win&Go ofa ya kipekee. Kila mchezaji atakayepoteza Sh. 1,000 au zaidi katika raundi yoyote ya mchezo wa Win&Go atarudishiwa 10% ya hasara hiyo…
Cheza Spin 100, Pata 50 Bure, Zombie Apocalypse Yaanza Sasa
Meridianbet kwa kushirikiana na Expanse Studios wamezindua Zombie Apocalypse, promosheni mpya ya kuvutia inayowahamasisha wachezaji kuingia katika ulimwengu wa vita vya kutisha dhidi ya zombie, huku wakifurahia burudani ya hali ya juu…
Wafanyabiashara, Hii Ni Yenu! Duka Smart Yaleta Suluhisho la Kidigitali
Hii ni kwa ajili yako wewe mfanyabiashara! Hivi unajua kwamba ukiwa na Application ya Duka Smart unaweza kutengeneza website ya duka lako buree?
Anza kuuza bidhaa zako online kwa kutumia Duka Smart.
Kwa maelezo zaidi, piga simu:…
Kasino Mtandaoni Kupambwa Na Diamond Hustle Ndani Ya Meridianbet
Meridianbet kupitia kwa mtoa huduma, Evoplay, imekuletea Diamond Hustle, mchezo wa sloti uliojaa teknolojia ya kisasa, msisimko wa bonasi, na fursa ya kutengeneza kipato kwa kasi ya ajabu. Diamond Hustle umeundwa kwa ubunifu…
Diamond Afuta Ujumbe wa Kuoa Mke wa Pili, Mashabiki Washangaa
Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz, ameibua maswali mapya mitandaoni baada ya kukanusha taarifa za kuoa mke wa pili, kisha ghafla kufuta ujumbe huo muda mfupi…
“Sweety” Ya Nandy na Jux Yazua Gumzo Mitandaoni – Video
Staa wa muziki wa Bongofleva Nandy kwa kushirikiana na Juma Jux wameachia rasmi video ya wimbo wao mpya “Sweety”, ambao kwa sasa unazua gumzo kubwa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya burudani.
Video hiyo iliyotoka kupitia…
Diddy Ahukumiwa Miaka 4 Jela kwa Kesi ya Usafirishaji wa Wanawake
Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Sean 'Diddy' Combs amehukumiwa kwenda jela miezi 50 (sawa na miaka 4 na miezi 2) baada ya kukutwa na hatia katika makosa mawili yaliyokuwa yakimkabili yanayohusiana na usafirishaji wa watu kwa…
Sherehe ya 40 Ya Mtoto wa Jux na Priscilla Yazua Gumzo Mitandaoni
Msanii nyota wa RnB Juma Jux na mke wake mrembo Priscilla wameweka kumbukumbu nyingine ya kipekee baada ya kufanya sherehe ya 40 ya mtoto wao kwa bashasha na mvuto wa hali ya juu.
Sherehe hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam…
Sean ‘Diddy’ Combs Aomba Huruma ya Jaji Kabla ya Hukumu
Sean 'Diddy' Combs amemuandikia barua ya kuomba huruma Jaji Arun Subramanian aliyesimamia kesi yake, siku moja kabla ya kuhukumiwa, baada ya kupatikana na hatia mwezi Julai kwa makosa mawili ya kusafirisha watu kwa ajili ya kushiriki…
Pakua App Ya Meridianbet & Shinda – Bonasi Ya Hadi Tzs 10,000 Inakusubiri!
Kampuni ya michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet, imezindua kampeni mpya kabambe kwa mashabiki wa michezo na kasino: Pakua App Yetu, Bashiri, na Pata Bonasi ya Hadi TZS 10,000 kwa tiketi yako ya kwanza!
Kupitia kampeni hii,…
Poshy Queen Aibua Gumzo – Aolewa na Dalali Baada ya Kuachana na Mastaa!
Mrembo maarufu wa mitandao ya kijamii, Poshy Queen, ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kutokana na urembo na muonekano wake (shape), hatimaye amefunguka rasmi kuwa kwa sasa ameolewa na mwanaume anayefanya kazi ya udalali.
Kauli hii ya…
Baba wa Lamine Yamal Akosolewa Kwa Kuishi Maisha ya Kifahari Kwa Pesa za Mwanawe
Mounir Nasraou Baba wa nyota wa Barcelona, Lamine Yamal, ametoa jibu kali kwa wakosoaji waliokuwa wakimkosoa kuhusu mtindo wake wa maisha wa kifahari, akithibitisha kuwa anajivunia kutumia pesa za mwanawe. Katika kauli iliyosambaa…
Diamond Aahidi Burudani Zaidi kwa Mashabiki Kupitia MSUMARI
Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz, ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa MSUMARI.
Akizungumza mara baada ya kutambulisha ngoma hiyo, Diamond aliwashukuru…
Diamond Platnumz – Msumari (Official Music Video)
Mwaka 2023, Diamond Platnumz alimuamini mrembo Rara Mswakyy nafasi ya kuwa Video Vixen kwenye wimbo wake YATAPITA, ambao kwa sasa una zaidi ya views milioni 67.
Sasa hivi, Diamond Platnumz amerudi na ngoma mpya MSUMARI, na tena…
Mchezo Mpya wa Kidigitali! Meridianbet Yazindua Bonanza Kubwa Zaidi!
Meridianbet inafungua mlango wa burudani mpya kwa wateja wake wote kwa kuzindua Meridianbet Bonanza – mchezo mpya, mkubwa, wa kishujaa na wenye msisimko usio na mfano. Huu ni mchezo wa kipekee uliobuniwa kukupa msisimko wa kila dakika,…
Mwanadada Grace Tarimo Aeleza changamoto Kubwa katika Kazi yake ya Masaji -Video
Kupitia Kipindi cha The Hard Talk kinachoongozwa na mtangazaji, mwandishi wa vitabu na mtumishi wa Mungu, @lillianmwasha_ , mwanadada Grace Tarimo amefunguka kuhusu tatizo kubwa linalomsumbua kwenye maisha yake.
Grace anajishughulisha na…
Uzinduzi Mpya Kutoka Sinza Youth Choir Kutikisa – Wimbo “Popote”
BAADA ya uzinduzi wa Albamu ya Kicheko kutoka kwa Sinza Youth Choir, (SYC) kutoka KKKT-DMP Usharika wa Sinza, sasa ni uzinduzi wa wimbo mpya unaoitwa Popote.
Hii ni kazi nyingine ambayo malengo makubwa ni kuitangaza injili mjini na…
Meridianbet Bonanza Imefika – Uzinduzi Wa Mchezo Mpya Kutoka Meridianbet!
Meridianbet, kinara wa michezo ya kidigitali na ubashiri barani Afrika, imezindua rasmi mchezo mpya kabisa unaojulikana kama Meridianbet Bonanza. Uzinduzi huu ni hatua nyingine kubwa katika kuhakikisha wateja wake wanapata burudani ya…
Cheza Wild White Whale Upate Mizunguko 50 Ya Bure
Kwa wapenzi wa kasino mtandaoni wanaotafuta burudani yenye thamani, Meridianbet imekuja na ofa ya kusisimua kwa mwezi mzima wa Septemba. Kupitia mchezo maarufu wa Wild White Whale, wachezaji wanapewa nafasi ya kipekee ya kujizolea…
Sanchi Aendelea Kutikisa Mitandaoni, Afungua Duka Kubwa Sinza
Mrembo maarufu na msanii wa mitindo nchini Tanzania, Surraiya Rimoy maarufu kama Sanchi (@surraiyaworld), ameendelea kuwa gumzo mitandaoni baada ya kuhusishwa kimapenzi na msanii nyota Harmonize.
Zaidi ya tetesi hizo, Sanchi…
Harmonize na Sanchi Wazua Gumzo, Mashabiki Wadai Ni Wapenzi
Mrembo maarufu na msanii wa mitindo nchini Tanzania, Surraiya Rimoy maarufu kama Sanchi (@surraiyaworld), anadaiwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na staa wa muziki wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’.
Tetesi hizo…
Cheza Aviator, Ushinde Samsung A26 Mpya – Meridianbet Inawaletea Wachezaji Fursa Ya Kubashiri Na…
Meridianbet, kampuni inayoongoza katika michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni, inawapa wachezaji wake fursa ya kipekee ya kushinda Samsung A26 mpya mwezi huu kupitia mchezo wa kisasa wa Aviator. Kampeni hii mpya inawalenga wachezaji…
Meridian Bonanza – Slot Mpya Inayotoa Nafasi Zaidi za Kushinda
Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa kupitia mchezo mpya wa slot Meridian Bonanza. Huu ni mchezo ulioundwa kwa ajili ya wapenzi wa kasino wanaopenda burudani ya kipekee na nafasi kubwa ya kupata ushindi.
Namna mchezo unavyofanya…
Meridianbet Yaachia Bilioni 6 Kupitia Playson Short Races!
Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri Tanzania, imezindua promosheni ya kipekee inayowapa wachezaji nafasi ya kushinda mamilioni kwa kasi ya ajabu kupitia mashindano ya Playson Short Races. Kuanzia tarehe 9 hadi mwisho septemba,…
Jasinta Makwabe Atoa Kauli Nzito Kuhusu Diamond Platnumz
Mwanamitindo maarufu wa Afrika Mashariki, Jasinta Makwabe ‘Candy Boo’, amewasha moto mitandao baada ya kudaiwa kutoa kauli nzito inayozua mjadala mkubwa. Amesema staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, hana nafasi ya kumkwepa endapo…
Cheza Super Heli, Shinda, Miliki Samsung Galaxy A25
Kwenye mchezo wa kasino mtandaoni, ushindi haupo tu kwenye namba, uko kwenye uzoefu, msisimko, na zawadi halisi. Meridianbet imeleta mapinduzi mapya kwa wachezaji wa kasino mtandaoni kupitia mchezo wa Super Heli, ambao sasa unakuja na…
Cheza Meridianbet Missions Kwa Malengo, Shinda Bila Kikomo
Meridianbet imebadilisha kabisa namna ya kubashiri kwa kuzindua Meridianbet Missions, mpango wa kipekee unaogeuza kila mizunguko kuwa hatua ya ushindi. Hii si tu burudani, bali ni mfumo wa malengo unaokupa nafasi ya kushinda zawadi…