×

Habari

Wananchi wa Lindi Washukuru Kujengwa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Wananchi wa Mkoa wa Lindi wameishukuru Serikali baada ya kutangaza rasmi kuanza kwa ujenzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha...

READ MORE

ACT Kimeshangazwa na TFF Kukataza Mchezaji Kuingia Mkataba Binafsi na Mshindani wa Ligi

Kufuatia taarifa ya Bodi ya Ligi juu ya maboresho ya kanuni ambapo imeweka marufuku kwa mchezaji kuingia mkataba binafsi wa...

READ MORE

Rais wa Marekani kuhudhuria mkutano wa G20 nchini India

Rais wa Marekani Joe Biden atahudhuria Mkutano wa mataifa yenye nguvu za kiuchumi duniani, G20, mjini New Delhi, India, lakini...

READ MORE

Raia Wa Zimbabwe Wanapiga Kura Katika Uchaguzi wa Urais na Ubunge Leo

Raia wa Zimbabwe  leo Jumatano Agosti 23,  2023 wanapiga kura katika uchaguzi wa urais na ubunge baada ya kampeni iliyotawaliwa...

READ MORE

Mchungaji Lusekelo Awavaa Maaskofu Katoliki, Awataka Wakae Kimya – Video

MCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi jijini Dar es Salaam (GRC), Antony Lusekelo ameukosoa waraka wa Baraza la Maaskofu Katokili Tanzania...

READ MORE

Chongolo Afanya Mazungumzo na Kansela wa Chama Cha Kikomunisti Cha China

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godrefy Chongolo, amekutana kwa ajili ya mazungumzo na Kansela wa Chama...

READ MORE

Mbinu Unazoweza Kuzitumia Kufaulu Masomo ya Chuo Kikuu kwa Urahisi

  Kila kijana aliyefanikwa kufika ngazi ya Chuo Kikuu katika masomo yake hutamani kufaulu vizuri ili aweze kupata ajira nzuri...

READ MORE

Rais Wa Indonesia Afanya Ziara Ikulu Ya Dar, Miradi Mikubwa Yasainiwa (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan amemkaribisha Rais wa Indonesia, Joko Widodo katika Ikulu ya Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya...

READ MORE

Prof. Mkenda Apongeza Taasisi ya WAMA Kwa Kutoa Fursa ya Elimu Kwa Watoto

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameipongeza Taasisi ya WAMA kwa kutoa fursa ya elimu kwa watoto...

READ MORE

ECOWAS Yakataa Pendekezo La Utawala Wa Kijeshi Niger Kwamba Uchaguzi Ufanyike Ndani Ya Miaka 3

Jumuiya kuu ya kanda ya Afrika Magharibi, ECOWAS, imekataa pendekezo la utawala wa kijeshi wa Niger la kufanya uchaguzi ndani...

READ MORE

Rais Samia: Hakuna Mwenye Misuli Na Ubavu Wa Kuligawa Taifa -Video

Amesema “Nimesikia kuhusu Usalama, Amani, Umoja na Muendelezo wa Taifa letu, niliamua kunyamaza na ninaendelea kuwa kimya. Ninachotaka kuwahakikishia ni...

READ MORE

Mamba Mla Watu Nyama Yake Yaliwa Na Watu – Wananchi Wafunguka Mazito Kwa Serikali – Video

Mamba aliyekuwa akiwashambulia watu na mifugo katika Kijiji cha Izindabo Kata ya Lugata Kisiwa cha Kome Wilayani Sengerema Mkoa wa...

READ MORE

Trump: Nitajisalimisha kwa mamlaka ya jimbo la Georgia Alhamisi

Rais wa zamani Donald Trump anasema atajisalimisha kwa mamlaka katika jimbo la Georgia siku ya Alhamisi kujibu mashtaka katika kesi...

READ MORE

Askofu Shoo: Kuhusu Dp World, KKKT Inaunga Mkono Uwekezaji – Video

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema “Ileweke wazi kwamba Kanisa linaunga mkono...

READ MORE

Aliyenitapeli Fedha Zangu Mtandaoni Amenirudishia Pamoja na Fidia Juu

  Baada ya ukuaji wa teknolojia, bidhaa nyingi na huduma zimekuwa zikitolewa kwa njia ya mtandao, hata hivyo suala hilo...

READ MORE

Rais Samia Afungua Maabara za Sayansi za Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Agosti 21, 2023 amefungua Maabara za Sayansi za Chuo...

READ MORE

Nandy Kwa mara ya Kwanza Amposti Mtoto Wake Insta! Picha ipo Hapa

Staa wa kike wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga almaarufu Nandy kwa mara ya kwanza amemposti mwanaye, Kenaya Instagram aliyezaa na...

READ MORE

Trump Athibitisha Hatashiriki Mdahalo Wa Wawaniaji Urais Jumatano

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alithibitisha Jumapili kwamba hatashiriki mdahalo wa kwanza wa urais wa Jumatano wa chama...

READ MORE

Askofu Bagonza Ampongeza Rais Samia Kwa Uongozi Wake, Amefanya Makubwa – Video

Askofu wa Dayosisi ya Karagwe ya kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dk. Benson Bagonza amempongeza Rais Samia kwa...

READ MORE

DP World: KKKT Yaunga Mkono Uwekezaji, Yampongeza Rais Samia kwa Hekima

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo, amesema kuwa kanisa lake lina imani na...

READ MORE

Rais Samia Aipa Cheti NMB cha Mlipa Gawio Mkubwa 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan ametoa tuzo maalum kwa Benki ya NMB katika kutambua...

READ MORE

Kikwete Aonya Kuchanganya Dini Na Siasa “Ni Jambo Hatari Kwa Amani Na Utulivu Wa Taifa”-Video

RAIS Mstaafu Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kuwanyanyapaa viongozi wanaochanganya dini na siasa kwa kuwa ni jambo hatari kwa ustawi wa...

READ MORE

Siah Malle; Mhandisi Mwanamke Anavyoibua Vipaji vya Wanawake Wenye Ndoto Kubwa

    Siah Malle ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye amefanikiwa kuvunja dhana iliyojengeka na kuwagawa wanawake na wanaume kwenye...

READ MORE

Moto Wazidi Kuwaka Shigongo Cup, Nyanzenda FC Yatinga Hatua ya Nusu Fainali

  Mchezo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya mashindano ya Shigongo Cup yanayoendelea Buchosa umepigwa kati ya Nyanzanda...

READ MORE

Prof. Mkenda: Elimu Ndio Mtaji Itakayobadilisha Taifa Liweze Kusonga Mbele.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema elimu ndio mtaji na kwamba itabadilisha taifa liweze kusonga mbele....

READ MORE

Hakuna Kilichosimama Miradi Ya Maendeleo, Ushetu Inasimama na Rais Samia: Mbunge Cherehani

Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Dkt Emmanuel Cherehani amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Mfanyabiashara wa Mizigo: Serikali Ina Nia Nzuri Mno Uwekezaji Bandarini – Video

Mfanyabiashara wa kusafirisha mizigo kutoka nje ya nchi kwa njia ya anga na maji, Mzee Ahmed ambaye ni Mkurugenzi wa...

READ MORE

Prof. Mkenda: Mabadiliko Ya Mitaala Mipya Ya Elimu Bado Hayajapitishwa – Video

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema “Mapendekezo yana Mabadiliko makubwa kwenye mfumo wa Elimu kwa kuwa...

READ MORE

Watu 6 Wafariki Baada Ya Kudumbukia Ndani Ya Shimo La Maji Kabla Ya Harusi

  Takriban watu sita waliokuwa wakipanga kuhuduria harusi wamefariki baada ya kuanguka ndani ya shimo la maji wakati walipokuwa wakicheza...

READ MORE

Rais Samia: Mashirika Ya Umma Yamekuwa Ni Sehemu Ya Kula Raha -(Picha + Video)

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mashirika ya umma yamekuwa ni sehemu ya kula raha na idadi kubwa ya watumishi wa...

READ MORE

Mwanafunzi Apotea Akiwa Kwa Mkuu Wa Shule, Adai Alimchapa Kwa Kumkuta Na Simu – Video

Taharuki imetanda kwenye familia ya Warda Mohammed (15), mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyumbu, Kibaha baada ya binti huyo mdogo...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumapili, August 20, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 20, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Mchakato Wa Kuiunganisha Twiga Cement Na Tanga Cement Wazidi Kukutana Na Vikwazo

Mchakato wa kuungana wa kampuni mbili za cement (saruji) bado waendelea kukutana na vikwazo, Kampuni hizo, Tanga Cement inayomilikiwa kwa...

READ MORE

Mbeya: Wakili Mwabukusi Na ‘Mdude’ Waachiwa Kwa Dhamana

Wakili Boniface Mwabukusi na Mwanachama wa CHADEMA Mpaluka Nyagali (Mdude) wameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na Jeshi la Polisi...

READ MORE

Rais Samia Atengua Uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi...

READ MORE

Karume, Anne Makinda Wateuliwa Kuwa Kuwa Wakuu wa Vyuo Must na MoCU

Rais Samia amemteua Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Amani Abeid Karume kuwa Mkuu wa Chuo cha Sayansi na...

READ MORE

Waziri wa Elimu: Mitaala Mipya  ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Elimu ya Ualimu Kutumika Baada ya Sera ya Elimu

Waziri wa Elinu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Mitaala mipya  ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Elimu...

READ MORE

Makalla aitaka Pamba ligi kuu, Aomba umoja kwa wana Mwanza

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Amos Makalla ameomba wadau na wanamichezo kote mkoani Mwanza kujitokeza kuipa nguvu timu hiyo ili...

READ MORE