×

Habari

Profesa Ndalichako aipongeza GGML udhamini tuzo muajiri bora 2023

Makamu Rais wa AngloGold Ashanti -GGML anayeshughulikia miradi endelevu na masuala ya ubia/ ushirika (Afrika), Simon Shayo akizungumza katika hafla...

READ MORE

Pesa Ipo Leo Mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya

Jumanne ya usiku wa Ulaya ndio hii hapa kama tunavyojua hizi ni mechi za mwisho za kuamua hatma ya baadhi...

READ MORE

Mshindi wa Maokoto Chini ya Kizibo Aondoka na Zawadi ya Shilingi 500,000

Mshindi wa shindano la maokoto kutoka Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro linaloendeshwa kupitia vizibo vya vinywaji vya Kampuni ya Bia...

READ MORE

Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maji Kufanyika Arusha

Waziri wa Maji Jumaa Aweso anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa sekta ya maji utakaofanyika kwa siku...

READ MORE

Tigo Yawapeleka Dubai Kuinjoi Washindi 16 Wa Magifti Dabodabo Awamu Ya Kwanza

Dar es Salaam, 12 Desemba 2023: Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo imewapeleka Dubai washindi 16 wa...

READ MORE

Kulia kwa Ajili ya Mapenzi si Kutatua Tatizo

KARIBU mpenzi msomaji wa Sindano za Mastaa, wiki iliyopita ulikuwa na staa wa Bongo Fleva, Dayna Nyange lakini wiki hii...

READ MORE

Padre wa Kanisa Katoliki nchini Marekani afariki baada ya kushambuliwa kanisani

Padre mmoja wa kanisa katoliki amefariki baada ya kushambuliwa katika eneo la kanisa katika jimbo la Nebraska nchini Marekani. Polisi...

READ MORE

Hati Fungani ya NMB Jamii Yaandika Historia Kwa Kukusanya Tsh Bilioni 400 

Historia imeandikwa katika Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki, baada ya Hati Fungani ya NMB Jamii kukusanya Tsh Bilioni 400, ikiwa...

READ MORE

Kampuni ya Bima ya Phoenix Tanzania yabadilisha jina kwenda MUA Tanzania

Kampuni ya Bima ya Phoenix Tanzania yabadilisha jina kwenda MUA Tanzania kuakisi ubora na ukuaji wa huduma Dar es Salaam,...

READ MORE

Kasino ya Rhino Mania Ubora wa Mchezo Ndani ya Meridianbet

Rhino Mania ni mchezo wa sloti unaoletwa na mtoa huduma Platipus. Kuna aina mbalimbali za bonasi zinazokusubiri katika mchezo huu...

READ MORE

Benki ya NBC, Wafanyakazi Wakabidhi Msaada Kwa Wahanga wa Mafuriko Hanang

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) sambamba na wafanyakazi wa benki hiyo leo wamekabidhi msaada wa fedha taslimu kiasi cha...

READ MORE

Waathirika Wa Mafuriko Hanang Wafarijiwa Shilingi Milioni 100 Na Camel Oil, Cement

KAMPUNI ya Amsons Group kupitia kampuni zake za Camel Oil na Camel Cement zimekabidhi hundi ya Sh.milioni 100 kwa Serikali...

READ MORE

Makamu wa Rais Philip Mpango Awajibu Waliomzushia Kifo “Nawaombea Msamaha Kwa Mungu Awasamehe”- Video

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amewashukuru Watanzania kwa kumuombea huku akibainisha kuwa alikuwa nje ya nchi kwa...

READ MORE

#Exclusive Video: Designer Mkongwe Jadore Aahidi Kutoa Sare Za Shule Kwa Wanafunzi 5,000

Mwanamitindo maarufu hapa nchini na nje ya nchi, Jadore Couture @j_adorecouturetz amesema kuwa hakuna kitu kilichokuwa kinamuumiza akiwa mdogo kama...

READ MORE

CRDB leo Yakabidhiwa Cheti cha Viwango vya Usimamizi wa Huduma za TEHAMA

Benki ya CRDB leo imekabidhiwa cheti cha viwango vya Usimamizi wa Huduma za TEHAMA cha ISO 20000-1:2018 kilichotolewa na Shirika...

READ MORE

Wafanyakazi Wa Benki Ya Azania Walivyofika Kwenye Kilele Cha Mlima Kilimanjaro

Wafanyakazi wa Benki ya Azania wakiwa kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro. Kundi la Wafanyakazi 22 wa Benki ya Azania lilianza...

READ MORE

Magifti Dabodabo Ilivyotua Simiyu

Kampuni ya huduma za mawasiliano ya Tigo imekabidhi kiasi cha Shilingi Milioni Tano kwa Robin Brasio ambaye ni mkazi wa...

READ MORE

Mbunge Eric Shigongo Aewataka vijana kupambana kufa na kupona kuhakikisha wanatimiza ndoto zao

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amewataka vijana kupambana kufa na kupona kuhakikisha wanatimiza ndoto zao na kufanikiwa maishani kwani ukiwa...

READ MORE

TATO Yatoa Shilingi Milioni 128 Kusaidia Waathirika Wa Janga La Hanang

CHAMA cha Mawakala wa Utalii nchini (TATO) kupitia wanachama wake kimetoa misaada yenye thamani ya dola za Marekani 51,200 (...

READ MORE

Rais Samia Ateta jambo na Makamu wa Rais Dkt. Phillip Isdor Mpango Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameteta jambo na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor...

READ MORE

Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 10, 2023, amewasili katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Ambapo atakuwa mgeni rasmi...

READ MORE

Washindi Wa Magifti Dabodabo Ya Tigo Walivyoenda Zanzibar Kuinjoi Siku 4 Na Wapendwa Wao

Dar es Salaam, 10 Desemba 2023: Washindi wa Kampeni ya Magifti Dabodabo inayoendeshwa na Kampuni ya Mtandao wa simu za...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Sierra Leone ahojiwa kuhusiana madai ya jaribio la mapinduzi

Rais wa zamani wa Sierra Leone Ernest Bai Koroma ameripoti katika kituo cha polisi katika mji mkuu wa nchi hiyo...

READ MORE

DAS Mvomero Katika Maadhimisho ya Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Akumbusha Kuienzi Misingi ya Umoja

Watanzania wamekumbushwa kuienzi misingi ya umoja wetu, mshikamano na udugu wetu kama Taifa Moja, kwani fahari hii tulioikuta sasa kuna...

READ MORE

Kesi ya Shambulio la Mwili Kusikilizwa Jumatatu 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam inatarajia kuendelea kusikiliza kesi ya tuhuma za shambulio la mwili jumatatu inayomkabili...

READ MORE

Bajaji za Bei Chee Zamwagwa Dar, Wahi Uchukue Ya Kwako Kabla Hazijaisha – Video

Kampuni ya SEPCO Debt Collection and Auctioneering inakutangazia mnada mnada wa hadhara kwa idhini waliyopewa na Kampuni ya Wakazi Holding...

READ MORE

Rais Samia: Taifa Lazima Lijipangie Mpango Wa Maendeleo, Ukishindwa Kujipanga, Utapangiwa (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema ni lazima Taifa lijipangie mpango maalum wa maendeleo kwa sababu ukishindwa kujipanga, utapangiwa kwa masharti...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada Mwenge ya Miamvuli kwa wajasiriamali

  Zamu ya Mwenge jijini Dar-es-salaam sasa ambapo mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamewafikia wakazi wa eneo...

READ MORE

Johnnie Walker Yasimika Sanamu Kusherehekea Miaka 62 ya Uhuru wa Iliyokuwa Tanganyika

Johnnie Walker yaadhimisha miaka 62 ya umoja wa Tanzania kupitia kampeni ya kusisimua, “Keep Walking Tanzania” kwa kusimika sanamu ya...

READ MORE

Walioathirika Na Mafuriko Hanang Wapewa Mitungi Ya Gesi Ya Kupikia Bure Na Oryx

Wakati nchi ikiendelea na maombolezo ya vifo, majeruhi, uharibifu wa mali kufuatia janga la maporomoko ya tope na mafuriko yaliyotokea...

READ MORE

Mshindi wa Shilingi 500,000 wa Maokoto ya Serengeti Akabidhiwa Zawadi Yake Kilosa

Washindi mbalimbali wanaendelea kujishindia maokoto kupitia vizibo, zoezi linaloendeshwa na Kampuni ya Serengeti Breweries. Awamu hii ni zamu ya Martha...

READ MORE

Rais Putin atangaza kuwania nafasi ya urais uchaguzi wa 2024

Rais wa Russia Vladimir Putin Ijumaa alichukua hatua ya kuongeza muda wa uongozi wake nchini Russia kwa miaka sita zaidi,...

READ MORE

Wachimba migodi zaidi ya 400 Afrika Kusini wazuiliwa chini ya ardhi

Waasi wachimba madini wamewazuia wafanyakazi zaidi ya 400 chini ya ardhi siku ya Ijumaa katika mgodi wa dhahabu nchini Afrika...

READ MORE

Barrick: Happy Independence Day Tanzania

DESEMBA 9 ya kila mwaka Taifa linaadhimisha siku ya Uhuru uliopatikana Desemba 9, 1961 na leo Desemba 9, 2023 ni...

READ MORE

TANESCO Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Hitilafu ya Umeme Iliyojitokeza leo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa ufafanuzi umma kuhusu hitilafu ya umeme iliyojitokeza leo Desemba 8, 2023 majira ya saa...

READ MORE

Tanesco Watoa Tamko Kuhusu Hitilafu Iliyojitokeza Katika Gridi ya Taifa

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linautaarifu umma kuhusu hitilafu iliyojitokeza katika Gridi Taifa leo tarehe 08 Disemba 2023 majira ya...

READ MORE

Kesi ya pili ya jinai yawasilishwa dhidi ya mtoto wa rais wa Marekani Hunter Biden

Waendesha mashtaka wa serikali wamefungua mashtaka ya ushuru dhidi ya Hunter Biden, kesi ya pili ya jinai inayomkabili mtoto wa...

READ MORE

Benki ya NBC, Taasisi ya Benjamini Mkapa Wazindua Ufadhili wa Mafunzo ya Ukunga kwa Wauguzi 50

Morogoro, Benki ya NBC kwa kushirikaina na taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation wamezidua rasmi utekelezaji wa mpango wa ufadhili wa...

READ MORE

Washindi Wa Magifti Dabodabo Wiki Ya 2 Watangazwa na Kupewa Zawadi Zao

Dar es Salaam, 8 Desemba 2023: Kampeni ya Magifti Dabodabo inayoendeshwa na Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya...

READ MORE