×

Habari

RC: Fedha zilizotengeneza madawati mabovu zirejeshwe

Na Mwandishi Wetu, Uwazi IRINGA: Baada ya wananchi wa Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa kutoa kero yao ya kutengenezewa madawi...

READ MORE

Mgawanyo wa mapato ya Muungano upatiwe ufumbuzi

Shamsi Vuai Nahodha Na Elvan Stambuli, UWAZI Waziri Kiongozi Mstaafu wa Awamu ya Sita wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ)...

READ MORE

Shigongo awahimiza wanafunzi Muhimbili kuwa wabunifu

Na Hilaly Daudi MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric  Shigongo Jumamosi iliyopita alihutubia  wanafunzi wa Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Tanzia: Raia wa Afrika Kusini afariki akipanda Mlima Kilimanjaro

 Raia wa Afrika Kusini waliopanda Mlima hivi karibuni kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kununua taulo za kusaidia...

READ MORE

RC Makonda Afafanua Mpango wa Kuiendeleza Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul...

READ MORE

Msajili Hazina Asema Twiga Bancorp Bado Imara

Msajili wa Hazina Lawrence Mafuru, akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kwenye ofisi za benki hiyo zilizopo barabara ya Samora jijini...

READ MORE

Airtel na Veta, VSOMO zaidi ya vijana elfu 10 kusoma kwa simu

Meneja wa Mradi VSOMO  toka VETA kipawa Bw, Gosbert Kakiziba (wapili toka kulia) akimuonyesha Afisa Elimu wa mkoa wa Mbeya...

READ MORE

Rais Magufuli awaapisha Makamishina/Manaibu wa Polisi Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Naibu Makamishna wa Polisi (DCP) na  Makamishna...

READ MORE

Wafanyakazi wa Vodacom wapanda mlima Kilimanjaro

Katika kuchangia taulo za watoto wa kike Wafanyakazi  36 kutoka makampuni mbalimbali nchini  Afrika ya Kusini  ikiwemo kampuni ya mawasiliano...

READ MORE

Askofu Gwajima aanika kuhusu safari yake alikokuwa

KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, amefunguka kwa kuelezea safari yake aliyoifanya nje ya nchi hivi...

READ MORE

Mmarekani Mweusi awaua Polisi 3

Rais Barrack Obama wa Marekani amewasihi Wamerakani wajizue dhidi ya hisia kali baada ya Mmarekani Mweusi kuwapiga risasi na kuwaua...

READ MORE

Viongozi wa dini wakwepa kodi wasakwa

Mlowola Naibu Mkurugenzi Takukuru, Valentino Mlowola. Stori: Issa Mnally, Wikienda DAR ES SALAAM: Baadhi ya viongozi wa dini nchini wanadaiwa...

READ MORE

Hatimaye Rais Magufuli Ampa Kazi Mrema

Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Mhe. Augustino Lyatonga Mrema. RAIS wa Jamhuri ya...

READ MORE

Mbezi, Kiluvya na Kibaha… Gazeti Jipya la Ijumaa ndiyo habari ya mjini

Hasani Issa  wa kiluvya akinunua gazeti la Ijumaa kwa Tsh. 1000/= kutoka kwa muuzaji magazti ya Global Publishers, Khadija Rashid...

READ MORE

Muonekano Mpya wa Jiji la Makonda

Mnara wa Askari, Posta. Dar es Salam, Kamera yetu leo imenasa muonekano mpya wa baadhi ya barabara za Jiji la...

READ MORE

Wanawake kuonyesha kazi za mikono yao Julai 18

Mandalizi yakiendelea  eneo la maonesho hayo. Tanzania Gasby Trust inatarajia kufanya maonyesho makubwa ya bidhaa za kazi za mikono za...

READ MORE

Wanajeshi 104 wauawa wakitka kumpindua rais wa Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan (ktikati) baada ya kujitokeza. Istanbul, Uturuki Naibu Nkuu wa Jeshi la Uturuki ametangaza kwa...

READ MORE

Maandalizi Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Yaiva

Na Bashir Nkoromo Maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliopangwa kufanyika Julai 23, 2016 mjini Dodoma yamezidi kuiva. Taarifa...

READ MORE

Huyu ndiye mgombea mwenza wa Donald Trump

MGOMBEA wa Urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Republican, Donald Trump amemteua Gavana wa Jimbo la Indiana, Mike...

READ MORE

A-Z Yaliyojiri kwenye jaribio la mapinduzi kwa rais Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan (ktikati) baada ya kujitokeza. 07:15 Shirika la Reuters limemnukuu afisa wa serikali ya Uturuki...

READ MORE

Ulinzi UDSM ni sifuri

Ulinzi getini. Waandishi wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Ulinzi na usalama wa maelfu ya wanavyuo wa Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Dos Santos: Mmoja wa viongozi ving’ang’anizi matajiri Afrika!

JE, una umri usiozidi miaka 36 tangu uzaliwe?  Kama jibu ni “ndiyo’ basi ujue ulizaliwa baada ya Rais Jose dos...

READ MORE

Muhimbili wafanikiwa kuweka betri kwenye moyo wa mtoto

Na John Stephen, MNH Dar es Salaam, Tanzania.Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)-Muhimbili jana imefanya upasuaji mkubwa wa moyo...

READ MORE

Matokeo Ya Kidato cha Sita… Bofya hapa Kuyatazama

Baraza la mitihani Tanzania(NECTA) imetangaza matokeo ya kidato cha sita 2016, na Kuzitaja shule zilizo fanya vizuri zaidi Kitaifa na...

READ MORE

Waziri Nape afanya msako wa filamu na stika za TRA maduka ya Kariakoo

Baadhi ya maduka yakiwa yamewekwa chini ya ulinzi kwa kuuza bidhaa za filamu na muziki zilizoingia nchini kinyume na sheria...

READ MORE

Watumishi watatu w Jeshi la Polisi wasimamishwa kazi kwa kufanya malipo hewa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Jeshi...

READ MORE

TRA, NMB Hukusanya Kodi Sh. Bil 19.8 kwa Mwezi

Meneja Huduma za Ziada wa Benki ya NMB, Stephen Adili akizungumza na waandishi kuhusu  mfumo mpya wa ulipaji kodi unaofanywa...

READ MORE

Taifa La Tanzania Kuombea Kwa Siku 1001

Askofu na Mwenyekiti wa Good News For All Ministry (Great Vision 2000) DK. Charles Gadi leo amezungumza na wanahabari kuhusu...

READ MORE

Samuel Sitta ahamishwa nyumba ya Serikali, ahamia Manzese!

ALIYEKUWA Spika wa Bunge la tisa, Samuel Sitta, ameondolewa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi baada ya Serikali kugoma kumlipia kodi ya...

READ MORE

Ufaransa ‘kimenuka’ tena… 80 wauawa kwa shambulizi

    Paris, Ufaransa Ufaransa kimenuka tena! Watu 80 wameripotiwa kufa ikiwa ni pamoja na watoto 18 katika shambulizi la kigaidi...

READ MORE

Taarifa ya uvumi kuwa Serikali imeshusha 30% ya mishahara ya madaktari

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na Uvumi katika Mitandao ya Kijamii kuwa Serikali imeamua kushusha Mishahara ya Madaktari kwa...

READ MORE

Kahama: Kibinti miaka 13 chaolewa, chatorokea polisi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Mika Nyange. KAHAMA: Kibinti chenye umri wa miaka 13 (jina linahifadhiwa) mkazi wa Kijiji...

READ MORE

Kampuni ya Simu ya Tigo Kudhamini Tamasha la Fiesta 2016

 Ofisa Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Shavkat Berdiev (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari...

READ MORE

Waziri Mkuu Uingereza Achagua Mawaziri Wapya

Waziri mkuu mpya wa Uingereza, Theresa May. WAZIRI mkuu mpya wa Uingereza, Theresa May, ameanza kuchagua mawaziri wapya huku akiwaacha...

READ MORE

Makazi Mapya ya David Cameron

David Cameron. Makazi mapya ya Cameron. Cameron akiingia kwenye makazi yake mapya. Ulinzi katika makazi mapya ya Cameron. Makazi mapya...

READ MORE

Hizi ndizo Airports 10 Bora zaidi Barani Africa

1.Cape Town International Airport, South Africa (CPT) 2.Johannesburg O.R. Tambo International Airport, South Africa (JNB) 3.Algiers Houari Boumediene International Airport,...

READ MORE

Shirika la Ndege la Etihad Latunukiwa Tuzo 3 Kwa Ubora wa Huduma za Anga

Makamu wa Rais wa Huduma wa Shirika la Ndege la Etihad, Sajida Ismail, Makamu wa Rais wa Uhusiano wa shirika...

READ MORE

Airtel yasaidia wadau wa Elimu, Afya na Kilimo mkoani Tabora

Ayub Kim, Mraditi wa kitengo cha miundo mbinu Milllenium Promise Tanzania,  akitoa mafunzo ya komputa kwa baadhi ya wanafunzi wa...

READ MORE

Sumaye Kugombea Uenyekiti Chadema

Frederick Sumaye. WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amekubali ombi la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya...

READ MORE