×

Habari

Mtetezi Maarufu wa Mashoga Afariki Dunia

  MWANAHARAKATI wa kupigania haki za wapenzi wa jinsia moja nchini Kenya, Binyavanga Wainaina, amefariki. Nduguye James Wainaina amethibitisha kwa...

READ MORE

MLINGA AHOJI BUNGENI KONDOM KUGAWIWA BURE!

MBUNGE  wa Ulanga, Goodluck Mlinga (CCM) ameomba mwongozo bungeni akihoji sababu ya serikali kutoa mipira ya kiume (kondomu) bure badala...

READ MORE

MAGARI ya Kisasa Kuuzwa Dar, BEI CHEE kwa Mnada – Video

KAMA ilivyo kawaida, Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd, inakuletea mnada mwingine mkubwa wa hadhara...

READ MORE

Betika ndiyo habari ya mjini

  WASOMAJI wa Gazeti la Betika, wameendelea kutoa ushuhuda wao juu ya gazeti hilo huku wakisema ni habari ya mjini...

READ MORE

MO DEWJI Awapa Bodaboda Wachezaji Wote Simba, Afungukia Usajili – Video

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji, ametoa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba msimu huu ikiwa ni...

READ MORE

JPM Atoa Heshima za Mwisho kwa Brigedia-Jenerali Ngwilizi

          PICHA NA IKULU RC MWANRI ‘ALIVYOMNING’INIZA’ MTU – VIDEO

READ MORE

IRAN YAMPUUZA TRUMP NA VITISHO VYAKE

Waziri wa mambo  ya kigeni nchini Iran Javad Zarrif amepuuzia vitisho vya  Rais wa Marekani Donald Trump juu ya kuliangamiza...

READ MORE

MWILI WA SAVIMBI KUFUKULIWA BAADA YA MIAKA 27

MWILI wa aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Angola. Jonas Savimbi, aliyeuawa mwaka 2002, unatarajiwa kufukuliwa mwezi ujao kwa ajili ya...

READ MORE

MAITI YA TSHISEKEDI KUREJESHWA DRC BAADA YA MIAKA MIWILI

MWILI wa aliyekuwa kiongozi wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Étienne Tshisekedi, utarejeshwa nyumbani Mei 30 na kuzikwa...

READ MORE

CHADEMA WASHUHUDIA ALIYEMRITHI NASSARI AKIAPISHWA – VIDEO

Kwa mara ya kwanza wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) wamebaki ndani ya ukumbi wa Bunge wakati zoezi...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Argentina Afunguliwa Mashtaka

RAIS  wa zamani wa Argentina, Cristina Fernandez de Kirchner,  amefunguliwa mashitaka ya rushwa,  tukio lililokuja siku tatu baada ya kutangaza...

READ MORE

Tundu Lissu Ataja Tarehe ya Kurejea Bongo

Mbunge Tundu Lissu amesema atarejea nchini Septemba 7, 2019, siku ambayo itatimia miaka miwili tangu aliposhambuliwa kwa risasi jijini Dodoma...

READ MORE

KISIWA CHENYE MTU MMOJA TU MAARUFU! – VIDEO

Sio kila mara utapata kusikia kuhusu kisiwa cha Guam ambacho ndio kikubwa zaidi katika Bahari ya Pacific na kinamilikiwa na...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Mazishi ya Askofu Mmole Mtwara – Video

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania wote wamuenzi marehemu Askofu Mstaafu Gaberiel Mmole (80) wa Jimbo Katoliki...

READ MORE

MAAJABU: Mtoto Aliyepandishwa Juu ya BATI, Asimulia Alivyomuita ‘YESU’ – Video

SIKU chache zilizopita mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Maziwa, jijini Mbeya mkoani Mbeya alipatwa na tukio...

READ MORE

MUFTI MKUU TANZANIA AITABIRIA MAKUBWA BENKI YA NMB

MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir, ameitabiria makubwa Benki ya NMB, kutokana na utamaduni chanya walionao wa kuijali, kuithamini...

READ MORE

BOMOABOMOA MWENGE…UTAPELI WAIBUKA

KUFA kufaana! Ndivyo ilivyokuwa baada ya zoezi la bomoabomoa kufanyika juzi katika Kituo cha Daladala cha Mwenge jijini Dar ambapo...

READ MORE

MAAJABU UPEPO WAPANDISHA WATANO JUU YA PAA MBEYA

MAAJABU ambayo sayansi yake haijulikani ni ya karne gani yametokea jijini hapa kwa watu watano kwa nyakati tofauti kukumbwa na...

READ MORE

EXCLUSIVE: MAMA NA MWANAE WAMWAGA MACHOZI STUDIO – VIDEO

Ni kisa cha kusisimua sana, kinachowahusisha kijana anayefahamika kwa jina la Hussein (18) na Mama yake mdogo ambaye ndiye aliyemlea...

READ MORE

MALAWI WAPIGA KURA KUCHAGUA RAIS NA WABUNGE

Wananchi wa Malawi leo Jumann, Mei 21, 2019 wampiga kura kuchagua Rais na wabunge baada ya kampeni zilizokuwa na ushindani...

READ MORE

JPM: Mawaziri Wenye Simu za TTCL, Wasiotoa Gawio Wafungiwe – Video

RAIS  John Magufuli leo Jumanne, Mei 21, 2019 ametembelea makao makuu ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania (TTCL) na kupokea...

READ MORE

NAPE ALIAMSHA DUDE: KOROSHO YETU IKO WAPI? MMEDANGANYA – VIDEO

MBUNGE wa Mtama,Nape Nnauye (CCM) ametaka wote waliohusika na kuhujumu Korosho wachukuliwe hatua na wasipochukuliwa ataleta kusudio jinsi walivyofanya mmoja...

READ MORE

Makambo Azuia Milioni 689 za Kagere Simba

KITENDO cha straika wa Yanga, Heritier Makambo kusaini mkataba wa awali na Horoya AC, kimeifanya Simba kukosa kiasi cha dola...

READ MORE

MDUDE Alivyomwaga ‘MACHOZI’ Hadharani “NINA KOSA GANI” – VIDEO

MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali amesema licha ya kupotea hivi karibuni kwa kile alichokidai kuwa...

READ MORE

MBUNGE ATAKA BANGI IRUHUSIWE TANZANIA, SPIKA AMPA BIG UP! – VIDEO

Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ameishauri Serikali ya Tanzania kuruhusu kilimo cha bangi nchini kwa ajili ya utengenezaji...

READ MORE

WALIOMKERA JPM KORTINI

MBEYA: MAOFISA watatu waliomkera Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati wa ziara yake mkoani hapa hivi karibuni, wamefikishwa mahakamani na...

READ MORE

TIRA YAZINDUA KANUNI ZA BIMA KUPITIA BENKI

    MAMLAKA ya Usimamizi wa Shughuli za Bima nchini (TIRA) kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zimezindua Kanuni...

READ MORE

Masele Awekwa ‘Mtu Kati’ Kamati ya Maadili Bunge

MBUNGE wa Shinyanga Mjini (CCM) na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (Pan African Parliament – PAP),...

READ MORE

UHASAMA! Google Yaizuia Huawei Kutumia Programu za Android

UHASAMA wa Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya makampuni makubwa ya mawasiliano kutoka China umeanza kuiweka kampuni ya simu...

READ MORE

Halotel, Visa waungana kuwezesha malipo kwa njia ya simu

Kampuni za Halotel Tanzania na Visa zimesaini mkataba wa kimkakati ambao utawawezesha watumiaji wa Halopesa kufanya malipo kwa njia ya...

READ MORE

Watu 11 Wauawa Katika Shambulio Brazil

TAKRIBAN watu 11 wameuawa baada ya watu wenye silaha kuvamia baa moja na kuwashambulia kwa risasi watu waliokuwemo ndani ya...

READ MORE

Trump Aitishia Iran Baada ya Kusema Haiogopi Vita

Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kuizuia Iran kuwa na silaha za nyuklia saa chache baada ya kutishia kuiangamiza kufuatia...

READ MORE

Breaking News: HATIMAYE Masele Ajisalimisha kwa Ndugai – Video

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament – PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen...

READ MORE

RIDHIWANI AWABEBA WAZEE NA WENYE ULEMAVU, CHALINZE

  Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh.Ridhiwani Kikwete akimkabidhi msaada wa Baiskeli ya Miguu mitatu (Wheel Chair),Mkazi wa Zomozi-Ubena Mzee Cosmas...

READ MORE

TANZIA: Waziri Afariki Dunia Zanzibar

TANZIA: Aliyewahi kuwa Waziri wa Michezo na Naibu Waziri Kiongozi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ali Juma Shamhuna amefariki dunia...

READ MORE

KIMBEMBE !ALICHOKIFANYA TRAFIKI HUYU HUWEZI KUAMINI

MOROGORO: NI patashika nguo kuchanika! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kijana mmoja wa Kimasai kuibua kimbembe cha aina yake baada...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA QURAAN (PICHA +VIDEO)

PICHA NA IKULU Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa zawadi mbalimbali za washindi wa mashindano ya 20 ya kusoma na...

READ MORE

Ndugai: Masele aripoti bungeni Jumatatu saa 5, akikaidi atakamatwa

  Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele anatakiwa kufika mbele ya Kamati ya...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ASALI IBADA KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. PETRO OYSTERBAY

Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 19, 2019 amesali Ibada ya Dominika ya Tano ya Pasaka katika Kanisa...

READ MORE

NMB YAFUTURISHA WATEJA WAKE MKOANI TANGA

  BENKI ya NMB imeombwa kuangalia uwezekano wakuongeza matawi ya vituo vya kutolea fedha ATM ili kuhakikisha inasogeza huduma zake...

READ MORE