×

Habari

Kijana mlemavu wa miaka 20 afungiwa ndani kwa miaka 11

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida kijana mwenye tatizo la ulemavu wa viungo na akili, amegundulika kufungiwa ndani kwa zaidi ya...

READ MORE

IS Wathibitisha Kifo cha Kamanda Wao Omar Shishani

Omar Shishani. Kundi la Islamic State limethibitisha kifo cha mmoja wa makamanda wake wa ngazi za juu kijeshi, Omar Shishani....

READ MORE

Kituo cha Polisi Chavamiwa Kenya

MAAFISA wa Polisi wapatao 6 wanahofiwa kufariki dunia baada mtu mwenye silaha anayedaiwa kuwa mwanamgambo wa Al-Shabaab kukishambulia Kituo cha...

READ MORE

Picha: Ajali ya DPP kwenye msafara wa Waziri Mwakyembe

MSAFARA wa Waziri wa Sheria na Katiba Dr. Harrison Mwakyembe jana ulipata ajali baada ya gari lililokua limembeba Mkurugenzi wa...

READ MORE

Wafanyabiasha Afrika Mashariki Kukuza Biashara

       Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa Dkt. Suzan Kolimba akihojiwa na wanahabari....

READ MORE

Njombe kidedea Kampeni ya Usafi, yatwaa Toyota Land Cruiser

         Waziri wa afya, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisoma hotuba katika hafla hiyo. Mkuu wa Mkoa wa Dar...

READ MORE

Juno Yatuma Picha ya Kwanza ya Jupita

Muonekano wa picha ya kwanza ya Sayari ya Jupita. Chombo cha anga za juu cha Shirika la Marekani la NASA...

READ MORE

Serikali yafuta usajili wa magazeti 473

Leo Serikali kupitia Wizara ya Habari iliyochini ya Nape Nnauye imesema kuwa imefuta usajili wa magazeti 473 kupitia tangazo lililochapishwa...

READ MORE

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Hafsa Mossi Auawa

Hafsa Mossi. Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Burundi, Hafsa Mossi ameuawa na watu wasiojulikana mjini Bujumbura leo. Bi....

READ MORE

Cameron Kuachia Ngazi Leo Uingereza

David Cameron . Theresa May leo anakuwa waziri mkuu wa pili mwanamke katika historia ya nchi ya Uingereza baada ya...

READ MORE

Kisa kuzimwa simu, njemba ala kichapo

NA RICHARD BUKOS, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Njemba moja ambayo ilifahamika kwa jina la utani kama Mzee wa Ndole,...

READ MORE

Kisa wivu, amnyonga mkewe mjamzito gesti

Gesti aliponyongewa. Na: Gabriel Ng’osha na Mayasa Mariwata,  RISASI Mchanganyiko INAUMA SANA! Mapenzi ni jambo hatari zaidi katika maisha ya...

READ MORE

Mtoto wa kigogo mbaroni kwa tuhuma za kumbaka denti form 1

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zubery Mwombeji. NA STEPHANO MANGO, RISASI MCHANGANYIKO RUVUMA: Justine Ambrose (30) ambaye ni mtoto...

READ MORE

Acha ujuha, dai risiti!

Sasa ninalazimika kudai risiti kwa kila huduma, maana mambo yamekuwa ndivyo sivyo kabisaaa. Yaani mambo yaliyokuwa bure zamani siku hizi...

READ MORE

Anayedaiwa Kuingiza Sh. Milioni 7 kwa Dakika Kizimbani

Mtuhumiwa Mohamed Yusuph Ally anayedaiwa kuingiza milioni 7 kwa dakika akipelekwa rumande. MFANYABIASHARA anayedaiwa kukwepa kodi na kuingiza shilingi milioni 7...

READ MORE

Aliyemla Nyama mwanaye huyu hapa

Issa Mnally, UWAZI DODOMA: Unyama! Hali bado si shwari kwenye Kitongoji cha Sekule, Kijiji cha Mongoroma, Kondoa mkoani hapa kufuatia...

READ MORE

Treni zagongana na kuua 12 Italia

Andria, Italia  Treni mbili zimegongana kusini mwa nchi ya Italia na kuua watu 12 eneo la tukio na wengi wao...

READ MORE

Polisi Wakamata Vyeti Bandia, Leseni za Biashara na Silaha Dar

Kamishina wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Simon Sirro akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Akionesha bunduki iliyokamatwa. Kamanda Sirro...

READ MORE

Mkazi wa Mwanza akabidhiwa kitita chake cha sh. Mil. 20/=na Vodacom

Mkazi wa Mkolani jijini Mwanza na Mshindi wa Promosheni ya Vodacom Shomari Almas(kushoto) akipokea Sh 20 Milioni kutoka kwa Meneja...

READ MORE

Kituo cha Foreplan Clinic cha Tabib Mwaka Chafutiwa Usajili

Serikali imekifungia kituo cha tiba asilia cha Foreplan kinachomilikiwa na Juma Mwaka kwa kukiuka masharti ya kibali alichopewa kujitangaza kuwa...

READ MORE

Ethiopia Yazima Mitandao Yote ya Kijamii

SERIKALI nchini Ethiopia imefunga mitandao yote ya kijamii ya mitandao ya Facebook, Twitter, Instagram na Viber baada ya kuvuja kwa...

READ MORE

RC Makonda Ayafanyie Kazi Haya

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Paul Makonda. Na Leonard Msigwa MWAKA 1918 wakati Vita ya Kwanza ya Dunia...

READ MORE

Huawei Yawakumbuka Watoto Yatima Jijini Dar

KAMPUNI ya Mawasiliano ya Huawei nchini kupitia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni pamoja na Ofisi ya Polisi Mkoa...

READ MORE

Jamani Mara; ukatili huu mpaka lini?

Bhoke Matiko akiugulia mkono. Na Igenga Mtatiro, Uwazi MARA: Jamani Mara; ukatili huu hadi lini? Hayo ni baadhi ya maneno...

READ MORE

Wimbi la maiti kubadilishwa latikisa!

   Siku maiti ya Brain ilipozikwa kimakosa. Na Joseph Ngilisho, UWAZI ARUSHA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida, wimbo la miili...

READ MORE

Kuanza kwa Mahakama ya Uhujumu Uchumi, mafisadi watimkia nje

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande Othman Na Hashim Aziz, UWAZI Dar es Salaam: Matumbo joto! Wakati Serikali ya Awamu...

READ MORE

Mkuu wa mkoa aamuru mkandarasi akamatwe

Na Mwandishi Wetu BAADHI ya wananchi wa Songwe mkoani Mbeya wameeleza kero yao kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos...

READ MORE

Kazi ya Serikali ya Magufuli imeanza rasmi Julai Mosi

Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kutuweka hai hadi hii leo ninapoandika makala haya, hivyo ahimidiwe milele. Baada ya kusema hayo...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Maiti Zinazozikwa na Manispaa

Na Hashim Aziz Yapo madai mbalimbali kwamba maiti zinazokosa ndugu na kulazimika kuzikwa na manispaa, huwa hazipewi heshima inayostahili, ikiwa...

READ MORE

Helen Kijo Bisimba: CUF, CCM zitafute msuluhishi!

Katika sehemu ya kwanza ya mahojiano haya wiki iliyopita tulisoma jinsi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za...

READ MORE

Serikali Iangalie Upya Tamko Lake

NIMESEMA mara kadhaa na sioni tatizo kurudia. Ninamuunga mkono Rais Dk. John Pombe Magufuli ingawa sina imani na Chama Cha...

READ MORE

Hofu Kukamatwa kwa Gwajima, Waumini Washangaa

Askofu Gwajima. KIONGOZI mmoja wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ambaye hakutaja jina lake kwa madai ya kuwa siyo msemaji,...

READ MORE

Hatimaye Mrithi wa David Cameron Apatikana

Theresa May. Mwanamama Theresa May amekuwa mgombea pekee ndani ya chama tawala cha Conservative nchini Uingereza, aliyebakia katika kinyanganyiro cha...

READ MORE

Daktari feki anaswa chumba cha wagonjwa mahututi

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Zakaria Benjamini mkazi wa Tungi Manispaa ya Morogoro...

READ MORE

Polisi Yakamata Gamba la Kasa, Meno ya Tembo 666

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, CP Diwani Athuman, akisoma taarifa kuhusu tukio hilo. …Akiendelea kuwasiliana na wanahabari (hawapo...

READ MORE

DHL delivers black rhino Eliska to Africa

DHL delivers black rhino Eliska to Africa Female Eastern black rhino Eliska transported from Czech Republic to Tanzanian sanctuary as...

READ MORE

Boko Haram 6 wakamatwa ndani ya kanisa

Lagos, Nigeria WATU sita kati ya 100 wanaoaminika kuwa ni memba wa kundi la kigaidi la Boko Haram waliokuwa wakitafutwa...

READ MORE