×

Kimataifa

Mahakama Yatupa Madai ya Kubaka Dhidi ya Rambo

MWIGIZAJI maarufu wa Marekani, Sylvester Stallone,  hatafunguliwa mashitaka ya kubaka miaka karibu 30 iliyopita.  Habari hiyo imejitokeza baada ya mwanamke mmoja...

READ MORE

Nesi Akiri Kuua Wagonjwa 100

Nesi mmoja nchini Ujerumani amekiri mbele ya mahakama kuwaua wagonjwa takriban 100, hali inayomfanya kuwa miongoni mwa wauaji wakubwa  kuwahi...

READ MORE

Lifahamu Full Combat Jerrycan: Kanisa la Walevi Kenya

KANISA la Full Combat Jerrycan ni kanisa linalohudhuriwa na walevi katika kijiji cha California mjini Lodwar, kaskazini mwa Kenya. Kanisa...

READ MORE

Uingereza: Mtanzania Aliyemuua Mkewe Ahukumiwa Jela Maisha

KEMA SALUM (39) Mtanzania aliyemwua mkewe Mtanzania pia, Lelya Mtumwa (35) kwa kumchoma visu nchini Uingereza , amehukumiwa na mahakama...

READ MORE

Video ya Ngono ya Waziri Yanaswa, Atakiwa Kulipa Sh. Mil. 700

WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Afrika Kusini, Malusi Gigaba, ametakiwa na mtu asiyejulikana kutoa Rand milioni tano (Sh. mil....

READ MORE

Ndege ya Lion Air Indonesia Yaanguka Ikianza Kupaa Jakarta

NDENGE ya  abiria ya shirika la Lion Air aina ya Boeing 737 imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja...

READ MORE

IMETHIBITISHWA: Mmiliki Leicester City Amefariki kwa Ajali ya Helikopta

BILIONEA mmiliki wa Klabu ya Soka ya Leicester City, Vichai Srivaddhanaprabha (61), raia wa Thailand amethibitishwa kuwa miongoni mwa watu waliofariki...

READ MORE

Mjue Bilionea wa Sudan ya Kusini Mwenye Utajiri Tata

BILIONEA tata wa Sudan ya Kusini,  Lawrence Lual Malong Yor Jnr, amezua sintofahamu miongoni mwa watu wa Kenya wiki hii...

READ MORE

Helikopta ya Leicester City Yaanguka na Kuwaka Moto Ikitoka Uwanjani

HELIKOPTA ya bilionea, mmiliki wa klabu ya soka ya Leicester City ya Uingereza, Vichai Srivaddhnaprabha, imeanguka na kuwaka moto ikiwa inaondoka...

READ MORE

BILIONEA WA FACEBOOK ATUMIA MABILIONI KUJILINDA ASIUAWE

MWAKA 2017, kampuni ya mtandao wa Facebook ilitumia Dola 7.3 (Sh. bil. 16.7) kwa ajili ya usalama wa Mtendaji Mkuu...

READ MORE

Sahle-Work Zewde Awa Rais wa Kwanza Mwanamke Ethiopia

BUNGE la Ethiopia limemchagua Sahle-Work Zewde kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo. Sahle-Work ni mwanadiplomasia mkongwe ambaye anakuwa...

READ MORE

BOBI WINE YAMKUTA TENA

HUENDA huu ukawa mwaka mbaya kwa mwanamuziki ambaye pia ni Mbunge wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, Kyagulanyi Robert ‘Bobi Wine’...

READ MORE

Wabunge Ethiopia Wamchagua Rais Mwanamke

WABUNGE nchini Ethiopia wamemchagua Sahle-Work Zewde, kuwa rais wa kwanza mwanamke baada ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Mulatu Teshome,...

READ MORE

BARACK OBAMA, HILLARY CLINTON WATUMIWA MABOMU

MARAIS wastaafu wawili wa Marekani, Bill Clinton, Barack Obama na Mbunge, Mazine Walters, ni miongoni mwa watu ambao wametumiwa mabomu...

READ MORE

Rais Weah Atangaza Kufuta Ada Vyuo Vikuu Vyote

RAIS wa Liberia, George Weah, ametangaza Chuo Kikuu cha Liberia na vyuo vikuu vyote vya umma vitatoa mafunzo bure kwa...

READ MORE

Uingereza: Aliyemuua Leyla Kuhukumiwa Leo, Watanzania Wafurika Kortini

HUKUMU ya kesi ya inayomkabili Mtanzania Kema Salum (39) anayedaiwa kumuua mkewe ambaye pia alikuwa Mtanzania, Bi. Leyla Mtumwa (36),...

READ MORE

Watoto warekebishwa uti wa mgongo kabla ya kuzaliwa

MADAKATARI nchini Uingereza wamerekebisha uti wa mgongo wa watoto wawili wiki kadhaa kabla ya kuzaliwa. Oparesheni hiyo ya kwanza ya...

READ MORE

Rais Amteua Mwanaye, Ndugu 4 wa Familia Yake Kuwa Majenerali

RAIS Teodoro Obiang Nguema, wa Equatorial Guinea amewateua ndugu wanne wa familia yake kuwa majenerali katika Jeshi la nchi hiyo....

READ MORE

Watu 18 Wafariki Dunia kwa Ajali ya Treni

TAKRIBAN watu 18 wamepoteza maisha na 170 wamejeruhiwa baada ya treni ya abiria kutoka katika  njia yake kaskazini-mashariki mwa Taiwan....

READ MORE

UTURUKI: Mwili wa Khashoggi Ulikatwakatwa Vipande Kuficha Ushahidi

KWA mujibu wa ofisa mmoja wa serikali ya Uturuki asema mwili wa mwanahabari, Jamal Khashoggi, ulicharangwa vipande baada ya kuawa...

READ MORE

Paul Allen Mwasisi-Mwenza wa Microsoft Afariki

Paul Allen, bilionea aliyekuwa mmoja wa waasisi wa kampuni la Microsoft  na Bill Gates mnamo 1975, amefariki dunia kwa kansa.   Allen ambaye...

READ MORE

Baba wa Vincent Kompany Awa Meya wa Kwanza Mweusi Ubelgiji

UBELGIJI imechagua meya wa kwanza mweusi kwa mara ya kwanza.  Mtu huyo ni baba wa mwanasoka wa kimataifa Vincnt Kompany...

READ MORE

Madai: Khashoggi Aliuawa Ndani ya Ubalozi wa Saudia

MWANDISHI wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi,  huenda alirekodi tukio la kifo chake kwenye saa yake aina ya Apple...

READ MORE

Huyu Ndo Dr Kidero Anayedaiwa Kumiliki Mali za Mabilioni Kimagumashi

TUME ya Maadili na Kupambana na Rushwa (EACC) nchini Kenya imechapisha ripoti ya mali mbalimbali zinazomilikiwa na aliyekuwa Gavana wa...

READ MORE

BAD NEWS: WATU 50 WAFARIKI KWA AJALI YA BASI

WATU 50 wamefariki dunia leo, Oktoba 10, 2018, na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya ajali ya basi la abiria lililokuwa...

READ MORE

Rais Afungwa Jela Miaka 15

MAHAKAMA nchini Korea ya Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela na kumwamru kulipa faini ya dola milioni 11.5 aliyekuwa...

READ MORE

MSANII MBARONI KWA KUTOA WIMBO WA KUMTUKANA RAIS

MAOFISA wa polisi wamemkamata mwanamuziki Moses Nsubuga maarufu kama Viboyo baada ya kutoa wimbo unaomkosoa Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta...

READ MORE

Mchungaji Akutwa Akisali Uchi na Wanawake 7

MCHUNGAJI wa Kanisa la Full Gospel  na waumini wake ambao ni wanawake saba wanashikiliwa na Jeshi la Polisi katika wilaya ya Rukiga nchini...

READ MORE

Volkano yaibuka Indonesia siku chache baada ya tetemeko la ardhi, tsunami

KUIBUKA kwa volkano katika Mlima Soputan, katika kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia, kunafuatia siku chache baada ya tetemeko la ardhi...

READ MORE

Mnigeria Akamatwa na Dola Feki za Mil.25

POLISI nchini Kenya wamemkamata raia wa Nigeria, Henry Omoaka (51) akiwa na Dola feki za Marekani 251,4000 ambazo ni sawa...

READ MORE

Jambazi aliyetoroka kwa helikopta miezi 3 iliyopita akamatwa

Redoine Faid, jambazi sugu,  raia wa Ufaransa ambaye alitoroka jela akitumia helikopta iliyokuwa imetekwa nyara,  amekamatwa tena na polisi. Mhalifu...

READ MORE

Instagram yapotea hewani: Mamia washindwa kuingia kwenye akaunti zao

MTANDAO wa Instagram umeonekana kudorora ambapo mamia ya watumiaji wake wameshindwa kuingia katika akaunti zao katika tovuti hiyo ya kutumiana...

READ MORE

Bobi Wine Afunguka Mazito Kuhusu Rais Museveni

“Hapana jambo lolote binafsi kati yangu na Museveni,” amesema mwanamuziki wa Uganda aliyejikita katika siasa, Robert Kyagulanyi, na kuongeza “…...

READ MORE

MAHAKAMA YAMZUIA MWANAMKE KUOLEWA NA MWANAMUZIKI

RIYADH (AFP) – MWANAMKE mmoja nchini  Saudi Arabia amejikuta akibwagwa na mahakama katika dhamira yake ya kuolewa na mtu ampendaye,...

READ MORE

Njemba Wakamatwa na Mabilioni ya Fedha Feki, Ngozi na Shanga

WATUHUMIWA watatu, raia wa Mali, wamekamatwa eneo la Westlands, jijini Nairobi, Kenya, wakiwa na mabilioni ya fedha feki ambazo ni...

READ MORE

Indonesia: Kaburi la urefu wa mita 100 kuzikwa watu 1,300

MAANDALIZI ya kuizika miili ya takribani watu 832 waliofariki baada ya nchi ya Indonesia kukumbwa na tetemeko la ardhi pamoja...

READ MORE

Zaidi ya 400 Wafariki Indonesia kwa Kimbunga cha Tsunami

WATU wasiopungua 384 wamefariki dunia baada ya tetemeko la ardhi na kimbunga cha tsunami kuikumba Indonesia. Habari kutoka jiji la...

READ MORE

APOTELEA BAHARINI SIKU 49, APATIKANA AKIWA HAI

HIVI karibuni kijana mmoja wa Indonesia aliokolewa baharini baada ya kupotea huko kwa muda wa siku 49 akiwa katika mtumbwi...

READ MORE

SNOOP DOGG APATA MJUKUU WA KIKE

MKONGWE wa Muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Snoop Dogg amepata mjukuu wa kike akiwa na umri wa miaka 46,...

READ MORE

MTALII AUAWA KWA KUKANYAGWA NA TEMBO

Mtalii wa Ujerumani amefariki baada kukanyagwa na tembo alipokuwa akijaribu kumpiga picha nchini Zimbabwe. Mamlaka nchini humo imethibitisha kuwa mkasa...

READ MORE