×

Habari

Wanaume Walio Uchi Wanapoisaka ‘Fimbo Ya Bahati’! (PICHA)

  MAELFU ya wanaume waliokuwa nusu uchi na waliovalia vinguo vyeupe vinavyoanzia kiunoni, venye kuficha tupu zao kwa mbele na...

READ MORE

‘Kuendesha gari baada ya kunywa pombe si makosa Kenya’

  MAHAKAMA moja ya Kiambu nchini Kenya imetoa uamuzi wa kipekee ikisema kuendesha gari baada ya kunywa pombe si makosa...

READ MORE

VIDEO: Waziri wa JK Afunga Ndoa na Kabinti Kabichi

MBUNGE wa zamani wa Urambo, Profesa Juma Kapuya (73),  amefunga ndoa na binti ambaye anakadiriwa kuwa na umri wa miaka...

READ MORE

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KITUO CHA UTAFITI WA ZAO LA MICHIKICHI KIGOMA

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumapili, Februari 17, 2019 ameiagiza Wizara ya Kilimo iwawezeshe watafiti katika kituo cha Utafiti cha zao...

READ MORE

Ben Kinyaiya Afunga Ndoa na Mchumba Wake Wa siku Nyingi

MTANGAZAJI maarufu Bongo, Benny Kinyaiya amefunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingi baada ya picha zao kuonekano...

READ MORE

RC MAKONDA AMPA MILIONI 5 MAMA WA GODZILLA

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema atampa pesa kiasi cha Tsh milioni tano, mama mzazi wa...

READ MORE

VIDEO: Mwili wa GODZILLA Waagwa SALASALA, Kuzikwa Kinondoni

 BAADA ya kifo cha ghafl a cha Msanii wa Muziki wa HipHop Bongo, Golden Mbunda ‘Godzilla’, kuleta mshituko mkubwa,...

READ MORE

Lugola Baada ya Kuona Kaburi la Kijana Aliepigwa Risasi Kituo cha Polisi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amefika nyumbani kwa kijana Richard Peter, ambaye amefariki siku za hivi...

READ MORE

Amuua Mumewe kwa Sumu ili Afunge Ndoa na Mchepuko

MWANAMKE mfanyakazi katika gereza kutoka Missouri, Marekani anatuhumiwa kuwa alimuua mumewe kwa kumtilia sumu kwenye chakula, ili waoane na mpenzi...

READ MORE

Uchaguzi wa rais, wabunge Nigeria waahirishwa

  UCHAGUZI mkuu wa urais na wabunge nchini Nigeria umeahirishwa ambapo utafanyika baada ya wiki moja. Tume huru ya kitaifa...

READ MORE

MAPYA YAIBUKA KILICHOMUUA GODZILLA!

DAR ES SALAAM: Licha ya dada wa aliyekuwa mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Golden Jacob Mbunda ‘Godzilla’, Joyce Mbunda kueleza...

READ MORE

Tuzo za SZIFF Kufanyika Mlimani City Februari 23

Tuzo za Sinema Zetu (SZIFF) za kuwapata washindi zinatarajiwa kufikia kilele chake Februari 23 mwaka huu katika Ukumbi wa Mlimani...

READ MORE

Makamu wa Rais Akabidhi Tuzo kwa Washindi Bora wa Kiswahili

Ni vicheko mtupu… THE MABATI-CORNELL KISWAHILI PRIZE FOR AFRICAN LITERATURE 2018WinnersAnnouncement The  Winners  of  the  2018  Mabati  Cornell  Kiswahili  Prize ...

READ MORE

Mshindi wa Milioni 188.5 za M-BET kuichangia Yanga

Mshindi wa droo ya kwanza  ya mwaka huu ya Perfect 12 ya kampuni ya M-BET Frank Kayombo (wa pili kushoto) kutoka...

READ MORE

SIKU 1 KABLA YA UCHAGUZI: MAGUNIA YENYE KURA FEKI YAKAMATWA

  Magunia 17 kura zilizopigwa yakamatwa nchini Nigeria kufwatia uchaguzi. Magunia hayo yamekamatwa kwenye Jimbo la Kano na inadaiwa kura...

READ MORE

AMJERUHI MKEWE KISA ‘KUMNYIMA PENZI KINYUME NA MAUMBILE’

MWANAMKE mmoja mkazi wa Kijichi Mkoa wa Mjini Magharibi, amedai kupigwa na kujeruhiwa usoni na mumewe ambapo ameshonwa nyuzi 6,...

READ MORE

CHADEMA Waibua Mapya Ishu ya CAG, Sasa Kuanza Mikutano ya Hadhara – VIDEO

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kuanza mikutano ya hadhara mchana kweupe na kwamba kwa sasa kinachofanyika ni kufanya...

READ MORE

Mbunge Aliyeiba mkate dukani Ajiuzulu

  MBUNGE mmoja nchini Slovenia amejiuzulu baada ya kuiba mkate maarufu kama ”Sandwich” katika duka moja kwa madai kuwa wahudumu...

READ MORE

MAHAMANI kwa Kuandika “Kawatembelea Ukerewe Siku 2 Tu, Wakafa”

MKAZI wa Mwanza, Emmanuel Mahumbi (38) jana amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka...

READ MORE

Serikali Yakabidhi Eneo la Mradi wa Umeme Mto Rufiji kwa Mkandarasi

SERIKALI imekabidhi rasmi eneo la mradi wa umeme wa maporomoko ya maji ya Mto Rufiji (RHPP), kwa Mkandarasi Kampuni ya...

READ MORE

Sekondari St. Matthew Yafunguka Kuzuiliwa Matokeo na Baraza la Mitiani

  Uongozi wa shule ya sekondari St. Matthew unatoa pole kwa vijana wetu 228 waliofanya mtihani wa kidato cha nne...

READ MORE

CHINA YAIPA BURUNDI BONGE LA IKULU, NI JIPYAA!

Balozi wa China nchini Burundi, Li Changlin na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi, Ezechiel Nibigira wamesaini hati ya...

READ MORE

Wananchi Wapiga Kura Kuwataja Wauaji wa Watoto Simiyu

WANANCHI wa Kata ya Lamadi, Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, jana wamepiga kura ya siri ya kuwataja watuhumiwa wa mauaji...

READ MORE

A-Z Kijana Aliyeuawa na Polisi Arusha

ARUSHA: Kijana Richard Peter Lombo (29) ameuawa kwa kupigwa risasi na askari Polisi wa Kituo cha Polisi Usariva mkoani Arusha...

READ MORE

Serikali Yatoa wito kwa NBC kupanua wigo katika utoaji wa huduma zake

  SERIKALI imetoa wito kwa Benki ya Biashara nchini NBC kupanua wigo katika utoaji wa huduma zake hapa nchini ili...

READ MORE

TAARIFA MUHIMU KUTOKA IKULU LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amefanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Taifa...

READ MORE

TTCL YAPEWA MWEZI MMOJA KUONGEZA UPATIKANAJI WA BIDHAA ZAKE VIJIJINI

NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye(Mb) amelitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL Corporation kuongeza juhudi katika...

READ MORE

WAZIRI KAIRUKI: SERIKALI KUENDELEA KUJENGA MAZINGIRA WEZESHI SEKTA YA KILIMO

  Serikali imedhamiria kuendelea kujenga mazingira wezeshi na endelevu katika Sekta ya Kilimo kupitia sera imara na zenye kutekelezeka.    ...

READ MORE

NJEMBA AMFANYIA KITU MBAYA MWANAMKE ALIYEZIRAI, YAMKUTA!

MWANAMME Isrrael Cordero (47) wa Long Branch, Marekani, amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kufanya shambulio la ngono kwa...

READ MORE

Unaikumbuka Hii ya JPM? – VIDEO

KIWANDA cha Jambo Food Products Company Limited kinachojihusisha na uzalishaji wa vinywaji baridi ikiwemo soda, juisi na maji kimejichukulia umaarufu...

READ MORE

KILICHOMKUTA WAMBURA MAHAKAMANI LEO – VIDEO

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema haina mamlaka ya kumfutia kesi wala kumpa dhamana Michael Wambura baada ya Wakili wake...

READ MORE

MJADALA MOTO: NAPE, GHASIA KUJIUZULU KAMATI BUNGENI, KUNA NINI?

BUNGE limeahirishwa huku Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye akiwa amejiuzulu Uenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,...

READ MORE

KILICHOTOKEA LEO KESI YA MBOWE, MATIKO – VIDEO

KESI namba 112/2018 inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe...

READ MORE

AJALI ILIYOUA WANNE…. MTOTO AIBUA SIMANZI NZITO!

NI SIMANZI juu ya simanzi! Kufuatia ajali iliyoua watu wanne katika mteremko wa Nyangoye, Bukoba mkoani hapa, mtoto wa mmoja...

READ MORE

Mrembo achomwa visu akilazimishwa penzi

WAKATI wapendanao duniani wakiadhimisha Sikukuu ya Valentine’s Day kesho (Alhamisi) kwa kila mmoja kuonesha mahaba niue kwa mwenza wake, hali...

READ MORE

Pakua Global App na Ushinde Tablet Mpya na Mkwanja

Pakua Global App kisha bofya Menu (kushoto juu) Jaza taarifa zako kwa usahii kwenye SHINDANO jina lako litaingizwa kwenye Droo...

READ MORE

Video: Kilichomuua Godzilla; Dada Asimulia: “Aliona Watu Wanamfuata”

KWA mujibu wa madaktari, kifo cha mwanamuziki Golden Jacob Mbunda ‘Godzilla’ kilitokana na mchanganyiko wa malaria, kupanda kwa kisukari na...

READ MORE

Lugola Ahoji Dereva wa Lissu Kutopigwa Risasi

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema kuna haja ya dereva ya Mbunge wa Singida Mashariki, Adam Bakari kueleza...

READ MORE

MTANZANIA ALIYELETA DREAMLINER ASHINDA TUZO MAREKANI

  GEORGE JONAS, raia wa Tanzania anayefanya kazi katika  kampuni ya Boeing nchini Marekani amepata tuzo ya Mhandisi Mweusi Mwafrika...

READ MORE

SERENGETI ILIVYOJITOA KATIKA JAMII

Kampuni ya Serengeti Breweries leo imefanya mkutano na wanahabari na kujadiliana mambo kadhaa. Akizungumza kwenye mkutano huo, Meneja Mawasiliano wa...

READ MORE