Akapelekwa katika chumba ambacho alitakiwa kukaa kwa siku zote ambazo angesubiri safari ya kwenda nchini Marekani. Moyo wa Fareed ulikuwa...
READ MOREILIPOISHIA: Ndani ya dakika mbili tangu tukae mkao huo, kuna mambo ya ajabu yalianza kunitokea, mapigo ya moyo yakawa yanazidi...
READ MOREILIPOISHIA: Lakini ni hapo pia nilipokumbuka ile ajali nyingine ya bodaboda niliyoisababisha na pia nikakumbuka kisanga cha dereva wa Bajaj...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA: “Hapana!” “Kuna tatizo kukushika kama hivi?” Asha akausogeza mkono wake hadi mashavuni mwa Shaka… Hakuwa Asha yule aliyezoeleka…kilichomleta...
READ MOREI miss My God! (Namkumbuka Mungu Wangu) Mtunzi: Eric Shigongo; “Oh My God! It is a ruptured pregnancy!”(Mungu wangu!...
READ MOREILIPOISHIA: “Sikuwahi kudhani kwamba unaweza kuwa na nguvu kubwa kiasi hicho, hongera sana, utanifaa sana wewe,” alisema huku akipitisha mkono...
READ MOREILIPOISHIA: “Nakupenda Jamal,” alisema kisha akanibusu kwenye shavu langu la upande wa kushoto, mwili wote ukasisimka tena, nikakosa hata cha...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE RISASI JUMAMOSI: Kwere aliondoka na kumuacha Bigambo akiwaza hili na lile kichwani mwake juu ya namna gani aanze...
READ MOREILIPOISHIA: “Nataka nikalale na dada Shenaiza,” alisema kwa sauti ya kudeka huku akinisogelea na kujilaza kifuani kwangu, nikapitisha mkono wangu...
READ MOREILIPOISHIA: Sijisifii lakini ukweli ni kwamba katika suala la mbio, nilikuwa na uwezo mkubwa sana, dakika chache baadaye nikawa nimeshatokomea...
READ MOREILIPOISHIA: Nilipofika, na mimi nilijifanya ni mwombolezaji wa kawaida tu, nikawasalimia baadhi ya watu kisha nikajichanganya na waombolezaji wengine. Ghafla...
READ MOREILIPOISHIA: “Ulisema unasomea IT, hebu chukua ile laptop pale uje hapa unisaidie kitu,” nilimtega, naye ni kama alikuwa akiisubiri nafasi...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE RISASI MCHANGANYIKO… Wafanyakazi wengine wakawa wanapita na kuwatazama kwa macho yenye tafsiri tofautitofauti. “Bigambo na Vivian mnaitwa na...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE RISASI JUMAMOSI: Mzee hakutaka kuichezea bahati hiyo, akaanza kusaga na kukoboa kwa umahiri wa hali ya juu, Vivian...
READ MORE“Nigeria!” “Ooh! Sawa. Kwenda Ulaya si tatizo. Ila una pesa?” aliuliza kijana mmoja. “Kiasi gani?” “Kukufanyia mpango ni paundi mia...
READ MOREAlitakiwa kuwa na haraka sana, hakutakiwa kupoteza muda hata mara moja. Akatembea kwa mwendo wa haraka mpaka katika chumba alichokuwemo...
READ MOREHata uende kwa fundi gani kwangu utarudi tu!” Shaka aliongea kwa kujiamini akifungua simu ya mteja. Asha hakuwa na namna…kwa...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE RISASI JUMAMOSI: “Unaweza kunitibu na mimi Jisu?” Vivian aliuliza na kumtazama tena usoni Jisu lakini pia akawa kama...
READ MOREWalichanganyikiwa, hawakuamini kile walichokuwa wamekikuta. Wakaanza kumtafuta kila kona ndani ya hospitali hiyo lakini mtu huyo hakuonekana. Hawakujua ni kitu...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA… Alitamani kumkatalia, lakini wakati mwingine hakuona kama hilo lilikuwa jambo jema kwani hata yeye mwenyewe mwili wake ulikuwa...
READ MOREILIPOISHIA RISASI MCHANGANYIKO: “Hapana, hebu ngoja kwanza nitengeneze ndipo nikuambie ni kiasi gani maana kwa sasa naweza kusema kumbe nikawa...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE RISASI JUMAMOSI: Raphael alihamaki baada ya kuusukuma mlango na kugundua kwamba umeshafungwa kwa ndani, ni hapo ndipo hasira...
READ MORE“Mleteni lakini nitamfanyia baada ya saa tano,” alisema Dk. Watson. “Haina shida.” Hawakutaka kubaki nyumbani hapo, haraka sana akachukuliwa na...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA: Hakuwa na akili nyingi darasani, alikuwa na uwezo wa kawaida, upole wake ukawafanya wengi kupenda kuongea naye, lakini...
READ MORE“Ni mambo makubwa yaliyonitokea. Hakika nitamchukia Keith maisha yangu yote,” alisema Fareed huku akimwangalia Asteria. “Kuna nini tena?” Hapo ndipo...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE RISASI MCHANGANYIKO: “Acha mambo yako bwana, ngoja niondoke,” Vivian alisema huku akikanyaga mguu kwenye kigingi cha kukanyagia kabla...
READ MOREILIPOISHIA “Si kwa hiki ulichonifanyia, yaani unanikoboa kama vile unahama, kwa mchezo wa leo, najiona siwezi kucheza mechi tena za...
READ MORE“Nisamehe mpenzi! Nilikuwa sehemu fulani hivi,” alisikika Mickey kwenye simu. “Nimekukumbuka jamani! Mpaka nikataka nijiue kwa ajili yako,” alisema Fareed...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE RISASI JUMAMOSI: Wakati akijiandaa kusema alichokuwa amekusudia, ghafla Jagadi alitokeza na kuwatazama wote wawili kwa jicho la ‘duh...
READ MOREWAKATI marapa marafiki Ambwene Yesaya ‘AY’ na Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ wakiwa wamekaa mkao wa kula kusubiri mamilioni ya shilingi...
READ MORENdani ya dakika kumi, simu ya Fareed ikalia kuonyesha kwamba kulikuwa na ujumbe, haraka sana akaichukua na kuangalia, ilikuwa ni...
READ MOREAkakaa na kumsubiria mzee huyo. Alimwambia kwamba angefika nyumbani hapo muda si mrefu. Akajiachia kochini huku moyo wake ukiwa na...
READ MOREILIPOISHIA: Nguo maalum aliyofunikwa upande wa kichwani, ilifanya iwe vigumu kwa mtu yeyote kumtambua, tukaendelea kusonga mbele mpaka tulipofika kwenye...
READ MORE“Hujioni? Nenda kachukue kioo halafu jiangalie,” alisema Keith huku akimwangalia Fareed. “Hapana!” “Niamini!” Safari zake za kutafuta wanaume hazikuisha, aliendelea...
READ MOREILIPOISHIA: Nilichopanga kichwani, ni kuchukua maelekezo vizuri kwa yule mtu aliyesema marehemu ni jirani yake kisha kwenda kwanza mpaka eneo...
READ MOREILIPOISHIA: Ilibidi Raya abaki palepale hospitalini mpaka usiku ili iwe rahisi kufanya kazi yetu, muda ukazidi kuyoyoma na hatimaye giza...
READ MOREILIPOISHIA: “Broo vipi unaenda?” alisema huku akisimamisha Bajaj yake jirani kabisa na pale nilipokuwa nimesimama, nadhani kwa sababu ya kigiza...
READ MORE“Ulikuwa unaongea na nani?” aliuliza huku akionekana kuwa na hasira kali. “Rafiki yangu!” “Ndiyo ukaongelee chooni!” “Jamani! Si mambo yetu...
READ MOREILIPOISHIA: Tangu nizaliwe, sikuwahi kuchinja hata kuku tu, achilia mbali ndege tuliokuwa tukiwawinda kule kijijini kwetu lakini sasa eti nilikuwa...
READ MOREILIPOISHIA: Kauli yake hiyo ilitufurahisha sana mimi na Shamila, tukawa na uhakika kwamba sasa kazi itakuwa nyepesi kwa sababu tayari...
READ MORE