ILIPOISHIA: “Jamal! Jamal! Jamal!” nilishtuka baada ya kuisikia tena ile sauti nzito ya kutetemeka, iliyoniita kwa mara ya kwanza kabisa,...
READ MOREILIPOISHIA: Alipofikisha tatu, nilifumba macho, nikashtukia ghafla tumehama pale tulipokuwa na kwenda upande wa pili, kule barabarani ambako watu wengi...
READ MOREILIPOISHIA: Muda huo kwa makadirio ilikuwa ni kama saa nane za usiku maana kuna sehemu nilipita nikasikia redio kwa mbali...
READ MOREILIPOISHIA: Harakaharaka, huku akilia, aliwaita walinzi ambao nao walimuita daktari wa familia hiyo, muda mfupi baadaye wote wakawa wamejaa ndani...
READ MOREILIPOISHIA… Nilifarijika nilipoliona basi alilopanda likiwa mbele na langu likiwa nyuma. Nilifurahi jinsi nilivyokuwa na uhakika wa kusafiri njia...
READ MOREILIPOISHIA: Wote waliacha kila walichokuwa wanakifanya, wakawa wananitazama kwa macho makali. Sikuelewa nini hasa kimetokea, wakati nikiendelea kuwatazama vizuri kwa...
READ MOREILIPOISHIA: Treni ilizidi kushika kasi, ikafika kipindi nikawa nahisi kwamba haikanyagi kwenye reli bali inapaa angani kwa jinsi ilivyokuwa ikienda...
READ MOREILIPOISHIA… Nililala usingizi wa matumaini. Niliamini ni lazima ningempata Samike. Nikiwa usingizini, niliota mseto wa ndoto za zamani na...
READ MOREILIPOISHIA: “Mzimu? Mzimu gani wakati sasa hivi ni mchana?” “Nilikuwa nimelala nikatokewa na mzimu wa marehemu Jamal!” “Mh! Au unaanza...
READ MOREILIPOISHIA: Nikiwa bado naendelea kumtazama kwa jicho baya, mara nilishtuka kusikia vishindo viwili vikubwa juu ya bati, kama vile nilivyokuwa...
READ MOREILIPOISHIA… Nilifanikiwa kupata usingizi kiasi. Ulikuwa usingizi wa mang’amung’amu. Usingizi wangu ulijawa na ile shauku ya kuujua ukweli giza...
READ MOREILIPOISHIA: Kwa bahati nzuri, nilipofika pale mapokezi, yule dada hakuwepo, nikatoka kimyakimya mpaka nje, nikaelekea lilipo geti kubwa huku nikijitahidi...
READ MOREILIPOISHIA: “Mzimu? Mzimu gani wakati sasa hivi ni mchana?” “Nilikuwa nimelala nikatokewa na mzimu wa marehemu Jamal!” “Mh! Au unaanza...
READ MOREILIPOISHIA: Nikiwa naendelea kulia, nilipaliwa na mate, hali iliyofanya nikohoe mfululizo, ajabu zaidi, na ule mwili wangu pale kitandani ukakohoa,...
READ MOREILIPOISHIA: Nikiwa bado naendelea kuugulia, nilisikia ndugu yangu mmoja akiniita kutokea dirishani, nikafunua pazia na kuchungulia nje. Sikuyaamini macho yangu...
READ MOREILIPOISHIA “Unamfahamu mzee mmoja anaitwa Samike? Ana nywele nyeupe, nyus…” kabla sijamaliza kuzungumza, kijana alibadilika na kuwa yule mtu...
READ MOREILIPOISHIA: Kuna wakati hofu ilinizidi na kutaka nigeuze nilikotoka lakini kitu ndani ya moyo wangu kikaniambia nizidi kusonga mbele. Kadiri...
READ MOREILIPOISHIA: Sikutaka kumuamsha Rahma, nilimtoa kifuani kwangu taratibu kisha nikashusha miguu chini, nikawa nimekaa huku nikitazama huku na kule. Sikuweza...
READ MOREILIPOISHIA JANA… “Boboooooh!” ilipigwa honi. Tukaingia ndani ya gari. Nilimkuta yule dada jirani yangu amekaa kajiinamia. Nilitambua kilichomtesa. Muda...
READ MOREILIPOISHIA: Nakumbuka neno la mwisho nililofanikiwa kulisema, ingawa ilikuwa ni kwa taabu kubwa kutokana na midomo yangu kuwa mizito, ilikuwa...
READ MOREILIPOISHIA: Nilipomtazama, macho yangu na yake yaligongana, akanikazia macho, ikabidi nikwepeshe macho yangu, safari ya kurudi nyumbani ikaanza huku mara...
READ MORETulikuwa katika mikono ya wanyang’anyi. Walikwisha tuamuru tushuke chini na tulitii kwa kuzihofia roho zetu kuondolewa na zile bunduki...
READ MOREILIPOISHIA: Nilianza kuwatazama mmoja baada ya mwingine, kuanzia mama ambaye uso wake ulikuwa na huzuni kubwa, baba ambaye alionesha kuwa...
READ MOREILIPOISHIA: Safari iliendelea mpaka tulipofika Magomeni ambako kulikuwa na foleni kubwa sana asubuhi hiyo, jambo ambalo halikuwa la kawaida. “Nimekwambia...
READ MOREKufumba na kufumbua tulifika Singida. Kupika na kupakua tuliingia Tabora. Taratibu tukauacha mkoa huu wa Wanyamwezi, tukafika Kahama mkoani Shinyanga....
READ MOREILIPOISHIA: Simulizi za Majonzi: Nilimtazama Raya aliyekuwa bado amelala juu ya kifua changu, nikajiuliza mara mbilimbili kama nipokee au la....
READ MOREILIPOISHIA: Ghafla tulishtushwa na kishindo kikubwa ambacho hata sikuelewa kimetokea wapi. Watu walianza kupiga kelele kwa nguvu huku wale waliokuwa...
READ MORENilivuka barabara. Gari dogo likakosa kunigonga. Katika harakati za kukwepa kadhia hiyo, nikaparamia mkokoteni wa takataka. Mwenye mkokoteni japo mimi...
READ MOREILIPOISHIA: “Tupeleke Coco Beach, kule wanakouza mihogo,” alisema Rahma, safari ikaanza lakini mita chache mbele, nilishtuka baada ya kusikia mtu...
READ MOREJoshua alikuwa akiishi kwa wasiwasi sana toka siku ya mwisho ambayo alinusurika kufanyiwa kitu kibaya na Bwana Shedrack ambaye alionekana...
READ MOREILIPOISHIA: “Aisee! Mbona hii inaonekana kuwa ngoma nzito?” “Ni ngoma nzito kwelikweli, halafu kuna huyu kijana ameingizwa kwenye mtego bila...
READ MOREILIPOISHIA: Nilijifungua ile sanda, na mimi nikabaki kama Rahma, nikasogea pale kwenye bomba, maji yakawa yanatumwagikia, chini damu zikawa zinaendelea...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA… “Mzee Samike kwa sababu ya uchawi wake, alikwishatengwa na jamii. Watu wote walimwogopa na hawakuthubutu kwenda msibani....
READ MOREILIPOISHIA: Hakuwa na nguo yoyote mwilini zaidi ya kipande cha sanda alichokuwa amefunikwa kuanzia juu kidogo ya mapaja mpaka kifuani...
READ MOREILIPOISHIA: “Tuondoke!” nilisema huku nikiinuka pale nilipokuwa nimekaa kwani tayari kengele ya hatari ililia ndani ya kichwa changu, Raya naye...
READ MOREILIPOISHIA: Ilibidi yule askari avunje ukimya na kurudia tena kumuuliza swali lile lakini badala ya kutoa majibu kama alivyokuwa akifanya...
READ MOREILIPOISHIA “MUNGU wangu, hivi wewe mtoto una akili timamu kweli?” alisema baba huku akionyesha kushtuka mno, akageuka na kumuonyesha ishara...
READ MOREILIPOISHIA Nikafungua mlango wa gari na kujipakia. Nikajaribu kuliwasha gari hilo bila mafaniko. “Mafuta yamo?” msichana akaniuliza. “Nilitia mafuta ya...
READ MOREILIPOISHIA JUMATATU Siku moja nilialikwa kwenye harusi ya rafiki yangu mmoja aliyekuwa akiishi wilayani Mkinga. Nikaenda kuazima gari kwa rafiki...
READ MOREMzee aliletewa tumbaku aliyoagiza. Ilikuwa tumbaku ya tozo. Akaiweka katika kiko kilichokuwa na kaa dogo la moto, akavuta mikupuo miwili...
READ MORE