×

Habari

Rais Samia Akishiriki Mazishi Ya Makamu Wa Kwanza Wa Rais Na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Msuya – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Mai 13, 2025 ameongoza Watanzania kwenye maziko ya...

READ MORE

Polisi Dar Yataja Sababu za Kumkamata Amani Golugwa wa Chadema

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema saa 06:45 usiku May 13,2025 katika Uwanja wa ndege wa...

READ MORE

Ibada Maalum Ya Mazishi Ya Cleopa Msuya Yafanyika Usangi Kivindu, Kilimanjaro (Picha +Video)

Kilimanjaro, Mei 13, 2025 — Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro na mikoa ya jirani wamekusanyika leo katika Kanisa la KKKT...

READ MORE

Sikia Wasifu Wa Charles Hillary Wawagusa Wengi, Ameacha Mjane – Video

Sikiliza maneno mazito ya Askofu Jackson Sosthenes aliyeongoza ibada ya mazishi ya marehemu Charles Hilary katika Kanisa la Anglican, Ubungo...

READ MORE

Diddy Akabiliwa Na Mashtaka Mazito Ya Unyanyasaji Wa Kijinsia Na Usafirishaji Wa Watu

Mwanamuziki maarufu nchini Marekani Sean “Diddy” Combs, mwenye umri wa miaka 55, anakabiliwa na mashtaka mazito ya unyanyasaji wa kingono,...

READ MORE

Naibu Katibu Mkuu Chadema Golugwa Adaiwa Kukamatwa JNIA, Dar

Dar es Salaam, Mei 13, 2025 — Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kimepokea taarifa za kukamatwa kwa Naibu...

READ MORE

Utajiri Upo Katika Sloti Ya Bounty Hunters Mchezo Wa Kasino Meridianbet

Furahia Mavuno na Bounty Hunter Kasino ya Mtandaoni. Congo DR inasifika sana kwa wingi wa madini ya dhahabu, tangu miaka...

READ MORE

Wanafunzi St Anne Marie Academy Watoa Msaada Kituo cha Yatima Dar

WANAFUNZI wa shule ya St Anne Marie Academy wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwenye kituo cha kulea yatima cha CHAKUWAMA...

READ MORE

Vodacom Digital Accelerator Yazindua Msimu wa 4: Biashara Bunifu 15 Zateuliwa Kushiriki Design Sprint

Vodacom Tanzania PLC, kwa kushirikiana na Huawei Tanzania, leo imezindua rasmi Msimu wa 4 wa Vodacom Digital Accelerator (VDA), hatua...

READ MORE

Benki ya Stanbic Yazindua Maboresho ya Kuendeleza Huduma za Wateja Maalum Arusha

Benki ya Stanbic imezindua maboresho ya huduma zake za wateja maalum rasmi huduma ya Private Banking Client Value Proposition (CVP)...

READ MORE

Papa Leo wa XIV azungumza kwa simu na Rais Zelensky

Papa Leo wa XIV na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wamezungumza kwa njia ya simu leo kufuatia wito wa Papa...

READ MORE

Wakati Unapohisi Hofu Zaidi Ndiyo Wakati wa Kufanikiwa

Yeye sio tu mzee anayengojea simu ya mwisho, hakuwa amekata tamaa, akiwa pale nyumbani, Babu yangu alitaka kutoa njia ya...

READ MORE

Kamenge Awajengea Nyumba Watu Wenye Uhitaji Missenyi

Wakazi wawili kutoka Kata za Kitobo na Minziro wilayani Missenyi mkoani Kagera, wamepata tumaini jipya baada ya mdau wa maendeleo,...

READ MORE

Fahamu Namna ya Kulala Vizuri Wakati wa Ujauzito

MOJA ya mambo muhimu licha ya hali unayopambana nayo kama mjamzito ni ambavyo unalala hasa katika miezi mitatu ya mwisho...

READ MORE

Air France-KLM Appoints Joris Holtus as General Manager for East and Southern Africa, Nigeria and Ghana

Joris Holtus_AFKLGM for East and Southern Africa, Nigeria and Ghana NAIROBI, Kenya, May 9, 2025 – Air France-KLM has today...

READ MORE

Vodacom Yashiriki Uzinduzi wa Wiki ya Ubunifu, Vijana Wapata Fursa

Dar es Salaam 12 Mei 2025: Kampuni ya mtandao wa simu ya Vodacom Tanzania leo imeshiriki katika tukio la uzinduzi...

READ MORE

Rais Samia Awasili Kilimanjaro Kushiriki Mazishi ya Hayati Cleopa Msuya

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. Samia Suluhu Hassan amewawasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Tume ya Uchaguzi Yatangaza Majimbo Mapya 8 na Kubadili Majina ya Majimbo 12

Tume Huru ya Uchaguzi imetangaza mabadiliko makubwa ya kiutawala katika mipaka ya majimbo ya uchaguzi nchini, ikiwemo mabadiliko ya majina...

READ MORE

Mwili wa Hayati Cleopa Msuya Waagwa Kwa Heshima Mwanga, Kilimanjaro – Picha

Viongozi mbalimbali wa Serikali na wananchi wameaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa...

READ MORE

Wizi wa kipochi cha Waziri wa Usalama Marekani Wazua Kizaazaa!

Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani, Christie Noemi ameibiwa kipochi chake wakati alipokuwa kwenye chakula cha jioni katika mkahawa...

READ MORE

Safiri Mpaka Msitu wa Wachawi na Sloti ya Fairy Forest!

Ili kupata Maokoto mengi tunakushauri kuanza safari fupi kwenda kwenye msitu wa kichawi kwenye sloti hii utakutana na mabinti wa...

READ MORE

I&M Bank yawaenzi wamama kwa kuzindua chumba maalum kwa ajili yao

  Katika kuenzi uzazi na mchango mkubwa wa wanawake katika jamii, Benki ya I&M imezindua rasmi Chumba Maalum kwaajili ya...

READ MORE

Mwili Hayati Cleopa David Msuya ulivyowasili Mwanga, Kilimanjaro leo

Mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (mstaafu), Hayati Cleopa...

READ MORE

Jinsi Nilivyomfanya Mke Wangu Mkristo Akubali Ndoa ya Wake Wawili

Mke wangu alikuwa mcha Mungu sana. Alilelewa katika familia ya Kikristo, alihudhuria ibada kila Jumapili bila kukosa, na hata alikuwa...

READ MORE

Faraja Kotta; Kutoka Miss Tanzania Hadi Mwanamapinduzi wa Kielimu Kupitikia Teknolojia

Faraja Nyalandu Kotta, aliyewahi kuwa mrembo wa taji la Miss Tanzania mwaka 2004, si jina geni katika tasnia ya urembo...

READ MORE

NBC Yazindua kampeni ya “NBC Shambani’’ kwa wakulima wa Ufuta Lindi na Mtwara

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Bi Victoria Mwanziva (alieshika mkasi)  akikata utepe kuashiria uzinduzi  wa kampeni ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’...

READ MORE

Mama wa Miaka 61 Anusurika Shambulio la Ubakaji na Kujeruhiwa Vibaya, Babati – Video

Mama mmoja mwenye umri wa miaka 61, mkazi wa Kijiji cha Gedamara, wilayani Babati, mkoani Manyara, amedai kuvamiwa na kujeruhiwa...

READ MORE

Mkutano wa Kwanza wa Mwaka wa Uzoefu wa Wateja Ulivyofanyika Jijini Dar

Dar es Salaam, Tanzania: Mkutano wa Kwanza wa Mwaka wa Uzoefu wa Wateja (Customer Experience Conference), ulioandaliwa na Real Interactiv...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Ashiriki Kumuaga Mzee Msuya

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akitoa salaam na heshima za mwisho wakati wa...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumapili Mei 11, 2025 amewaongoza Watanzania, kuaga kitaifa...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ateta na Othman Masoud Othman

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Rais...

READ MORE

Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

Breaking: Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hillary...

READ MORE

Prof. Kabudi: Marekebisho Ya Viwanja Yakamilike Haraka

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Paramagamba Kabudi amewataka Wakandarasi wanaofanya marekebisho katika dimba la Benjamin Mkapa,...

READ MORE

Dkt. Biteko Ashiriki Tulia Marathon Mbeya

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amempongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Msikilize Mrisho Gambo akijibu mashambulizi jukwaani – Video

Msikilize Mrisho Gambo akijibu mashambulizi jukwaani na kueleza kuwa aliamua kufunika kombe lakini amechokozwa! Gambo ameyasema hayo kwenye mkutano wa...

READ MORE

Dini Zina Mchango Mkubwa Katika Kuimarisha Ustawi Wa Jamii

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema madhehebu ya dini yana mchango mkubwa katika kuimarisha ustawi wa jamii na kutoa huduma za...

READ MORE

Mwili wa Hayati Cleopa David Msuya Ulivyowasili nyumbani kwake Upanga, Dar -(Video+ Picha)

Mwili wa Hayati Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza Mstaafu umewasili nyumbani kwake Upanga, Jijini Dar es...

READ MORE

Mvumbuzi wa Alama za Watu Wenye Ulemavu Aomba Serikali Imsaidie – Video

Mzee Jutoram Kabatele ni Mtanzania aliyebuni alama za barabarani za kuwalinda watu wenye ulemavu. Global TV imefika nyumbani kwake na...

READ MORE

Stanbic Bank Yaanzisha Kampeni ya Salary Switch Kuwazawadia Wateja Fedha Taslimu Na Manufaa Maalum

Benki ya Stanbic Tanzania leo imezindua rasmi kampeni mpya ya Salary Switch, inayolenga kuwazawadia Watanzania waliopo kwenye ajira rasmi kwa...

READ MORE

Uganda Yazindua Ujenzi Wa Ofisi Ya Ubalozi Jijini Dodoma

Serikali ya Jamhuri ya Uganda imezindua mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi ya Ubalozi wake ambao utekelezaji wake umeshaanza...

READ MORE