×

Habari

Ujio wa Meridianbet Mwenge Wafurahiwa wa Mama Ntilie

Katika juhudi za kuzidisha kurudisha kwa jamii, kampuni ya ubashiri Tanzania leo hii waliamua kurejesha kidogo ambacho wanakipata kwa kuwatembelea...

READ MORE

Jela Maisha Kwa Kumlawiti Mtoto Wa Miaka 4

Mahakama ya Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha imemhukumu kwenda jela kifungo cha maisha Bw. Samwel Sosteness (20) mfanyakazi za ndani,...

READ MORE

Kikwete, Ramaphosa na Boko Wapanga Mwelekeo Mpya wa Uwekezaji wa Maji Afrika

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameungana na Rais wa...

READ MORE

Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalam ya Maji 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Juu ya Heshima ya Maji...

READ MORE

Bwawa la Ethiopia Latishia Usalama wa Maji Misri

Cairo, Misri – Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi amefanya mazungumzo na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, mjini Cairo Jumanne,...

READ MORE

Bet Boost, Odds Kubwa Kuliko Zote Ndani Ya Meridianbet

Katika harakati za kuhakikisha furaha inapatikana kwa kila mbashiri, Meridianbet inaleta ubunifu wa kipekee kwa wateja wake, ni bet boost,...

READ MORE

Mke wa Rais wa Zamani Korea Kusini Akamatwa kwa Tuhuma za Rushwa na Udanganyifu

Mke wa Rais wa zamani wa Korea Kusini, Kim Keon-Hee, amekamatwa Jumanne, Agosti 12, 2025, akikabiliwa na tuhuma za rushwa,...

READ MORE

Watu 25 Wafukiwa na Kifusi Shughuli za Ukarabati Mgodi Shinyanga – Video

Watu 25 wamefukiwa na kifusi katika mgodi mdogo wa dhahabu unaomilikiwa na Kikundi cha Wachapakazi, uliopo Kijiji cha Mwongozo, Kata...

READ MORE

Vijana NCCR Mageuzi Watembelea Kituo cha Historia za Viongozi Mashuhuri Afrika

Katika kuadhimisha miaka 26 ya Siku ya Vijana Duniani, Jumuiya ya Vijana NCCR Mageuzi (JUVIMA), wakiongozwa na Mwenyekiti wa JUVIMA...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Mabasi, Miundombinu Ya Mradi Wa BRT Awamu Ya Pili

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Agosti 13, 2025 amekagua mabasi mapya kwa ajili ya awamu ya pili mradi wa mabasi...

READ MORE

Rais Mwinyi Ateua Wakurugenzi Wapya Serikalini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemteua Dkt. Halima Jumaane Wagao kuwa...

READ MORE

Hatma ya Matangazo Mubashara Kesi ya Tundu Lissu Kujulikana Agosti 18 – Video

Wakili wa utetezi, Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema bado haijajulikana iwapo kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

DCEA Yakamata Tani 18.5 za Dawa Mpya ya Kulevya Zilizofichwa Kwenye Mifuko ya Mbolea

 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata shehena kubwa ya dawa mpya ya kulevya aina...

READ MORE

Serikali Yaomba Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Isisitishwe Kuonyeshwa Mubashara – Video

Dar es Salaam — Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, leo Jumatano Agosti 13, 2025, ameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Shauri La Jinai Jamhuri Vs Tundu Lissu, Mahakama Ya Hakimu Mkazi Kisutu – Video

  Dar es Salaam – Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, inaendelea...

READ MORE

Oryx Yazidi Kuhimarisha Mkakati wa Rais Dkt. Samia Wananchi Wote Kutumia Nishati Safi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Nishati amesisitiza na kuweka mkakati wa ...

READ MORE

Harambee ya CCM Yafikia Bilioni 86, Malengo Bilioni 100 Kabla ya Uchaguzi – Video

 Dar es Salaam – Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanikiwa kukusanya zaidi ya Sh86 bilioni kupitia harambee ya kuchangia maandalizi...

READ MORE

Brela Na Tmda Kushirikiana Katika Nyanja Ya Miliki Bunifu

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), wametia saini makubaliano ya...

READ MORE

CHADEMA Arusha Yawafukuza Wanachama 12 kwa Ukiukaji wa Katiba na Maadili

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Arusha Mjini kimechukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya jumla ya wanachama...

READ MORE

Wasanii na Wadau wa Urembo Wajitosa Kuchangia Milioni 20 katika CCM Gala Dinner 2025

Katika kuunga mkono hafla ya CCM Gala Dinner 2025 inayoendelea usiku huu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es...

READ MORE

CHADEMA Kukata Rufaa Dhidi ya Uamuzi wa Mahakama Kuu Kuhusu Mashahidi wa Siri Kesi ya Lissu – Video

Dar es Salaam – Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amesema chama hicho kimepanga...

READ MORE

Salum Mwalimu: Sitajibizana na wanaonibeza, najikita kwenye kile Watanzania wanataka

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu, amesema hatashiriki...

READ MORE

Mwalimu aapa kuleta mabadiliko baada ya kuchukua fomu ya Urais

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu, amesema hatashiriki...

READ MORE

TBL na PETPRO Wazindua Mfumo wa Kwanza Kitaifa wa Kuchakata Chupa za Kioo

Dar es Salaam, 13 Agosti 2025. Kampuni ya Tanzania Breweries Plc (TBL) na PETPRO wameweka historia kwa kusaini Hati ya...

READ MORE

Rais Samia akutana na viongozi wa TUCTA Ikulu ya Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 12, 2025, amekutana na viongozi wa Shirikisho...

READ MORE

Mahakama Kuu yatupilia mbali pingamizi la Lissu dhidi ya mashahidi wa siri – Video

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumanne Agosti 12, 2025, imetupilia mbali maombi ya upande wa utetezi wa...

READ MORE

CHAUMMA Yapokea Fomu za Uteuzi wa Mgombea Urais

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele, leo Agosti 12, 2025,...

READ MORE

Mixx by Yas Yaja na ‘Kila Hatua Mixx’ Kuboresha Huduma za Kifedha

Dar es Salaam, 14 Agosti 2025: Mixx by Yas katika kuboresha huduma zake za kifedha leo imezindua kampeni yake mpya...

READ MORE

Shigongo: Wananchi Wananihitaji, Nitarejea Bungeni – Video

  Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Erick Shigongo, amesema ana matumaini kuwa jina lake litateuliwa kugombea ubunge kupitia Chama...

READ MORE

CCM Kongwa Kuanzisha Upya Zoezi la Kuchukua Fomu za Ubunge Baada ya Kifo cha Ndugai

DODOMA – Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kongwa kimetangaza kuanza tena mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu za kuwania...

READ MORE

Uhusiano wa Ruto na Raila Wazua Hali Tete, Gachagua Aingia Kati

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua amemshambulia vikali kwa maneno kinara wa chama cha ODM Raila Odinga akimuelezea kuwa...

READ MORE

Nmb Yadhamini Kongamano La Ngos, Yabainisha Mchango Wa Sekta Ya Fedha Katika Maendeleo Ya Taifa

Benki ya NMB imedhamini na kushiriki kikamilifu Kongamano la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) 2025, lililofanyika Agosti 13 jijini Dodoma,...

READ MORE

Mkutano Wa Wakandarasi Wanawake wapigwa Jeki na Equity Bank, Yapania Kuinua Uwezeshaji Wa Kiuchumi

Equity Bank Tanzania imeendeleza dhamira yake ya kukuza huduma za kifedha kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (MSEs na SMEs)...

READ MORE

CRDB Yazindua Hatifungani ya Kwanza Isiyo na Riba kwa Wawekezaji wa Kiislamu

Katika uzinduzi wa kihistoria wa CRDB Al Barakah Sukuk, Mgeni Rasmi ambae ni Rais wa Awamu ya Nne ya Jamhuri...

READ MORE

CCM Kuanza Harambee ya Bilioni 100 Kesho, Rais Samia Kuongoza Uzinduzi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kuwa chama chake kimepanga kukusanya Shilingi...

READ MORE

Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Dkt. Samia Mazishi Ya Hayati Ndugai

Asema aliimarisha ushirikiano kati ya Bunge na Serikali Atoa rai kwa Watanzania kuenzi mema yote aliyoyafanya enzi za uhai wake...

READ MORE

Hayati Job Ndugai Aagwa kwa Heshima Kongwa, Azikwa Kijiji cha Madumbwa

Leo, Agosti 11, 2025, mamia ya waombolezaji wakiwemo waumini, viongozi wa serikali na vyama vya siasa wameungana katika Kanisa la...

READ MORE

Mkutano wa Maafisa Wakuu Jeshi la Polisi Moshi Kufunguliwa na Makamu wa Rais Dkt. Mpango

Jeshi la Polisi nchini linatarajia kufanya Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi kuanzia Agosti...

READ MORE

Polisi Wakamata Milioni 82 na Dola 267 Zilizoporwa Nyumba ya Salasala

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata shilingi milioni 82 za wizi na dola za Marekani 267,...

READ MORE

Aspect Gaming & Superspade Games Sasa Ndani ya Meridianbet

Mpaka wakati huu, kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino ya mtandaoni, majina makubwa yamekuwa yakitengeneza historia kwa ubora, ubunifu na...

READ MORE