×

Habari

Kesi ya Talaka Ilimnyima Kila Kitu Lakini Alirudi Tena Mahakamani na Sasa Ana Mali na Watoto Wake Wote

Siku niliyoingia mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi yangu ya talaka, nilijua maisha yangu yalikuwa yanavunjika vipande vipande. Mume wangu...

READ MORE

Waziri Mkuu Ahani Msiba Wa Mzee Mongela Makongo Juu jijini Dar

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 3, 2025. amehani msiba wa Mzee Silvin Ibengwe Mongella ambaye ni mume wa Mama...

READ MORE

Mbunge Shigongo Aeleza Hatari Ya Homa Ya Ini Nchini, Aomba Serikali Kuwachanja Watanzania – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameitaka serikali kuchukua hatua zaidi za kudhibiti homa ya ini (Hepatitis B) ambayo kwa sasa...

READ MORE

Mbeto: Askofu Gwajima Alitaka Unaibu Waziri Kwa Rais Samia Akanyimwa – Video

Kupitia kipindi cha Front Page ya @255globalradio na Global TV, Katibu wa Kamati Maalumu ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi...

READ MORE

Iran Yatoa Mwito wa Kusitishwa Mapigano Gaza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, ametoa mwito wa kusitishwa haraka mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Ghaza na...

READ MORE

Benki ya NBC, Mbogo Ranches Zasaini Makubaliano ya Utoaji Mikopo ya Mbegu Bora ya Mifugo kwa Wafugaji

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Mbogo Ranches yanayotoa fursa kwa wafugaji nchini...

READ MORE

Polisi Watekeleza Agizo la Kusitisha Shughuli za Kanisa la Askofu Gwajima

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam SACP, Jumanne Muliro amesema Jeshi hilo limeanza kutekeleza sheria na kuhakikisha...

READ MORE

Kijana Afariki Dunia: Ajinyonga Kwa Kutumia Manda Wa Suruali

Kijana mmoja mkazi wa Kijiji cha Halla, wilayani Babati, mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia mkanda wa...

READ MORE

Exclusive: Sheikh Walid Afichua Ukweli Wa Ndoa ya Diamond Na Zuchu – Video

Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Waleed Alhad Omar Kawambwa amethibitisha kuwa msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond...

READ MORE

Wanafunzi DIT, UDSM na UDOM Wapata Tuzo za Juu Nchini China

WANAFUNZI na wakufunzi wa vyuo vikuu kutoka Tanzania wameibuka washindi katika shindano la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) la...

READ MORE

Mbinu ya kuzishika fedha na kubakia nazo kwa muda mrefu

Ushawai kujiuliza kwanini watu wengine wanafanikiwa kimaisha huku wewe ukibakia fukara, yaani ni kama vile wewe sio binadamu au haufanyi...

READ MORE

Kanisa La Askofu Gwajima Lafungiwa – Video

Msajili wa Jumuiya za Kiraia nchini ametangaza rasmi kufutwa kwa usajili wa Glory of Christ Tanzania Church, Kanisa la Ufufuo...

READ MORE

Internet Society (ISOC) Makao Makuu Yatembelea Miradi Nchini Tanzania

Uongozi wa Makao Makuu ya Internet Society kutoka Marekani umetembelea   Tanzania kuangalia shughuli zinazotekelezwa na Chapter ya Tanzania ikiwemo mradi...

READ MORE

Balozi Nchimbi Awasili Songea Mazishi Ya Mzee Songambele

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea, mkoani...

READ MORE

Mahakama Yaahirisha Kesi ya Tundu Lissu Hadi Juni 16, 2025

DAR ES SALAAM — Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya jinai inayomkabili Tundu Lissu hadi Juni 16, 2025,...

READ MORE

Idadi ya waliofariki dunia Nigeria yafikia 200

Wakazi wa eneo la Mokwa wameeleza kwa BBC jinsi mafuriko yalivyokumba mji wao kwa ghafla na kusababisha uharibifu mkubwa. Idadi...

READ MORE

Mashabiki Wa PSG Waunga Mkono Palestina Katika Mechi Ya Fainali Ya Klabu Bingwa Ulaya

Mashabiki wa PSG waunga mkono Palestina katika mechi ya fainali ya klabu bingwa Ulaya Mashabiki wa timu ya soka ya...

READ MORE

Fiston Mayele Aandika Historia: Aipa Pyramids FC Taji La Kwanza La Ligi ya Mabingwa Afrika

Cairo, Misri – Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka DR Congo, Fiston Kalala Mayele, ameendelea kuthibitisha kuwa yeye ni miongoni mwa wakali...

READ MORE

Wiki ya AZAKI 2025 Kuanza na Mjadala Kuhusu Dira ya Maendeleo 2050

Arusha, 1 Juni 2025 – Wiki ya Asasi za Kiraia (AZAKI) kwa mwaka 2025 itafunguliwa rasmi Jumatatu tarehe 2 Juni...

READ MORE

UN: Ni “Uhalifu wa Vita” kuzuia chakula kuwafikia Wapalestina wa Gaza

Mkuu wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hatua ya Israel ya kuzuia misaada ya chakula kwa...

READ MORE

Nyuma Ya Pazia Jinsi Watu Wanavyotajirika Kupitia Betting

Sasa baada ya kubashiri kwa miaka mingi katika soka na kila wakati kupata ushindi hafifu ulionipatia fedha ndogo, nilifikia hatua...

READ MORE

GGML Kuzindua Mpango wa Mafunzo Kwa Vitendo

Geita Gold Mining Limited  kuzindua Mpango wa Mafunzo kwa Vitendo kwa Mwaka 2025/2026 kwa Ajili ya Kuendeleza Vijana Kitaaluma Tanzania....

READ MORE

Yas Yaja na ‘Anzia Ulipo’ Kuhamasisha Watanzania Kusimamia Ndoto Zao

DAR ES SALAAM, 4 Juni 2025 – Kampuni ya Mawasiliano inayoongoza kwenye masuala ya kidijitali Yas, imezindua rasmi Kampeni kabambe...

READ MORE

Waziri Jafo Ashiriki Uzinduzi Rasmi wa Mtambo wa Mabati ya Rangi ALAF

Kampuni ya ALAF Limited, ambayo ni sehemu ya SAFAL Group na mtoa huduma bora wa suluhisho za ujenzi nchini Tanzania...

READ MORE

NMB Yatambulisha ATM Maalum ya Kuweka Fedha Katika Maonesho ya Sabasaba

Katika kuhakikisha Tanzania inapiga hatua na kwenda sambamba na kasi ya maendeleo ya teknolojia katika sekta ya fedha, Benki ya...

READ MORE

Mbeto: Maelekezo ya Mwenyekiti CCM ni Maagizo ya Utekelezaji kwa Chama

Chama Cha Mapinduzi kimesema kitahakikisha kinayafanyia kazi maelekezo yote yalioelekezwa na Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan katika kupitisha...

READ MORE

Chadema Yatoa Wito kwa Wananchi Kuhudhuria Kesi ya Uhaini ya Lissu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimewaalika wananchi wote, mashirika ya kiraia, Jumuiya za Kimataifa na Kitaifa kuhudhuria na kufuatilia...

READ MORE

Stanbic Bank Yaendelea Kuwezesha Maendeleo Jumuishi Kupitia CSO Week 2025

Arusha: 
Stanbic Bank Tanzania imeanza rasmi ushiriki wake katika #CSOWeek2025, ikiadhimisha mwaka wa nne mfululizo wa kushiriki kwenye mjadala wa...

READ MORE

Rais Samia Apokea Tuzo Maalum Kutoka Bunge La Tanzania (Picha +Video)

 Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalum kutoka Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Watu Waliofariki Kwa Mafuriko Nigeria Wafikia 115

Watu zaidi ya 115 wamepoteza maisha na wengine kadhaa hawajulikani walipo baada ya mvua kubwa kunyesha katika jimbo la Niger,...

READ MORE

Jerry Silaa: Tanzania Ipo tayari Kushiriki Kufanikisha Ajenda za Kidunia za TEHAMA

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry William Silaa (Mb) amesema kuwa, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo...

READ MORE

Ukaguzi Wa Mabasi Ya Abiria Wafanyika Kudhibiti Ajali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kupitia kikosi cha Usalama barabarani kimefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria kwa ajili...

READ MORE

Wanavyuo Waliomgombea Mwijaku Wafikishwa Kortini, Wasomewa Mashtaka Nane

Wanafunzi watatu wa kike kutoka vyuo vikuu mbalimbali Jijini Dar es Salaam wanaodaiwa kumdhalilisha mwenzao mitandaoni, wamefikishwa katika Mahakama  ya...

READ MORE

Rais Samia Atunukiwa Tuzo Maalum ya Heshma na Bunge la Tanzania, Afisa Mtendaji Mkuu wa Nmb Ashiriki..

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalumu ya Heshima kutoka kwa Bunge la...

READ MORE

CCM Yazindua Ilani ya Uchaguzi 2025–2030, Yataja Vipaumbele Tisa – (Picha +Video)

Dodoma, 30 Mei 2025 – Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekamilisha maandalizi ya Ilani yake mpya ya Uchaguzi kwa mwaka 2025,...

READ MORE

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Kuelekea Msimu Wa Utaliii

Katika kuhakikisha msimu wa Utalii (high season) unaoanza hivi karibuni unakuwa katika hali ya amani, Jeshi la Polisi kikosi cha...

READ MORE

John Heche Aongoza Ziara ya Kumbukizi kwa Hayati Ndesamburo

Kilimanjaro, Mei 30, 2025 – Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, leo ameongoza ujumbe wa...

READ MORE

Jica Yaahidi Kuendelea Kuishika Mkono Serikali Ya Tanzania – Majaliwa

▪️JICA, Benki ya Dunia na AFDB watoa Dola za Marekani mil 516 miradi ya kilimo ▪️Washauri elekezi wawili Mjapan na...

READ MORE

Mahakama ya Marekani yasitisha ushuru wa Trump

Mahakama ya shirikisho nchini Marekani imesitisha ushuru mkubwa uliowekwa na Rais Donald Trump hatua ambayo ni pigo kubwa kwa sehemu...

READ MORE

Serikali Yaweka Mipango Ya Tathmini Chuo Kipya Ukerewe

Serikali imethibitisha kuwa bado kuna mahitaji ya uanzishwaji wa vyuo vya uuguzi na uganga katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa...

READ MORE