×

Habari

ACT Wazalendo yapinga kuondolewa kwa Mgombea wao wa Urais

Chama cha ACT Wazalendo kimepinga vikali hatua ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumzuia mgombea wao wa Urais,...

READ MORE

Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa

Ninaishi mjini Nakuru, na kwa muda mrefu nimekuwa nikijishughulisha na biashara ya kuuza nguo. Nilianza na kibanda kidogo soko kuu,...

READ MORE

NCBA Bank Launches “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu” Campaign in Tanzania

NCBA Bank has officially unveiled its new brand campaign, “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu”, signaling a renewed commitment...

READ MORE

Kilombero Sugar Yazindua Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA Mashuleni

Morogoro, 28 Agosti: Kampuni ya Sukari Kilombero imezindua rasmi Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA Mashuleni, mradi unaoendeshwa na jamii unaoongozwa...

READ MORE

Puma Energy Tanzania Yashauri SOEs Kuboresha Utendaji Na Huduma

Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Bi. Fatma M. Abdallah, aliwasilisha mada kwa Wenyeviti wa Bodi na Wakurugenzi Wakuu wa...

READ MORE

Usambara Research Training & Consultancy Yavitaka Vyuo Vikuu Kuwatumia Kwenye Tafiti

KAMPUNI ya Usambara Research  Training & Consultancy inayojishughulisha na masuala ya Utafiti  Mafunzo na Ushauri wa Kitaalamu imevishauri Vyuo Vikuu...

READ MORE

Tandika Jamvi Lako Mechi za Leo na Meridianbet

Jumatano ya Maokoto imewadia timu kibao zipo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. ODDS za kibabe zipo Meridianbet sasa suka jamvi lako...

READ MORE

Mama Aliyeugua Miaka Mingi Sasa Amepona

Saida alikuwa mama mwenye nguvu sana kijijini kwao. Lakini miaka zaidi ya kumi aliteseka na maradhi yasiyoelezeka. Mwili wake ulikuwa...

READ MORE

ACT-Wazalendo Yapinga Uteuzi wa Mpina Kutenguliwa na Msajili

Chama cha ACT-Wazalendo kimesema haitafuata maelekezo ya Msajili wa Vyama vya Siasa ambayo yamebatilisha uteuzi wa Luhaga Mpina kugombea Urais...

READ MORE

Absa Bank Tanzania Yasisitiza Dhamira Yake Kuendeleza Ukuaji Wa Uchumi Halisi Nchini Tanzania

Benki ya  Absa Tanzania imeahidi kuendeleza dhamira yake katika kusaidia ukuaji wa uchumi halisi nchini Tanzania, wakati ikizungumzia udhamini wake...

READ MORE

Stanbic Bank Yaahidi Ushirikiano Na Serikali Kuelekea Dira Ya Maendeleo 2050

Makamu wa Rais, Mhe. Dkt. Philip Mpango (mbele kulia) akimsikiliza  Mkuu wa Wateja Wakubwa na Uwekezaji wa Benki ya Stanbic...

READ MORE

Msajili Abatilisha Uteuzi wa Luhaga Mpina Kugombea Urais Kupitia ACT-Wazalendo

Dar es Salaam, Agosti 26, 2025 – Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imebatilisha uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa...

READ MORE

TLS Yaomba Mazungumzo ya Dharura na Rais Samia Kuhusu Uchaguzi 2025

Dar es Salaam, Agosti 26, 2025 – Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeomba kwa dharura kukutana na Rais wa Jamhuri...

READ MORE

CCM Yatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu ya Dk. Hussein Mwinyi

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kuchukua fomu ya kuteuliwa kugombea nafasi...

READ MORE

Vodacom Yazindua Ripoti Ya ESG

Dar-es-Salaam, Agosti,26,2025, Vodacom Tanzania imezindua Ripoti ya ESG ambayo inalenga utekelezaji wa teknolojia ya Kidigitali kufika Dira 2050. Akizungumza wakati...

READ MORE

Serikali Yataka Mashirika ya Umma Kuiga Sekta Binafsi Kuongeza Ufanisi

Arusha. Serikali imeyataka mashirika ya Umma kujifunza kutoka kwa sekta binafsi kuhusu namna bora ya kuendesha taasisi na hivyo kuongeza...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha CPA Amos Makalla Kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha

Dodoma, Agosti 26, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuapisha CPA Amos Gabriel...

READ MORE

Wekundu wa Msimbazi Wasogeza Tarehe ya Hafla ya Jezi Mpya

Klabu ya Simba SC imetangaza kusogeza mbele tarehe ya uzinduzi wa jezi zake mpya kwa ajili ya msimu wa 2025/26....

READ MORE

Alichokisema Rais Samia leo Baada ya kuapisha viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino – Video

Dodoma, Agosti 26, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa hotuba mara baada...

READ MORE

Azania Bank Kuendelea Kutoa Huduma Bora Kwa Taasisi za Umma

Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Dkt.Doto Biteko akipata maelezo kutoka kwa mkuu wa idara ya wateja wakubwa wa Benki...

READ MORE

Katibu wa CCM Wilaya ya Mafia, Salehe Kikweo Afariki Dunia

Katibu wa CCM Wilaya ya Mafia, Salehe Kikweo, amefariki dunia leo asubuhi akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya...

READ MORE

Kufutwa kwa Kesi ya Kikatiba Kupinga Dkt. Samia Kugombea Urais, Comrade Mgeja Awapa Onyo Kina Malisa na Polepole

SIKU chache baada ya Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma kuifuta kesi ya Kikatiba ya Kupinga uteuzi wa Dkt. Samia Suluhu...

READ MORE

CHADEMA Yamteua Gerva Lyenda Kuongoza Idara ya Habari

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemteua Gerva Lyenda kuwa Mkuu wa Idara ya Habari wa Kurugenzi ya Habari na...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lachunguza Tukio la Risasi Inayomuhusisha Dogo Janja Arusha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa mgombea udiwani kata ya Ngarenaro kupitia CCM, Abdulaziz...

READ MORE

Kirumbe Shaaban Ng’enda Ateuliwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Kirumbe Shaaban Ng’enda kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi, moja ya jumuiya kuu...

READ MORE

Mganga Mfawidhi Akimbizwa Hospitali Baada ya Ajali ya Kushtua – Video

Mganga Mfawidhi wa Wilaya ya Arusha, Saidi Salimu, amepata ajali ya gari akiwa na gari yake ndogo aina ya Benz...

READ MORE

Angela Kairuki Achukua Fomu Ya Kuwania Ubunge Jimbo La Kibamba Kupitia CCM

Pazia la uchukuaji wa fomu za kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) limefunguliwa rasmi leo, ambapo mwanasiasa mahiri Angela...

READ MORE

Nmb Yadhamini na Kushiriki Kikao Cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

Benki ya NMB imedhamini na kushiriki kwenye Kikao kazi cha wenyeviti wa Bodi na watendaji wakuu wa taasisi za umma...

READ MORE

Wasira Amjulia hali Naibu Katibu Mkuu Mstaafu CCM Zanzibar Dr. Sadala

Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira akimjulia hali Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Zanzibar ambae...

READ MORE

Vita Dhidi ya Kipindupindu Hanang’: Zaidi ya Wanafunzi 700 Wafaidika na Vyoo Vipya

Manyara 24 Agosti 2025: Kaya zenye vyoo bora nchini zimefikia asilimia 78 huku asilimia 1.2 hazina vyoo na kwa mkoa...

READ MORE

TRAMPA Yafika Gereza la Ukonga Kuonesha Matendo ya Huruma kwa Wafungwa

Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) katika kuelekea Mkutano wao Mkuu wa Mwaka wanaenda sambamba na kufanya...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Kongamano la Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumapili, Agosti 24, 2025, ameshiriki Kongamano la Amani...

READ MORE

Mashirika ya Umma Yatambuliwa Kwa Ufanisi

Arusha. Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina...

READ MORE

Hii hapa orodha kamili waliopenya ubunge, uwakilishi CCM

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imetangaza majina ya mwisho ya wagombea ubunge na wawakilishi kupitia chama...

READ MORE

Rais Samia Amteua Amos Makalla Mkuu wa Mkoa wa Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua CPA. Amos Gabriel Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

Kihongosi Ateuliwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua Kenan Kihongosi, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kuwa Katibu wa...

READ MORE

Watano kati ya 19 waliokuwa wabunge Chadema wateuliwa CCM

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imewateua miongoni mwa waliokuwa wabunge 19 wa Chadema kuwania ubunge katika...

READ MORE

Global Education Link na TTB Washirikiana Kuwapa Vijana Ujuzi wa Kuitangaza Tanzania Kimataifa

WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) inatarajia kusafirisha wanafunzi zaidi ya 1,000 kwenda kusoma kozi mbalimbali...

READ MORE

Dk. Asha-Rose Migiro Ateuliwa Katibu Mkuu Mpya wa CCM

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imemteua Dk. Asha-Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu mpya wa chama hicho,...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Hosts Minister of Industry and Trade

Dar es Salaam, Tanzania, Sunday 24 August 2025 – Coca-Cola Kwanza Ltd proudly hosted the Minister of Industry and Trade,...

READ MORE