×

Habari

Mahakama Kuu Kusikiliza Kesi ya Mpina dhidi ya Tume ya Uchaguzi Septemba 29

Mahakama Kuu imepanga kusikiliza kesi ya mgombea wa uchaguzi, Mpina, dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), siku ya...

READ MORE

Mwakilishi Wa Mfanyabiashara Amlipua Mjane Alice “Nyumba Iliuzwa 2011 Aliridhia Kwa Dole Gumba”- Video

Hajra Mungula, mwakilishi wa mfanyabiashara aliyeingia kwenye mgogoro na Alice Haule, mke wa Justice Rugaibula kuhusu nyumba iliyopo Mikocheni, iliyosababisha...

READ MORE

Dkt. Samia Ahidi Mradi wa Umeme na Barabara Kuboresha Maisha ya Wananchi Masasi

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango...

READ MORE

Kikwete Akutana na Bill Gates Katika Hafla ya Goalkeepers New York

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameungana na mfadhili maarufu duniani, Bill Gates, katika...

READ MORE

UN Yasisitiza: Vita Ghaza Lazima Vikome, Hamas Waachilie Mateka

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN), Annalena Baerbock ameuambia mkutano wa suluhisho la mataifa mawili uliofanyika makao...

READ MORE

Mgombea Mwenza wa CCM Aendeleza Kampeni kwa Kishindo Njombe Mjini

Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi,...

READ MORE

Puma Energy Yazindua Kituo cha Kwanza cha Rejareja cha Gesi Asilia (CNG) Tanzania

Dar es Salaam, 24 Sept, 2025: Puma Energy Tanzania leo imezindua kituo chake cha kwanza cha rejareja cha Gesi Asilia...

READ MORE

Trump Aandaa Mkutano na Viongozi wa Kiarabu Kujadili kadhia ya Ghaza

Msemaji wa ikulu ya White House Karoline Leavitt ametangaza kuwa rais wa Marekani Donald Trump anatazamiwa kufanya mkutano na viongozi...

READ MORE

Nilipoteza Biashara Yangu Kwa Moto, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Nianze Upya Na Kufanikiwa Zaidi

Siku hiyo bado naikumbuka kama jana. Nilikuwa nimefungua duka langu mapema kama kawaida, lakini mchana ulipofika nilipokea simu kwamba moto...

READ MORE

Stanbic Yazindua Masta wa Miamala Kuzawadia Fedha Kila Siku

Dar es Salaam, Tanzania – Jumanne 23 Septemba 2025: Watanzania wanaolipa ada za shule, kujaza mafuta, kufanya manunuzi ya nyumbani...

READ MORE

Amend, Wadau Wakutana Kuweka Mipango Kudhibiti Ajali za Barabarani kwa Wanafunzi Dar

Dar es Salaam, Mahojiano ya wanafunzi na wataalam wa barabara yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la Usalama barabarani la...

READ MORE

Taharuki Mikocheni: Mjane Avamiwa – Atimuliwa Na Wachina Kisa Deni La Milioni 150 La Marehemu Mumewe – Video

Taharuki kubwa imeibuka Mikocheni jijini Dar es Salaam, baada ya mjane Alice Haule kuvamiwa na watu kwenye nyumba yake aliyoachiwa...

READ MORE

Eric Shigongo Aanza Kampeni za Nyumba kwa Nyumba Buchosa

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba kutafuta kura za Dk. Samia Suhulu...

READ MORE

LG Electronics Yafungua Duka Jipya La Kisasa Jijini Dar es Salaam

Dar es Salaam, Septemba 24, 2025 – Kampuni ya LG Electronics Kanda ya Afrika Mashariki imezindua duka jipya la bidhaa...

READ MORE

Hausiboi’ Kortini Akituhumiwa Kwa Shambulio La Aibu Kwa Mtoto

Mkazi wa Nyakato ambaye ni Mfanyakazi wa ndani (Hauseboy), Fred Kelendo Marekioli (19), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana...

READ MORE

Majaliwa: Sekta Ya Madini Imeendelea Kuwa Nguzo Ya Ukuaji Wa Uchumi

WAZIRI MKUU,Kassim Majaliwa amesema kuwa Sekta ya madini imeendelea kuwa nguzo ya uchumi nchini ambapo katika mwaka 2022 sekta hiyo...

READ MORE

Kim Jong Un: Tuko Tayari Kuzungumza na Marekani Ila Tusiondolewe Silaha za Nyuklia

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesema hana sababu ya kuyakwepa mazungumzo na Marekani kama nchi hiyo haitomshinikiza kuachana...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Atikisa Ludewa, Aeleza Dkt. Samia Atakavyotekeleza Ilani ya CCM Baada ya Uchaguzi

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel...

READ MORE

Nilichoka Na Kejeli Za Watu Kuhusu Ndoa Yangu, Hatua Niliyopiga Ilibadilisha Maisha Yetu

Kwa muda mrefu, majirani na marafiki walinicheka kwa sauti ya chini kila waliponiona. Walijua ndoa yangu ilikuwa janga. Mume wangu...

READ MORE

Majaliwa Kuzindua Maonesho Ya Teknolojia ya Madini Geita

WAZIRI MKUU,Kassim Majaliwa leo Septemba 22, 2025 amefungua maonesho ya nane ya teknolojia ya madini kwa mwaka 2025 ambayo yamefanyika...

READ MORE

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Yakataza ACT-Wazalendo Kuwanadi Mpina na Fatma Ferej

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekionya chama cha ACT-Wazalendo kutoendelea kuwatambulisha Luhaga Mpina na Fatma Ferej kuwa wagombea...

READ MORE

Mwalimu Afukuzwa Kazi kwa Kumwadhibu Mwanafunzi Kikatili Kinondoni

Uongozi wa Shule ya Sekondari Makumbusho iliyopo Wilaya ya Kinondoni imemuondoa kazini Mwalimu Felix Msila kutokana na tukio la kutoa...

READ MORE

Majaliwa Asema CCM Imejipanga Kuendelea Kuleta Maendeleo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi...

READ MORE

Mahakama Kuu Yakataa Maombi ya Lissu ya Kurushwa Mubashara Kesi ya Uhaini

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Septemba 22.2025 imetoa majibu ya maombi yaliyowasilishwa Mahakamani...

READ MORE

Cheza Super Heli, Shinda, Miliki Samsung Galaxy A25

Kwenye mchezo wa kasino mtandaoni, ushindi haupo tu kwenye namba, uko kwenye uzoefu, msisimko, na zawadi halisi. Meridianbet imeleta mapinduzi...

READ MORE

Puma Energy Extends Network With New Singida Service Station

Puma Energy Tanzania has officially extended its nationwide network with the launch of a state-of-the-art service station in Singida. The...

READ MORE

Vodacom Na Chama Cha Gofu Tanzania Waungana Kuunga Mkono Mchezo Wa Gofu

Dar es Salaam, 23 Septemba 2025: Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na Chama cha Gofu Tanzania, imejitokeza kama mdhamini mkuu...

READ MORE

Askari wa Gereza Njombe Ajitoa Uhai Baada ya Kumuua Mwenzake

Njombe – Askari wa Gereza la Njombe, Erasto Mlelwa (26) mwenye namba C.916 WDR, amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka...

READ MORE

Niliibiwa Pesa Zangu Zote Benki, Lakini Hatua Niliyopiga Ilizirudisha Bila Hata Kupotea Shilingi Moja

Ilikuwa ni siku ya Ijumaa asubuhi nilipogundua kuwa akaunti yangu ya benki ilikuwa tupu. Nilipoingia kwenye app ya benki yangu,...

READ MORE

Dkt. Nchimbi: Heshima uliyonipa ni ya Wanaruvuma Wote

  MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema katika mikoa 11 ambayo tayari...

READ MORE

Malawi: Mutharika Aongoza Kwa Matokeo ya Awali, Chakwera Akiwa Nyuma

Lilongwe, Malawi – Rais wa zamani wa Malawi Peter Mutharika (85) ameibuka kinara katika matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu...

READ MORE

Serikali Yalaani Mauaji ya Mwanafunzi Mzumbe Mbeya – Video

Serikali mkoani Mbeya imeelekeza Jeshi la Polisi kufanya kazi usiku na mchana ili wahusika wa mauaji ya Shyrose Mahande, mwanafunzi...

READ MORE

Pemba: Dkt. Samia Ahimiza Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kudumisha amani na utulivu kuelekea uchaguzi...

READ MORE

Askofu Novatus Rugambwa Kuagwa Dar, Kuzikwa Bukoba

Sekretarieti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) imetangaza ratiba ya kuaga na mazishi ya Askofu Mkuu Novatus Rugambwa aliyefariki...

READ MORE

NMB Yapokea Tuzo ya Uwajibikaji wa Kijamii Katika Elimu kwenye Tuzo za Mufti 2025

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema kuwa  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo...

READ MORE

Wasifu wa Shyrose Mahande: Ndoto za Mwanasheria Chipukizi Zilizokatishwa – Video

Wasifu wa Mwanafunzi wa shahada ya sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe Tawi la Mbeya, Shyrose Mahande (21), aliyeuawa kikatili baada...

READ MORE

Chiku Issa Awahamasisha Wanawake Kumpigia Kura Dkt. Samia

Mbunge mteule wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Chiku Issa, amewataka wanawake wa mkoa...

READ MORE

Ngawaiya Amuombea Kura Prof. Kitila Mkumbo Jimbo la Ubungo

  Kada wa Chama Chama Cha Maponduzi na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Moshi Vijijini, Thomas Ngawaiya jana amemuombea...

READ MORE

Md Twange Aridhishwa Na Maendeleo Ya Mradi Wa Taza – Aagiza Kuongezwa Kwa Kasi Ya Utekelezaji

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania-Zambia Transmission Interconnector (TAZA), kupitia...

READ MORE

NMB Kukopesha Zaidi ya Sh. Bilioni 500 kwa Biashara, Kilimo, Viwanda na Madini

  BENKI ya NMB imesema kuwa kwa sasa ina uwezo wa kumkopesha mteja mmoja zaidi ya Sh. Bilioni 500 kwa...

READ MORE