×

Kimataifa

Rais mstaafu mbaroni kwa ufisadi Brazil

  RAIS mstaafu wa Brazil, Bw. Michel Temer, ametiwa mbaroni jijini Sao Paulo kwa tuhuma za rushwa na ufisadi.  ...

READ MORE

Wanafunzi Watekwa, Basi Lao Lachomwa Moto

  BASI lililokuwa limebeba watoto wa shule wapatao 51 lilitekwa na kutiwa moto karibu na jiji  la Milan nchini Italia....

READ MORE

New Zealand Kuharamisha Silaha Zinazofanana na za Jeshi

  NEW ZEALAND itapiga marufuku silaha za aina yoyote zenye muundo wa kijeshi zilizotumika katika shambulio la mji wa Christchurch,...

READ MORE

Ukame Waua Waturkana, Mifugo Yafa kwa Njaa!

UKAME unaozidi kushika kasi katika maeneo mbalimbali yanayokaliwa na watu wa kabila la Waturkana nchini Kenya umesababisha kupoteza maisha ya...

READ MORE

Professa Awapa Mtihani Wanafunzi Kutafuta Marafiki 1,667, Ili Kufaulu

  PROFESA mmoja katika chuo cha uchumi na sheria nchini  China ametoa mtihani kwa wanafunzi wa chuo hicho wa kutafuta...

READ MORE

Waziri wa Ufaransa Asitisha ‘Kumbatiza’ Paka Wake

  WAZIRI katika serikali ya Ufaransa,  Nathalie Loiseau,  amesitisha hatua ya ‘kumbatiza’ au kumpa paka wake jina la Brexit kama...

READ MORE

Mwanamke Ajidunga Sindano ya Juisi ya Matunda, Alazwa Mahututi

  MWANAMKE mmoja nchini China almanusura afariki dunia, baada ya kujidunga yeye mwenyewe sindano iliyosheheni mchanganyiko wa matunda yaliyotengenezwa kwa...

READ MORE

Polisi waivamia Benki ya Baclays

  KIKOSI cha polisi wa dharura nchini Kenya wamevamia benki ya Barclays iliyopo katikati mwa mji huo kwa msako wa...

READ MORE

NICKI MINAJ ASEMA ‘BADO SIJAOLEWA’

MWANAMUZIKI machachari Mmarekani, Nicki Minaj, amesema bado hajapata mume wa kumuoa.  Msanii huyo ameyasema hayo majuzi kuhusiana na mpenzi wake, ...

READ MORE

Museveni amwandikia Kagame kuhusu mgogoro kati yao

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amemwandikia barua Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kuhusu madai ya kuwepo waasi wa Rwanda nchini...

READ MORE

Rais Msumbiji asema watu 1,000 wamefariki kwa kimbunga Idai

  IDADI ya watu waliofariki kutokana na kimbunga Idai nchini Msumbiji sasa huenda ikawa ya juu na kufikia watu 1,000...

READ MORE

Kimbunga ‘Idai’ Chaua Watu 65 – Picha 12

  WATU 65 wamekufa mashariki mwa Zimbabwe kutokana na eneo hilo kukumbwa na kimbunga kiitwacho Ida. Kati ya watu waliopoteza...

READ MORE

Aliyeua Watu 49 New Zealand Jana, Afikishwa Mahakamani

Mshukiwa namba moja wa shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini New zealand jijini Christchurch, na kuua watu 49, Brenton Terrant...

READ MORE

JEAN-PIERRE BEMBA ALIPWA BIL 180 KWA KUFUNGWA BILA HATIA

ALIYEKUWA Makamu wa rais nchini DRC, Jean-Pierre Bemba, na ambaye alihukumiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa uhalifu...

READ MORE

Kampuni ya Boeing yasitisha matumizi ya ndege zote za 371

  KAMPUNI ya kutengeneza ndege ya Boeing ya Marekani iliyotengeneza ndege ya shirika la ndege la Ethiopia iliyoanguka hivi karibuni,...

READ MORE

Jengo la shule laanguka, laua wanafunzi wanane

 WATOTO zaidi ya wanane wamefariki na wengi kujeruhiwa na kunasa katika mabaki ya jengo la shule lililoanguka jijini Lagos, Nigeria....

READ MORE

Mamia Wamuaga Rubani Yared Aliyekufa Kwenye Ndege ya Ethiopia

MAMIA ya waombolezaji wamehudhuria ibada ya mazishi ya kiislam ya rubani mwenye umri wa miaka 29 , Yared Mulugeta Gatechew,...

READ MORE

Kadinali aliyelawiti watoto ahukumiwa kwenda Jela

  JJI Mkuu wa mahakama moja nchini Australia, Peter Kidd, amemhukumu kifungo cha miaka sita gerezani Kardinali George Pell baada...

READ MORE

BAD NEWS: MAFURIKO YAUA 28

IDADI ya watu waliokufa kutokana na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko Kusini mwa Malawi imefikia watu 28. Taarifa ya Wizara ya...

READ MORE

Moto Wateketeza Mali za Mamilioni Sokoni

  WAFANYABIASHARA wanahesabu hasara baada ya mali ya thamani isiyojulikana kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo (Jummane) alfajiri katika...

READ MORE

China Yasimamisha Matumizi ya Boeing 737 Max 8

  CHINA imesimamisha mashirika yake ya ndani kutumia ndege aina ya Boeing 737 Max 8 kufuatia ajali mbili za ndege...

READ MORE

Mkuu Wa Kampeni Za Donald Trump Ahukumiwa Kwenda Jela

  MENEJA wa zamani wa kampeni za Rais wa Marekani, Donald Trump, aitwaye Paul Manafort,  amehukumiwa kifungo cha miezi 47...

READ MORE

R Kelly Afunguka Tuhuma za Kunyanyasa Kingono, Amwaga Chozi – VIDEO)

  NYOTA wa miondoko ya R&B, R Kelly, ameonyesha masikitiko yake katika kipindi kimoja cha asubuhi cha televisheni dhidi ya...

READ MORE

Marekani Waanza Kutibu Ukimwi, Wagonjwa Wawili Wamepona

JOPO la Madaktari jijini London nchini Uingereza limefanikiwa kumuondolea kabisa virusi vya ukimwi muathirika na kumfanya kuwa mtu wa pili...

READ MORE

Rwanda: Kagame awakamata majenerali watatu wa jeshi

MAJENERALI  Joseph Nzabamwita (kusho juu, picha ya chini), Fred Ibingira (kulia juu) na Emmanuel Ruvusha, wamekamatwa na kuwekwa chini ya...

READ MORE

Mwanamke Mwingereza Aliyejiunga ISIS Aomba Kurejea Nchini

BAADA ya kuvuliwa uraia wake wa Uingereza, Shamima Begum (pichani) aliyejipatia umaarufu wa ghafla dunia nzima, ameipigia magoti nchi yake...

READ MORE

Mgomo wa Wafanyakazi Uwanja wa Ndege Waleta Mzozo

  USAFIRI wa ndege umetatizika na abiria wamekwama katika uwanja mkuu wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) jijini Nairobi, Kenya....

READ MORE

Rubani wa Makamu wa Rais Afariki kwa Ajali ya Ndege

CAPTAIN Mario Magonga, aliyekuwa rubani wa Makamu wa Rais wa Kenya,  William Ruto,  amefariki katika ajali baada ya ndege aina...

READ MORE

MCHUNGAJI ‘ALIYEJI-SELFIE NA MUNGU’, AMTAKA MCH LUKAU AMFUFUE MANDELA

 MCHUNGAJI mmoja nchini Afrika Kusini, Paseka Motsoeneng, maarufu kama Pastor Mboro, ambaye alishawahi kudai kuwa alifika mbinguni na kupiga picha...

READ MORE

Mlima Kenya Wawashwa Moto Na Walima Bangi

  MOTO unaodaiwa kuwashwa na wakulima wanaotaka kupanda bangi unatishia maelfu ya hekari za misitu ya mianzi katika Mlima Kenya au Mount...

READ MORE

Ajali Ya Treni Yaua 20

  WATU 20 wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa jijini Cairo, Misri, baada ya kutokea ajali ya treni katika njia kuu...

READ MORE

Muhammadu Buhari Aibuka Mshindi wa Kiti cha Urais Nigeria

Muhammadu Buhari ametangazwa na Tume ya Uchaguzi Nigeria kuwa mshindi wa kiti cha Urais kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Februari 23,...

READ MORE

Mchungaji Aliyefufua ‘Maiti’ Azua Gumzo – Video

NI Jumapili asubuhi ambapo kuna ibada ya uponyaji katika kanisa la  Alleluia Ministries International, kaskazini mwa jiji la Johannesburg, Afrika...

READ MORE

Jamaa Ataka Kuiteka Ndege Angani, Kilichomtokea Bofya Hapa!

NDEGE iliyokuwa inafanya safari kutoka mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka kuelekea Dubai, ililazimika kutua kwa dharura baada ya kutokea jaribio...

READ MORE

R Kelly Akamatwa Na Polisi

  MWANAMUZIKI wa R&B R.Kelly amekamatwa baada ya kujisalimisha polisi hapo jana usiku baada ya Mahakama ya Chicago kutoa amri...

READ MORE

Kipenga cha Uchaguzi Chapigwa Nigeria

  WANIGERIA leo wanashiriki uchaguzi mkuu baada ya shughuli hiyo kuahirishwa ghafla wiki moja iliyopita.   Wagombea wawili wakuu ni...

READ MORE

Kesi ya R. Kelly juu ya unyanyasaji wa kingono yaibuka upya

  WANAWAKE wengine wawili wamejitokeza na madai ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya mwanamuziki wa R&B,R Kelly.   Rochelle Washington...

READ MORE

Kenya kuamua juu ya sheria inayopinga mapenzi ya jinsia moja

  MAHAKAMA ya Kenya  leo itatoa uamuzi kuhusu uhalali wa sheria inayoharamisha mapenzi kwa watu wa jinsia moja. Chini ya...

READ MORE

Kioja! Wapenzi wa jinsia moja wapata mtoto!

  MPENZI wa jinsia moja wa Waziri Mkuu wa Serbia, Ana Brnabic, amejifungua mtoto wa kiume.   Wawili hao wote...

READ MORE

Maajabu ya binti aliyejifungua bila kujua ana ujauzito!

    MSICHANA mwenye umri wa miaka 18, ambaye alizirai kwa muda wa siku nne baada ya kuumwa kichwa ameshangazaa...

READ MORE