×

Kimataifa

Trump Atishia Kuuangamiza Uchumi Wa Uturuki

  RAIS wa Marekani Donald Trump ametishia ‘kuiangamiza Uturuki kiuchumi’ iwapo taifa hilo litavishambulia vikosi vya Wakurdi nchini Syria baada...

READ MORE

WAJUE WANAWAKE 12 WALIOANDIKA REKODI YA KUZAA WAKIWA VIKONGWE

  Mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu mwenyewe na unaweza ukaolewa au ukawa na mwanaume lakini usipate mtoto kwa kipindi...

READ MORE

DAVIDO AWEKA REKODI HII

MKALI wa muziki Ni ­geria, Davi­do amewe­ka rekodi nchini humo kwa kuwa mwanamuziki wa kwanza kufikisha wafuasi milioni 9 katika...

READ MORE

Mkoba wa Mugabe Uliojaa Dola Kibao Waibiwa

  WATU watatu wamefikishwa mahakamani nchini Zimbabwe, wakishtakiwa kuiba mkoba uliokuwa na Dola za Marekani 150,000 (Sh. milioni 345) taslimu...

READ MORE

Mwanamke Apewa Dawa ya Kusimamisha Uume Badala ya Kutibu Macho

  MWANAMKE mmoja nchini Uingereza amepata majeraha ya kemikali baada ya kupewa kwa makosa dawa ya kusimamisha uume badala ya...

READ MORE

Utasikitika Kwa Maamuzi Aliyoyachukua Tajiri Namba Moja Duniani Na Mkewe

  MMILIKI na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos,  na mkewe MacKenzie wanatarajiwa kupeana talaka baada ya...

READ MORE

Breaking News: Felix Tshisekedi wa Upinzani Aongoza Kura za Urais Congo

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (Ceni) imemtangaza mgombea wa upinzani, Felix Tshisekedi kuwa anaongoza...

READ MORE

 MTOTO ALIYETUPWA ILI AFE KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, AISHANGAZA DUNIA!

  NI asubuhi ya Januari 31, 2016, mitaa ya kijiji fulani nchini Nigeria imetulia, watu wanaendelea na shughuli zao za...

READ MORE

Adaiwa Kunywa Energy Drink na Nguvu Zake za Kiume Zaongezeka Ghafla

  SHIRIKA la kupima viwango vya ubora wa bidhaa nchini Uganda, The Uganda National Bureau of Standards (UNBS), linatarajiwa kufanya...

READ MORE

Serikali Yazima Jaribio Kuipindua Serikali ya Bongo

  WAZIRI wa mawasiliano nchini Gabon anasema wanajeshi waaminifu kwa serikali ya Rais Ali Bongo wamefanikiwa kuzima jaribio la mapinduzi...

READ MORE

Breaking: Jeshi Laipindua Serikali ya Bongo

KUNDI la wanajeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.   Wanajeshi wenye...

READ MORE

Michelle Obama Kuwania Urais wa Marekani 2020?

  MICHELLE  ambaye ni mke wa rais wa zamani wa Marekani,Barack Obama, tetesi za yeye kuwania urais mwaka 2020 nchini...

READ MORE

Wanawake Kupewa Talaka Kupitia Ujumbe wa Simu

  SHERIA mpya nchini Saudia inawalinda wanawake kutopewa talaka bila kujua, lakini kuanzia siku ya Jumapili hii, mahakama zitatakiwa kuwaelezea...

READ MORE

Kanisa Katoliki Laanika Hadharani Jina la Mshindi wa Urais Congo

Baraza Kuu la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (Cenco), lenye ushawishi mkubwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, limesema linafahamu aliyeshinda...

READ MORE

Huyu Ndo Rais Aliyekula Bata la Kutupwa, Alijenga Paradiso Kijijini Kwao – Video

ALIKUWA ni mmoja wa viongozi wa Afrika waliodaiwa kuwa wanapenda kuishi maisha ya anasa na kutumia vibaya fedha za nchi...

READ MORE

Tshisekedi, Fayulu Walalamikia Dosari Uchaguzi wa Urais Congo

WAGOMBEA wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamelalamikia dosari nyingi wanazosema zilitokea wakati wa uchaguzi wa urais uliofanyika...

READ MORE

Trump, Melania Wawatembelea Ghafla Wanajeshi wa Marekani Nchini Iraq

  RAIS wa Marekani, Donald Trump na mke wake Melania Trump, wamefanya ziara ya ghafla ya Krismasi ya kuwatembelea wanajeshi...

READ MORE

Mapacha Watanzania Walioungana Watenganishwa Saudi Arabia

  MAPACHA wa Tanzania walioungana, Anishia na Melanese, wametenganishwa nchini Saudi Arabia Desemba 23, 2018, na hali zao zinaendelea vizuri...

READ MORE

Tsunami Yaua Watu zaidi ya 160, Zaidi ya 700 Wajeruhiwa

TAKRIBAN watu 168 wameuawa na wengine 745 kujeruhiwa baada uya tsunami kuikumba miji ya pwani nchini Indonesia kwa mujibu wa...

READ MORE

Mfungwa Apewa Adhabu Ya Kuangalia Filamu Jela

  Jangili mmoja nchini Marekani ameamriwa kuangalia filamu ya wanyama ya Bambi kila mwezi baada ya kukutwa na hatia ya...

READ MORE

AFUNGA NDOA NA WAKE WAWILI KWA MPIGO

  Morani mmoja katika kaunti ya Kajiado nchini Kenya, Tom Mako, maarufu kama Junior, (27) ameacha watu midomo wazi baada ya...

READ MORE

AISHI NA MAITI YA MAMA YAKE KWA AJILI YA PENSHENI

MTU mmoja nchini Hispania anayedaiwa aliishi na maiti ya mama yake kwa mwaka mzima akiwa ameificha ili aendelee kupata pensheni...

READ MORE

JELA MAISHA KWA KUKIRI KUUA, KULA NYAMA YA BINADAMU

WANAUME wawili nchini Afrika Kusini wamefungwa maisha baada ya kutiwa hatiani kwamba walimuua na kumla mtu mmoja. Watu hao waliotiwa...

READ MORE

BREAKING: MOTO WATEKETEZA GHALA LA TUME YA UCHAGUZI

Moto mkubwa uliowaka usiku wa kuamkia leo umeteketeza ghala la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (CENI) jijini Kinshasa na kuaharibu...

READ MORE

Rais Huyu Apigwa Marufuku Kukanyaga Ardhi ya Marekani

SERIKALI ya Marekani imempiga marufuku Rais wa zamani wa Gambia, Yahya Jammeh kuingia nchini humo kutokana na historia mbaya ya...

READ MORE

Mrembo wa Mexico Aibuka Mshindi Fainali za Miss World 2018 – Video

Mrembo Vanessa Ponce de Leon kutoka nchini Mexico ameibuka mshindi wa taji la mrembo wa dunia 2018 kwenye shindano lililomalizika...

READ MORE

MWANAMKE BIKRA ‘ALIYEFUNGA NDOA’ NA YESU KRISTO AZUA GUMZO

MWANAMKE mmoja, Jesca Hayes (41) amejinunulia mwenyewe shela, ushungi na pete ya ndoa, na kwenda madhabahuni kufunga ndoa, lakini aliposimama...

READ MORE

Barua ya Einstein kuhusu Mungu yauzwa mnadani, aliamini Mungu yupo?

  Barua iliyoandikwa kwa hati ya mkono na Albert Einstein, ambapo anajadili suala la dini na imani, imeuzwa kwenye mnada...

READ MORE

Ndege za Marekani Zagongana Angani Moja Ikiiongezea Mafunta Nyingine

Oparesheni kubwa ya uokoaji inaendelea nchini Japan kuwatafuta wanajeshi watatu wa Marekani baada ya ndege mbili zilizokuwa na wanajeshi saba...

READ MORE

Mfungwa Achagua Kuuawa kwa Kutumika Kiti Badala ya Sindano ya Sumu

Mfungwa mmoja katika jimbo la Tennessee nchini Marekani atauawa kwa kiti cha umeme baada ya kudai kuwa sindano ya sumu...

READ MORE

Mbwa wa Bush Alivyowagusa Wengi kwa Heshima Zake za Mwisho

  Mbwa aliyekuwa amepewa kazi ya kuwa msaidizi wa Rais wa 41 wa Marekani George HW Bush amepigwa picha akionekana...

READ MORE

ALIYEJIFYATUA MDOMO KWA RISASI APANDIKIZWA USO MPYA

JAMAA mmoja wa Yuba City, California nchini Marekani, Cameron Underwood amerejeshewa furaha yake na sasa anaweza kutabasamu baada ya kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Mahakama Yafuta Mashtaka Yote Dhidi Diane Rwigara na Mama Yake

  Jaji Xavier Ndahayo wa Mahakama Kuu ya Rwanda amewafutia mashtaka yote yaliyokuwa yakiwakabili mwanasiasa Diane Rwigara na mama yake...

READ MORE

Mwanamke abakwa na kuchomwa moto

  Mwanamke mmoja kaskazini mwa India yupo katika wadi ya wagonjwa mahututi hali mbaya baada ya kuchomwa moto na wanaume...

READ MORE

SERIKALI CHINA YAPIGA MARUFUKU HARUSI ZA KIFAHARI

SERIKALI ya China ipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari ambazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni.    Kwa...

READ MORE

Mtoto azaliwa kutoka mji wa mimba uliopandikizwa kutoka kwa mfu

KWA mara ya kwanza mtoto amezaliwa kutoka katika mji wa uzazi  (uterus) ambao mama yake alikuwa amepandikizwa mji huo kutoka...

READ MORE

Cuba Kuanza Kupata Internet Kwenye Simu Zao

WANANCHI wa Cuba wataweza kupata mawasiliano ya Internet kwenye simu zao kuanzia kesho (Alhamisi), kwa mujibu wa shirika la simu...

READ MORE

Mtanzania Mbaroni Kwa kuiibia Serikali ya Marekani Bilioni 8!

MTANZANIA JOHN NDUNGURU, anayemiliki kampuni ya Mercy Services of Heath inayojishughulisha na kazi ya  kuhudumia wagonjwa majumbani (Home Health Care) nchini Marekani,...

READ MORE

Wafanyakazi wapigwa faini kwa kutotembea hatua 180,000 kwa mwezi China

  Kampuni moja nchini China imeshutumiwa vikali kwa kuwapiga faini wafanyakazi wanaokosa kutembea takriban hatua 180,000 kwa mwezi.   Kulingana...

READ MORE