×

Habari

Makalla: CCM Itaendelea Kutatua Kero za Wananchi

•Aongea na wananchi DUMILA na kusikiliza kero Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi(CCM) CPA, Amos Makalla...

READ MORE

Waite Darstate Wakudaie Deni Lako Sehemu Yoyote – Video

Unamdai mtu lakini unataka akulipe pesa zako bila kuharibu uhusiano wenu? Darstate Company Limited @darstate_ ni kampuni ya mabingwa wa...

READ MORE

Serikali Itaendelea Kutoa Mikopo Kwa Vikundi Vya Wanawake

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Zainab Katimba amesema serikali kupitia Halmashauri za mkoa wa Mwanza inaendelea kutekeleza jukumu la...

READ MORE

Rais Wa Finland Atembelea Mradi Kuwezesha Wanawake Machinga Complex

Rais wa Jamhuri ya Finland, Alexander Stubb, ametembelea mradi maalum wa kuwawezesha wanawake wafanyabiashara wadogo unaofadhili na nchi hiyo kupitia...

READ MORE

Mchambuzi Aonya: CHADEMA Kukosa Mwelekeo Endapo Mpasuko Hautashughulikiwa – Video

Giza bado limetanda ndani ya CHADEMA; mpasuko uko wazi, lakini hatma ya chama haiko wazi. Mchambuzi wa masuala ya kisiasa...

READ MORE

Polisi Wakamata Watano Kuhusishwa na Mauaji ya Mwenyekiti wa Kijiji Bubale

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linaendelea na uchunguzi wa mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti Mstaafu wa Kijiji cha Bubale, Kata...

READ MORE

Tanzania Na Finland Zajidhatiti Kushirikiana Katika Biashara Na Uwekezaji

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo(Mb.), amesisitiza dhamira ya Serikali ya Jamhuri ya...

READ MORE

Makalla: Uchaguzi Hauwezi Kusogezwa, CHADEMA Jipangeni 20230

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uchaguzi hauwezi kusogezwa  mbele kwani wamejipanga kushiriki uchaguzi na hawawezi kuwa sehemu ya kuvunja katiba,...

READ MORE

Mfalme Zumaridi Akamatwa Na Polisi, Aliwaambia Watoto ‘Yeye Ni Mungu’ Anaweza Kuwatenganisha Na Kifo – Video

Jeshi la Polisi jijini Mwanza limetoa taarifa kuwa linamshikilia Mfalme Zumaridi kwa tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

READ MORE

Exim Bank Yakabidhi Zawadi kwa Mshindi wa Kampeni ya ‘Priceless Viewing Experience’ ya UEFA Champions League

  Dar es Salaam, 21 Mei 2025 — Benki ya Exim, kwa kushirikiana na mshirika wake wa kimataifa, MasterCard, imekabidhi...

READ MORE

Rais Trump wa Marekani awasili Saudia, alenga kuto kitita cha dola trilioni 1

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili mjini Riyadh katika awamu ya kwanza ya ziara yake ya siku nne katika eneo...

READ MORE

Selcom Yazindua Rasmi Vituo 10 vya Huduma kwa Wateja

Kupitia vituo hivi, mawakala wa Selcom sasa wana uwezo wa kupata float kwa urahisi zaidi kuliko awali, jambo linalowawezesha kutoa...

READ MORE

Harmonize Avunja Ukimya Kuhusu Ibraah “Huu Ndiyo Msimamo Wangu Rasmi” – Video

Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Harmonize, amezungumzia kwa mara ya kwanza kwa kina kuhusu mgogoro kati yake na msanii Ibraah,...

READ MORE

Burundi Yajifunza Kutoka Tanzania Katika Kuimarisha Sekta ya Masoko ya Mitaji

WATAALAMU wa masoko ya mitaji kutoka Burundi wamekiri kuwa sekta ya masoko ya mitaji ya Tanzania ni imara na ya...

READ MORE

Tanzania na Morocco Zaimarisha Ushirikiano wa Teknolojia katika Sekta ya Nishati

Tanzania na Morocco zakubaliana kuimarisha ushirikiano wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Nishati ili kuiwezesha sekta hiyo kuwa na...

READ MORE

Zifahamu Nchi 10 Alizowahi Kuzitembelea Baba Mtakatifu Leo Xiv Kabla Ya Kuwa Papa, Tanzania Ni Mojawapo

Papa Leo XIV aliwahi kuitembelea Tanzania mwaka 2003 katika ziara yake ya kitume, ya kutembelea nchi za Afrika katika Provinsi...

READ MORE

Tanzania Na Finland Zakubaliana Kuongeza Wigo Wa Ushirikiano

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Finland zimekubaliana kuanzisha maeneo mapya ya ushirikiano huku kipaumbele kikiwekwa zaidi kwenye...

READ MORE

Mbowe na Wafuasi wake Kuhamia Chaumma? ‘Mzee wa Ubwabwa’ Afunguka Mazito – Video

Kumekuwepo na madai yanayosambaa mitandaoni kwamba Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kinatumika kukidhoofisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)....

READ MORE

Waziri Jafo Awasha Moto Bungeni, Amkosoa Mpina kwa Kukosoa Kila Jambo – vIDEO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, ameibuka kwa hoja baada ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, kutoa shutuma...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Ashiriki Maziko ya Charles Martin Hilary Mwanakwerekwe

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi, Mei 14, 2025 ameshiriki katika maziko ya aliyekuwa...

READ MORE

Rungwe: Waliotimka Chadema hawajaja Chaumma, milango iko wazi – Video

  Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikiendelea kukumbwa na mtikisiko wa ndani, mamia ya wanachama wake wanaripotiwa kujivua...

READ MORE

Dkt. Mpango Azindua Shule ya Sekondari ya Mfano ya CRDB, Benki Hiyo Ikitimiza Miaka 30

Arusha 16 Mei 2025 – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, amezindua rasmi...

READ MORE

SBL na Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) Waadhimisha Mahafali ya Kwanza ya Mafunzo ya Ukarimu kwa Vijana

Dar es Salaam, Mei 16, 2025 –   SBL na Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) Waadhimisha Mahafali ya Kwanza ya...

READ MORE

Siku ya Miliki Bunifu 2025, Miliki na Bunifu na Muziki: Sikiliza Mdundo wa Ubunifu

Kila mwaka ifikapo tarehe 26 ya mwezi Aprili, dunia huadhimisha siku ya miliki ubunifu. Siku hii ilianza kuadhimishwa rasmi mwaka...

READ MORE

Rais Samia Ampokea Rais wa Finland, Alexander Stubb, Ikulu Dar

Rais wa Finland, Alerander Stubb amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia leo Jumatano, Mei 14,...

READ MORE

Rais wa Finland, Alexander Stubb, Aanza Ziara Rasmi ya Siku Tatu Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Finland, Alexander Stubb, amewasili jijini Dar es Salaam, Tanzania kwa ziara rasmi ya siku tatu kuanzia...

READ MORE

Majaliwa na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire Wajadili Ushirikiano wa Kiuchumi na Kilimo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia,...

READ MORE

Meridianbet Yazindua Mchezo Mpya wa Kipekee – “Gates of Olympia” Kutoka Expanse Studios

Kwa mashabiki wa michezo ya kasino mtandaoni, Meridianbet ina habari njema: sasa unaweza kucheza Gates of Olympia, mchezo mpya wa...

READ MORE

Cassie Ventura Atoa Ushahidi wa Kushtusha Kesi ya Diddy, New York

Mwanamuziki maarufu na mfanyabiashara Sean “Diddy” Combs, mwenye umri wa miaka 55, ambaye anakabiliwa na mashtaka mazito mahakamani ya unyanyasaji...

READ MORE

Rais Maskini Zaidi Duniani Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 89

Rais wa zamani wa Uruguay aliyeiongoza nchi hiyo kati ya mwaka 2010-2015 akijulikana kama ‘Rais maskini zaidi duniani’ kutokana na...

READ MORE

Vyama vya siasa vyapigwa marufuku kufanya siasa Mali

Serikali ya kijeshi nchini Mali imetangaza kusitisha shughuli za vyama vyote vya kisiasa na mashirika ya kiraia katika taifa hilo...

READ MORE

Ali Choki Afichua Siri Ya Urafiki Wake Na Omari Seseme – Video

Kiwanda cha muziki wa Dansi Tanzania kimepata pigo la kuondokewa na miongoni mwa magwiji wa muziki huo Omary Seseme. Seseme...

READ MORE

Mwili wa Charles Hilary Ulivyowasili Zanzibar Kwa Mazishi

Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasilino Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Charles Hilary umewasili...

READ MORE

Maajabu ya Mgonjwa Aliyeondoka Mwenyewe Chumba cha Wagonjwa Mahututi Kimiujiza

Katika hali ya kushangaza, Kenny Mwaniki ambaye alikuwa amelazwa kitanda cha hospitali ya Thika Level 5 ICU aligonga vichwa vya...

READ MORE

Bunge Lapitisha Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ya Trilioni 2.4

Kwa kauli moja Mei 13, 2025 Bunge la Tanzania limepitisha kwa kishindo bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia...

READ MORE

Rais Samia Alivyoongoza maziko ya Hayati Cleopa David Msuya Usangi Wilayani Mwanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Mei 13,  2025 ameongoza Watanzania kwenye maziko ya Makamu...

READ MORE

CRDB Yawakaribisha Wanahisa Kwenye Mkutano Mkuu wa 30

Benki ya CRDB imewataka wanahisa wake kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 30 wa Wanahisa, unaotarajiwa kufanyika Jumamosi,...

READ MORE

Familia Yahuzunishwa Kupotea Kwa Mama Wa Watoto Wanne

Happy Peter ni mama wa watoto wanne, alikuwa anaishi na mume wake katika maeneo ya Boko Timiza, Kibaha, mkoani Pwani....

READ MORE

Tanzania Yaimarisha Ushirikiano na Sekta Binafsi kwa Maendeleo ya Kiuchumi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazofanya kazi kwa karibu sana na sekta binafsi ili kukuza...

READ MORE

Wafuasi wa Mbowe Watoa Onyo kwa G55: ‘Ondokeni Kimyakimya, Acheni Kumzungumzia Lissu

Timu ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wakimuunga mkono Freeman Mbowe imetoa wito kwa wanachama wanaokijiita...

READ MORE