×

Kimataifa

LIMBWATA: MWANAMKE AMGEUZA MUMEWE KUWA JOKA LA MAAJABU

Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kua joka kubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya mumewe ampende yeye tu....

READ MORE

Breaking News: Rais Bush wa Marekani Afariki Dunia

RAIS wa 41 wa Marekani, George Herbert Walker Bush,  amefariki dunia jana, Ijumaa, Novemba 30, 2018, majira ya saa 4:10 usiku...

READ MORE

Polisi Wadaiwa Kuwatorosha Wenzao Wanaotuhumiwa kwa Rushwa

Askari Polisi wa Kenya wanadaiwa wamewasaidia wenzao wawili walio kamatwa kwa shutuma za rushwa kutoroka kizuizini.   Washukiwa hao wawili...

READ MORE

MAUAJI YA KASHOGGI, RAIA WA TUNISIA WAANDAMANA NA MISUMENO

RAIA na wanaharakati nchini Tunisia wameingia barabarani kuandamana wakipinga ziara ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman ambaye ndiye...

READ MORE

RWANDA: Mwanahabari Akamatwa kwa Tuhuma za Ugaidi

MWANDISHI  wa habari wa kujitegemea wa Rwanda, Phocus Ndayizera, ameonyeshwa mbele ya vyombo vya habari na polisi wa upelelezi wiki...

READ MORE

22 Wafariki, Zaidi ya 22 Wajeruhiwa Katika Mlipuko China

MLIPUKO kwenye kiwanda cha madawa jijini Zhangjiakou, katika jimbo la Hebei, kaskazini mwa China, mapema leo, umeua watu 22 na...

READ MORE

Hawa Ndo Watu Watano wa Ajabu Zaidi Kuwahi Kutokea Duniani – Picha

Unaweza kufikiri umewahi kuona vitu vya ajabu, vingine vikiwa katika picha zilizotengenezwa makusudi kwa kompyuta.  Lakini picha zifuatazo zilipigwa kabla...

READ MORE

Kitu cha Ajabu Chagunduliwa Kwenye Kaburi la Kale

KARUBI  la kale linalokisiwa kuwa la zaidi ya miaka 3,500 limegunduliwa Misri.  Wataalam wa masuala ya kale walioshirikiana na chuo...

READ MORE

Russia Yazishambulia, Kuzikamata Meli Tatu za Kivita za Ukraine

Russia imezikamata meli tatu za jeshi la maji la Ukraine jana (Jumapili) katika pwani ya Crimea iliyotwaliwa na Russia baada...

READ MORE

HAWA NDO WATU 10 WENYE NGUVU YA USHAWISHI ZAIDI DUNIANI 2018

KUWA mmoja kati ya watu wenye nguvu kubwa duniani sio jambo rahsisi,inakupasa uwe na ushawishi mkubwa sana kwa hao hao...

READ MORE

Zijue Nchi 9 Zinazoongoza kwa Kufanya Mapenzi Duniani

NI dhahiri kwamba nchi za Ulaya zinaongoza kwa burudani ya mapenzi (ngono) duniani, japokuwa watu huisahau Malaysia kuwa miongoni mwake....

READ MORE

Nesi Asimamishwa Kazi, Kisa? ‘Selfie’ Iliyoleta Utata

NESI mmoja nchini Malawi amesimamishwa kazi baada ya ‘selfie’ aliyojipiga katika wodi ya wajawazito  kumwonyesha nyuma yake mwanamke mmoja mjamzito...

READ MORE

WAJUE SAMAKI WANAOWEZA KUTIBU UGONJWA WA MOYO

  Samaki anayeweza kuurekebisha moyo wake huenda ndiyo suluhu ya matibabu kwa watu wenye matatizo ya moyo, kwa mujibu wa...

READ MORE

ZAIDI YA WAKULIMA 250 WA KIWANGWA WAPATIWA SEMINA YA KILIMO

  WAKULIMA  wa zao la mananasi wa kijiji cha  Kiwangwa, wilayani Bagamoyo  wamepatiwa elimu ya kulimo darasa ikiwa ni sambamba...

READ MORE

Ifahamu Treni ya Kasi Zaidi Afrika

Morocco imezindua treni inayokwenda kwa kasi zaidi barani Afrika – itakayopunguza nusu ya muda unaotumika kusafiri katika miji ya biashara...

READ MORE

Mauaji ya Khashoggi: Wasaudi 18 Kuzuiwa Kuingia Ujerumani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Heiko Maas, amesema leo kuwa Berlin itawapiga marufuku raia 18 wa Saudi Arabia kuingia...

READ MORE

Moto California: 76 Wafariki, 1,300 Hawajuliani Walipo

Jumla ya watu 76 wamethibitika kufa kutokana na moto wa msituni uliotokea California ya Kaskazini nchini Marekani ambapo maelfu ya watu...

READ MORE

VISIWA VINACHOKABILIANA NA MAGONJWA HATARI DUNIANI

Wasafiri wanaozuru visiwa vya barani Afrika vinavyofahamika kama Bijagos wanatarajia kujionea mandhari ya kipekee ya fukwe za kale na misitu...

READ MORE

Mbwa Kutumika Kugundua Malaria kwa Binadamu

Wanasayansi nchini Uingereza na Gambia wanasema wana ushahidi wa awali unaoonyesha kuwa mbwa wanaweza kunusa malaria. Wanasayansi hao wamewafunza mbwa...

READ MORE

MAYWEATHER ATAKA MILIONI 345 KUZIPIGA NA KHABIB

Mayweather (kulia) na mdhamini Dana. BONDIA Floyd Mayweather amefikia makubaliano na mdhamini wa masumbwi, Dana White, kuzipiga na bondia Khabib,...

READ MORE

37 Wafariki Kwenye Mapigano Kati ya Waislamu na Wakristo

WATU zaidi ya  37 wamekutwa wamefariki katika mji mmoja katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, kutokana na mapigano kati yaWakristo...

READ MORE

Waziri Ajiuzulu Kwa Kashfa ya Video ya Ngono na Mkewe

Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani wa South Africa, Malusi Gigaba,  amejiuzulu wadhifa wake huo kutokana na kashfa ya kuvuja...

READ MORE

MTANZANIA AWEKA REKODI, ASHINDA URAIS CHUO KIKUU URUSI

UMOJA WA WANAFUNZI NA VIJANA WA KIAFRIKA CHUO KIKUU CHA URAFIKI CHA URUSI (PEOPLES’ FRIENDSHIP UNIVERSITY OF RUSSIA) AU PATRICE...

READ MORE

TANZANIA KUKUMBUKA WALIOKUFA VITA YA DUNIA

TANZANIA inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 100 ya Mashujaa waliokufa kwenye Vita Kuu ya Kwanza ya...

READ MORE

MREMBO SUDAN AOLEWA KWA NG’OMBE 520, TOYOTA 3 KALI

HATIMAYE familia ya mrembo wa Sudan ya Kusini aliyekuwa anagombewa na waposaji kibao walioahidi kutoa mahali kubwa zisizo za kawaida,...

READ MORE

Rwanda Yataka Rwigara, Mama’ke Wafungwe Miaka 22

UPANDE wa mashitaka nchini Rwanda umeitaka Mahakama Kuu ya Kigali kutoa adhabu ya kifungo cha miaka 22 jela kwa Diane...

READ MORE

Ja Rule Asema 50 Cent Anawadhalilisha Watu Wasio Weupe

  KWA mujibu wa vyombo vya habari, wanamuziki maarufu nchini Marekani, Ja Rule na 50 Cent, ambao wamekuwa na bifu...

READ MORE

Sakata la Ushoga: Benki ya Dunia Kusitisha Ziara Zake Tanzania

BENKI ya Dunia  imeungana na nchi kadhaa duniani zinazoishutumu Tanzania kuhusiana na kile kilichotajwa kuwa ni kuwadhalilisha mashoga ambapo imeamua...

READ MORE

WAFANYAKAZI CPJ WALIYOSHIKILIWA UHAMIAJI TANZANIA WAACHIWA

Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) imezitaka Mamlaka nchini Tanzania kuwaachia huru wawakilishi wake wawili barani Afrika,...

READ MORE

Rapa Future Ategemea Mtoto wa 5 na Joice Chavis

RAPA Mmarekani, Future, jana alihudhuria sherehe ya kumkaribisha kijacho wake wa tano kutoka kwa  Joie Chavis, ambaye pia ni mama-watoto...

READ MORE

KIJIJI AMBAKO WANAWAKE NDIYO HULIPA MAHARI!

Katika kijiji cha Nyamashekhe kilochopo mkoa wa magharibi nchini Rwanda kumekithiri utamaduni wa wanawake kulipa pesa kwa mwanaume ili  waolewe. ...

READ MORE

Kuamka Mapema Kunaweza Kukuepusha na Saratani

Wanawake wanaoamka mapema wapo katika uwezekano mdogo wa kupata saratani ya matiti, kwa mujibu wa watafiti nchini Uingereza. Kundi la...

READ MORE

MCHUNGAJI TAJIRI WA KUTISHA MWENYE KANISA BONGO

UKIFIKA jijini Dar Es Salaam eneo la Makongo Juu ndipo lilipo kanisa la En­lightened Christian Gathering ‘ECG’ la Mchungaji Shepherd...

READ MORE

Wachezaji Leicester City Wawasili Thailand Kumzika Mmiliki wa Klabu

Wachezaji wa Leicester City wamewasili nchini Thailand kwa mazishi ya mmiliki wa klabu ambaye alifariki kwenye ajali ya helikopta. Jamie Vardy...

READ MORE

Wanandoa Wafariki Kwa Helikopta Baada ya Harusi

WANANDOA Will Byler na Bailee Ackerman Byler wamefariki Jumamosi iliyopita baada ya helikopta waliyopanda baada ya kumaliza harusi yao kuanguka...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Bahrain Ahukumiwa Jela Maisha

KIONGOZI wa upinzani nchini Bahran,  Sheikh Ali Salman,  amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufaa kumpata na...

READ MORE

Michael Jackson Aongoza Vipato Mastaa Waliofariki

STAA wa muziki duniani, Mmarekani hayati Michael Jackson, ametajwa kuongoza kwa mwaka wa sita mfululizo orodha ya mastaa waliofariki lakini wakingali...

READ MORE

Avuna Mil. 300 Kwa Mwaka Kwa Kuuza Soksi Zake Chafu

ROXY SYKES (33) mkazi wa Jiji la London, Uingereza, amefichua kwamba anajipatia kiasi cha Paundi 100,000 (Sh. milioni 300 kwa...

READ MORE

NICKI MINAJ ,CARDI B WADAIWA KUMALIZA BIFU

 HUENDA lile bifu la muda mrefu kati ya marapa wawili wasioshikika kwenye gemu la Hip Hop kutoka Marekani, Nicki Minaj...

READ MORE

BINTI WA LUCKY DUBE CHUPUCHUPU KUFARIKI

BINTI wa marehemu Lucky Dube, Bongi Dube chupuchupu kufariki dunia akiwa kwenye shoo, Durban nchini Afrika Kusini baada ya kutokea...

READ MORE