×

Kitaifa

Aua Watoto Wake 2 Baada ya Kugombana na Mama Yake Mzazi

POLISI katika Kaunti ya Nairobi wanachunguza kisa ambapo mama mmoja mwenye umri wa miaka 24 aliwadunga kisu na kuwaua wanawe...

READ MORE

Corona: Hispania Yalegeza Masharti, Watu Waanza Kutoka Nje

WANANCHI nchini Hispania, wameruhusiwa kuanza kutoka nje baada ya kukaa ndani kwa siku 48 kufuatia mlipuko wa virusi ya Corona...

READ MORE

Jamii Yashauriwa Kuwatumia Wasaidizi wa Kisheria

Jamii nchini imeshauriwa kutumia fursa ya wasaidizi wa kisheria ambao wapo nchi nzima ili kupata msaada na ushauri wa kisheria...

READ MORE

Mbunge Koka Akabidhi Baiskelii 95 Jimboni Kwake, Azungumza..

MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Slyvestry Koka, amekabidhi Baiskeli 95 zenye thamani ya Shilingi Milioni 25 kwa Viongozi wa...

READ MORE

Serikali Yatoa Tamko Mazishi Usiku

  Wizara ya Afya, Maendeleo Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema hakuna haja ya maiti iliyofariki kwa Ugonjwa wowote ule...

READ MORE

JPM Amteua Brigedia Jen. Mhidize Kuwa Mkuu wa MSD

Rais Magufuli amemteua Brig.Jen Dkt.Gabriel Sauli Mhidize kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) kuanzia leo Mai 03l 2020...

READ MORE

Niokoeni Nakufa Najiona

DAR: NI mateso na maumivu makali anayopitia Amina Mohamedi Mwiru (32) mkazi wa Mbagala Kiburugwa ambaye amepatwa na tatizo la...

READ MORE

Video: Rais Magufuli “Fenesi, Mbuzi Nao Wana Corona”

 Rais Dk John Magufuli haamini usahihi wa majibu ya vipimo katika Maabara Kuu ya Serikali kuhusu ugonjwa wa corona....

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Mwigulu Kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Rais Dkt. John Magufuli amemteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa...

READ MORE

Maua Sama Ammwagia Sifa Zuchu

BAADA ya Zuchu kusajiliwa kwenye lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), msanii wa Bongo Fleva, Maua Sama ameibuka na kummwagia...

READ MORE

Sukari Kaa la Moto kwa Wafanyabiashara  

DAR: Licha ya kuwa ni bidhaa adimu yenye matumizi mengi kwa binadamu katika maisha ya kila siku, sukari imeendelea kuwa...

READ MORE

Muhimbili, RRH-Dodoma Wapokea Msaada wa Magari ya Wagonjwa

  Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (RRH) leo wamepokea msaada wa magari...

READ MORE

Tiba ya Dharura ya Corona Yapatikana, Marekani Yantangaza Dawa

MAMLAKA ya Dawa na Chakula (FDA) nchini Marekani imeidhinisha matumizi ya dharura ya dawa ya Ebola, remdesivir, ianze kutumika kutibu...

READ MORE

Mwili wa Dkt. Mahiga Wawasili Nyumbani Kwake – Video

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga, umefikishwa nyumbani kwake Gangilonga mjini Iringa kwa ajili...

READ MORE

Pierre Alivyonusurika Kifo Cha Corona

DAR: MCHEKESHAJI kwenye mitandao ya kijamii Bongo, John Mollel ‘Pierre Liquid’ amesimulia jinsi alivyonusurika kifo baada ya kushambuliwa na Ugonjwa...

READ MORE

Bunge Lashauri Wanaofariki Wazikwe Katika Maeneo Yao

SPIKA wa Bunge la Tanzania, John Ndugai ameshauri watu kuzikwa kwenye maeneo yao wanakotoka pindi wanapofariki, kwani kwa kutokufanya hivyo...

READ MORE

Chuo Kikuu Ruco: Wafanyakazi Watalipwa Nusu Mshahara

CHUO Kikuu Katoliki Ruaha (Ruaha Catholic University) kimetoa taarifa ya kufunga shughuli zake zote isipokuwa za dharura na kutoa likizo...

READ MORE

Kisa Corona, Chadema Yasema: ‘Hatuingii Bungeni’

  MNADHIMU wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Ester Bulaya, ametangaza kuwa wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

READ MORE

Corona: 92 Wawekwa Karantini Ruvuma

WATU 92 wakiwemo raia 10 wa Msumbiji walioingia nchini kupitia mpaka wa Mkenda, wilayani Songea wamewekwa karantini kwa siku 14...

READ MORE

CORONA: Hospitali Ya Kanisa Yaanza Kutoa Matibabu Bure, Askofu Aeleza..

Kanisa la International Evangelism Cente lenye makao makuu yake eneo la Sakila Wilayani Arumeru mkoani Arusha,kupitia zahanati ya kanisa hilo...

READ MORE

Serikali Haitopanga Bei za Mazao Ya Wakulima -Mhe Mgumba

  Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala yake wakulima watajipangia bei na kuuza...

READ MORE

Wakili Msando Aachiwa kwa Dhamana, Gwandu Aitwa Polisi

WAKILI maarufu Albert Msando hatimaye ameachiwa huru kwa dhamana  baada ya kushikiliwa na polisi jijjni Arusha na kuhojiwa kwa saa...

READ MORE

Tanzia: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Vunjo Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Aloyce Kimaro,  amefariki dunia jana katika Hospitali ya...

READ MORE

Taifa Tutenge Wiki Moja, Tupige ‘Nyungu’ Kwelikweli

SERIKALI imewataka wananchi wasisite kutumia njia mbadala ambazo zitaweza kuwasaidia katika janga hili la corona, ikiwemo kujifukiza, kwani utaratibu huo...

READ MORE

Jafo Atoa Maelekezo ya Ufundishaji Wanafunzi Online

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amelitaka Baraza la Mitihani Tanzania...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Zitto Akamatwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Jumatano, Aprili 29, 2020, iliamuru kukamatwa kwa kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, kwa kukiuka...

READ MORE

Wakili Msando Ashikiliwa Polisi – Video

KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha, Koka Moita, amesema wakili wa kujitegemea, Albert Msando,  ameitwa na jeshi la polisi kwa...

READ MORE

Anna Mghwira Akutwa na Virusi vya Corona

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro,  Anna Mghwira, amesema  amepimwa na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona.   Alisema kuwa...

READ MORE

Rais JPM Amlilia Mbunge Ndassa

Rais Dkt. John Magufuli ametuma salamu za pole kwa familia, Spika Ndugai na Wananchi wa Jimbo la Sumve Mkoani Mwanza...

READ MORE

Kifo cha Ndassa Spika Ndugai Asitisha Shughuli za Bunge – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai, leo Aprili, 29, 2020, ameahirisha Mkutano wa 19, Kikao cha 9, cha Bunge hadi kesho,...

READ MORE

Corona: Mbowe Afunguka Mazito “Tunataka Ukweli” – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi Mkuu Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema njia...

READ MORE

PM Majaliwa Agawa Abulance 50 kwa Wabunge – Pichaz

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Jumatatno, Aprili 29, 2020 amewakabidhi wabunge magari 50 ya kubebea wagonjwa yenye thamani ya...

READ MORE

Tanzia: Mbunge Richard Ndassa Afariki Dunia

MBUNGE wa Jimbo la Sumve kwa titeki ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Richard Ndassa,  amefariki dunia mapema leo Jumatano, Aprili...

READ MORE

Walioambukizwa Corona TZ Wafikia 480, Vifo 16 -Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema  maambukizi mapya ya ugonjwa  wa Covid-19  unaosababishwa na virusi vya corona, sasa yamefikia watu 480...

READ MORE

Naibu Meya wa Morogoro Azikwa na Serikali

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Loata Ole Sanare,  amesema mazishi ya aliyekuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro, Isihaka Sengo,...

READ MORE

Betika Mwendo Uleule Kuwafikia Wasomaji Wake

  MAPEMA leo Jumatano, Aprili 29 mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Buguruni, Malapa...

READ MORE

Mwanasayansi Mbaroni kwa Kupotosha ‘Pilipili Kichaa ni Dawa ya Corona’

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Ibrahim Peter (26) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Gambo Agawa Bure Sukari Iliyokamatwa Namanga – Video

MKUUwa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amegawa bure sukari kiasi cha kilo 5,000 iliyokamatwa katika mpaka wa Namanga unaotenganisha Tanzania...

READ MORE

Wakili Msando: Corona Hali ni Mbaya, Semeni Ukweli – Video

WAKILI maarufu wa kujitegemea, Alberto Msando, ametoa msaada wa barakoa 100 pamoja na vitakasa mikono 100 kwa waandishi wa habari...

READ MORE