×

Habari

Rais Samia Aelekea Dodoma Kuhitimisha Bunge la 12 Kesho – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza safari kutoka Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma...

READ MORE

Msukuma Awavunja Mbavu Wabunge “Mniombee Nirudi Tena Bungeni!” – Video

NBUNGE wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma, awavunja mbavu wabunge baada ya kuomba wamuombee ili arudi tena bungeni....

READ MORE

Majaliwa Atangaza Kugombea Tena Ubunge Ruangwa 2025, Atoa Hotuba Ya Mwisho Bungeni – Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Ruangwa mkoani Lindi, Kassim Majaliwa Majaliwa, amewashukuru wananchi wa…

READ MORE

Serikali Yawarejesha Watanzania 42 Kutoka Nchini Iran Na Israel

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha salama nchini Watanzania 42 kutoka nchini Israel na Iran kufuatia vita...

READ MORE

NBC Yakabidhi Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu kwa Yanga

· Yasisitiza dhamira yake kuwekeza zaidi kwenye maendeleo ya wachezaji. Mdhamini mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya...

READ MORE

SBL Yakabidhi Mradi Wa Maji Kwa Wakazi 14,000 Wa Kwadelo, Wilaya Ya Kondoa

Dodoma, Tanzania – JunI 26, 2025: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), kwa kushirikiana na shirika la Africa Community Advancement...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Sherehe Za Miaka 50 Ya Uhuru Wa Msumbiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia maelfu ya wananchi wa Msumbiji katika sherehe za...

READ MORE

Askari wa Jeshi la Magereza Kizimbani kwa Kosa la Kumlawiti – Video

Askari wa Jeshi la Magereza amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, akikabiliwa na kesi ya kumlawiti...

READ MORE

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kwenye Maadhimisho Siku Ya Kupiga Vita Dawa Za Kulevya

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Juni 26, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa...

READ MORE

Pacome na Mzize Waipa Yanga Ubingwa wa 2024/25

KARIAKOO Dabi dakika 90 zimekamilika kwa ubao kusoma Yanga SC 2-0 Simba SC. Ubingwa ukiwa mali ya Yanga SC. Clement...

READ MORE

Gen Z Warejea Mitaani Kenya Wapaza Sauti Upya Dhidi ya Ukatili wa Polisi

Maandamano makubwa ya vijana maarufu kama Gen Z, yanatarajiwa leo Jumatano nchini Kenya, mwaka mmoja kamili baada ya maelfu ya...

READ MORE

Majaliwa Azindua Mitambo Ya Shillingi Billioni 12.4 Kwa Ajili Ya Wachimbaji Wadogo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua mitambo kumi ya uchorongaji na vifaa vya utafiti wa madini yenye thamani wa shilingi bilioni...

READ MORE

Museveni Kuwania Tena Urais 2026 kwa Muhula wa Saba, Bobi Wine Asema Yupo Tayari

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, atawania tena urais kwa muhula wa saba katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema Januari 2026,...

READ MORE

Said wa Tabata Mshindi wa Kwanza la Gari la SimBanking 2025

Mwaka umeanza vizuri kwa Said Mbaruku Mohamed, mkazi wa Tabata jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka mshindi wa kwanza...

READ MORE

BRELA yatoa msaada kwa Watoto wenye uhitajj

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), katika kuadhimisha wiki ya Utumishi wa Umma imetoa mahitaji katika kituo cha...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa TAMWA 2025: Usawa, Heshima na Siasa Safi

Mwasisi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania(TAMWA) Edda Sanga amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni rais wa kwanza mwanamke ambaye...

READ MORE

Wanachama 280 Wa Chadema Watimukia CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendela kuvuna wanachama wapya kutoka katika vyama vya upinzani, hali ambayo inaongeza idadi ya wanachama katika...

READ MORE

Bajeti ya Trilioni 56 Yapitishwa Bungeni Bila Kupinga! – Video

Dodoma, Juni 24, 2025 – Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa...

READ MORE

Mbunge Job Ndugai Aibua Vigelegele Bungeni Dodoma – Video

Shangwe la wabunge bungeni jijini Dodoma leo mara baada ya jina la Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kutajwa wakati wa...

READ MORE

NIT na Jeshi la Polisi Watoa Elimu ya Usalama Barabarani kwa Madereva Kibaha

Pwani, 24 Juni 2024: Katika jitihada za kukabiliana na changamoto ya ajali za barabarani, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)...

READ MORE

Zaidi ya Bilioni 1 Kuwaniwa Kwenye Mashindnao ya Mystery Multiplier Drop

Je unajua kuwa kwenye mashindano haya ya WAZDAN unaweza kujishindia mpaka Bilioni Moja na zaidi?. Kama hujajua basi ni hivi...

READ MORE

Kesi ya Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini CHADEMA Yaahirishwa Mpaka Julai 10

Leo Juni 24, 2025 Kesi namba 8323/2025 ambayo imetoa zuio la muda kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuendesha...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Mitambo Ya Uchorongaji Na Vita Vya Utafiti Kwa Wachimbaji Wadogo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Juni 24, 2025 amezindua mitambo ya uchorongaji na vifaa vya utafiti kwa wachimbaji wadogo kupitia...

READ MORE

Rais Samia Amteua John Pima Kuongoza Manispaa ya Tabora

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua John Pima kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora mkoani Tabora akichukua nafasi...

READ MORE

Rais Samia Awapumzisha Wakuu wa Mikoa Watano, Yumo Makonda – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwahamisha au kuwaweka kando wakuu...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa viongozi Mbalimbali, RC Kenan Amrithi Makonda Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na mabadiliko ya uteuzi wa viongozi...

READ MORE

Makalla: Barabara ya Mpwapwa Njiapanda Kongwa Kujengwa Lami

• Rais Dkt Samia ametoa fedha mkandarasi ameanza maandalizi MPWAPWA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Cham cha...

READ MORE

Bosi  Kituo cha Afya Salaaman Alivyoshinda Kesi Mbili za Jinai Dhidi Yake

Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni ya Salaaman Health Services Ltd inayomiliki Kituo cha Afya cha Salaaman (Salaaman Health Centre), Dk...

READ MORE

NMB Yatwaa Ithibati ya Pili ya Benki Kinara Usawa wa Kijinsia Afrika

Kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka minne, Benki ya NMB leo imetunukiwa Cheti cha Ithibati ya kutambuliwa kuwa...

READ MORE

Michuano ya CDF CUP Kuanza Kutimua Vumbi Julai 2

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Stergomena Lawrence Tax (Mb) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya...

READ MORE

Orodha Fupi ya Tuzo ya SAFAL ya Kiswahili 2024 Yatangazwa Dar

Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika imetangaza orodha fupi ya miswada ya mashindano ya mwaka 2024. Tuzo...

READ MORE

Airtel UNICEF Waunganisha Shule 30 Mkoani Dodoma Na Intaneti Ya Bure

Kampuni ya Airtel Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kupitia mradi wake wa kijamii wa...

READ MORE

Majaliwa Azipa Wiki Tano Taasisi Za Serikali Kujiunga Na Mfumo Unaowezesha Serikali Kuwasiliana

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za Serikali ambazo hazijajiunga na mfumo wa kielektroni utakaowezesha mifumo ya Serikali kuwasiliana (GovESB)...

READ MORE

Serikali Kusaidia Matibabu Kwa Kaya Zisizokuwa Na Uwezo Kupitia Bima Ya Afya Ya NHIF

Na Sabina Wandiba Serikali kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), inatarajia kuanzisha huduma ya kuzilipia huduma ya...

READ MORE

Chuo Kikuu Cha Kampala (KIUT) Chang’ara Fainali Ya Ubingwa Mpira Wa Wavu (DAREVA)

Timu za Mpira wa Wavu (Volleball) wanawake na wanaume, za Chuo Kikuu cha Kampala kilichopo Jijini Dar es Salaam, zimetangazwa...

READ MORE

YAS Yashirikiana na Watu Tanzania Kurahisisha Upatikanaji wa Simu Janja Nchini

Dar es Salaam, Tanzania – 27 Juni 2025 – Kampuni ya mawasiliano ya YAS, kwa kushirikiana na Watu Tanzania kupitia...

READ MORE

Fadlu: Tuna Mechi Moja Tukishinda Tutakuwa Mabingwa

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa wana mchezo mmoja mkononi ambao wakishinda watakuwa mabingwa. Mchezo huo...

READ MORE

Jeshi La Iran: Marekani Na Israel Zisubiri Majibu Ya Majuto

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) limelaani shambulio la Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya...

READ MORE

Meridianbet Foundation Yaadhimisha Miaka Mitano ya Msaada wa Masomo Duniani

Meridianbet Foundation, taasisi ya kijamii chini ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), imeadhimisha miaka mitano ya kutoa ufadhili wa masomo...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Ashiriki Dominika Ya Ekaristi Takatifu Nchini Italia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, akiambatana na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango, wameungana...

READ MORE