×

Kitaifa

Makonda Aipongeza Muhimbili kwa Hili

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuendelea kusaidia wahitaji mara baada...

READ MORE

Lori la Mafuta Laanguka Kagera, Wanane Mbaroni Wakiiba Mafuta

WAKATI bado Watanzania wakiendelea kuomboleza vifo vya watu 102 kufuatia ajali ya moto wa ya lori la mafuta iliyotokea mjini...

READ MORE

Breaking: Tundu Lissu Ashinda Pingamizi

ALIYEKUWA Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, ameshinda pingamizi la Serikali ya Tanzania dhidi ya maombi yake ya kibali...

READ MORE

Waliofariki Ajali Lori la Mafuta Moro Wafikia 102

IDADI ya watu waliofariki kutokana na ajali ya moto wa lori la mafuta mkoani Morogoro imefikia 102 baada ya majeruhi...

READ MORE

Hatima ya Ubunge wa Lissu Kujulikana Leo Kortini

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajiwa kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki,...

READ MORE

Serikali Yataja Sababu ya Ndege ya TZ Kuzuiliwa Sauz

MSEMAJI wa Serikali, Dk. Hassan Abbas amesema sababu ya kushikiliwa ndege ya Air Tanzania aina ya Airbus A200-300 ni kesi...

READ MORE

JPM Awaita Ikulu Watendaji Wote wa Kata Nchini

Rais Dkt John Pombe Magufuli ameitisha mkutano na Maafisa Watendaji wa Kata Tanzania Bara, unaotarajiwa kufanyika Ikulu, Dar es Salaam...

READ MORE

Bibi wa Miaka 114 Adai Kudhulumiwa Shamba – Video

BIBI kikongwe mwenye umri wa Miaka 114 ambaye ni mke wa Chifu Mareale, Veronica Mareale ameiangukia Serikali akiomba msaada ya...

READ MORE

Waziri Jafo aitaja NMB katika mafanikio serikalini

  Serikali imeitaja benki ya NMB kuwa miongoni mwa taasisi zilizofanikisha makusanyo ya fedha kwa mwaka 2018/19 kwa kuwa benki...

READ MORE

Mawakili 15 wa Serikali Wamkabili Lissu Mahakamani

MAWAKILI wa Serikali 15 wakiongozwa na Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Clement Mashamba wamewasilisha pingamizi katika Mahakama Kuu kupinga maombi...

READ MORE

Ndege ya Tanzania Yazuiliwa na Mahakama Afrika Kusini

NDEGE ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) iliyokuwa inatoka Afrika Kusini kwenda jijini Dar es Salaam, Tanzania, imezuiwa kuruka...

READ MORE

Waziri Jaffo Atangaza Kuanza kwa Uchaguzi Mdogo – Video

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jaffo,  ametangaza Novemba 24 mwaka huu...

READ MORE

Wakili Msando Amlipia JPM Deni la Mil 5 Muhimbili

DENI la shilingi milioni tano kati ya Shilingi 5,364, 814.2 ambalo Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliahidi kulipa ikiwa ni...

READ MORE

Mwanafunzi Darasa la 4 Ajinyonga Baada ya Kulazimishwa Kwenda Shule

MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Osanyui jijini Arusha, Eribariki Lekini (12) mkazi wa mtaa wa FFU...

READ MORE

Anayedai Kubuni Jina Tanzania Amwomba JPM Msaada

MTANZANIA anayedai alishikiri shindano la kubuni jina ‘Tanzania’ kwa ajili ya Jamhuri ya Muungano mwaka 1964, Jotham Chagwah, amemwandikia barua...

READ MORE

Global Yamkabidhi Kamanda Mambosasa Tuzo ya Heshima

KAMPUNI ya Global Publishers, juzi Jumatano ilimkabidhi Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, Tuzo ya Heshima...

READ MORE

JPM Akutana na Mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi

Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa...

READ MORE

Mwandishi Akamatwa Akidaiwa Kuchapisha Habari ya ‘Udhalilishaji’

MWANDISHI wa habari,  Joseph Gandye, ambaye ni Mhariri wa Uzalishaji Maudhui,  Msimamizi Msaidizi wa Watetezi TV amekamatwa na polisi akituhumiwa...

READ MORE

Familia Yapinga Mahakamani Wosia Wa Mengi, Mazito Yaibuka!

FAMILIA ya aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, Marehemu Dkt. Reginald Mengi imewasilisha pingamizi katika Mahakama Kuu, ikipinga...

READ MORE

NMB YAAHIDI KUENDELEA KUDHAMINI MASHINDANO YA GOFU

WACHEZAJI wa mchezo wa Gofu zaidi ya 100 wanatarajia kushiriki mashindano ya mchezo huo yanayotarajiwa kufanyika Septemba 7 na Septemba...

READ MORE

WANAHISA 400 WA MCB WAKUTANA MTWARA KWENYE MKUTANO

    WANAHISA zaidi ya 400 wa Mwalimu Commercial Bank Plc (MCB) wamekutana mjini Mtwara katika mkutano wa mwaka (AGM)...

READ MORE

Museveni, Kagame Wamaliza Tofauti Zao

MARAIS Yoweri Museveni wa Uganda na Paul Kagame wa Rwanda wamesaini makubaliano ya amani katika mji mkuu wa Angola, Luanda,...

READ MORE

Daktari Bingwa Aeleza Sababu Vifo vya Majeruhi wa Moro Kufikia 100

DAKTARI bingwa wa upasuaji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Laurian Rwanyuma amesema majeruhi wa ajali ya lori la...

READ MORE

Airtel yazindua huduma ya kutuma fedha nje ya nchi

  Kampuni ya simu za mkononi Airtel Tanzania imeendelea kuimarisha huduma zake za Airtel Money ambapo kwa sasa mteja anaweza...

READ MORE

Mwenge Watua Ikungi, DC Apongezwa

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Mhe Edward Mpogolo amepongezwa kwa namna ambavyo ameweza kusimamia miradi ya maendeleo ndani ya muda...

READ MORE

Arusha: Mbaroni kwa Tuhuma za Kumuua Mkewe

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia dereva wa kampuni ya utalii ya Mt Kilimanjaro Safari’s, Julius Kabora (45), kwa...

READ MORE

Waliofariki kwa Ajali ya Moro Wafikia 100

Majeruhi wa ajali ya lori kulipuka moto Morogoro waliofariki jana Agosti 20, 2019 ni; 1. Mazoya Sahani 2. Khasim Marjani...

READ MORE

Kibatala Ampiga Maswali Askari Aliyetoa Ushahidi wa Video Kesi Mbowe

SHAHIDI wa sita wa upande wa Jamuhuri katika kesi ya tuhuma za uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwemo Mwenyekiti...

READ MORE

Watano Wasakwa kwa Tuhuma za Kumteka Mo Dewji

Upande wa mashtaka katika kesi ya kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji ‘Mo’ umedai kuendelea na taratibu za kuwatafuta watuhumiwa watano...

READ MORE

JPM Atembelea Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametembelea na kukagua utendaji kazi wa Maabara ya Mkemia...

READ MORE

Binti Amuua Mwanaye, Ajinyonga

BINTI wa miaka 22, Ephrazia Maneno, mkazi wa Kijiji cha Nyaseke, Kata ya Bulela mjini Geita,  anadaiwa kumuua kwa kumnyonga...

READ MORE

Mke, Mume Jela kwa Kuwakeketa Watoto Wao

MAHAKAMA ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela, Thadei Parokwa (43) na mke wake Lowema...

READ MORE

Msanii Amuua Mwenzake kwa Kumchoma Kisu Kifuani Kisa Maiki – Video

MSANII achomwa kisu wakati wakigombea maiki na wenzake, taarifa zinaeleza kuwa kijana huyo aliyejulikana kwa jina la Yusuph mwenye umri...

READ MORE

Mkurugenzi Aliyerudishwa Kazini na JPM Aachiwa Huru – Video

VIGOGO watano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, James Mataragio wameachiwa huru leo...

READ MORE

Shinyanga: Mbaroni kwa Kukutwa na Dhahabu Bandia

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia watuhumiwa watatu kwa kukutwa na vipande 10 vya madini bandia aina ya dhahabu wakiwa...

READ MORE

Mwanafunzi Darasa la 3 Apigwa Mimba

NI maajabu! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwanafunzi wa darasa la tatu wa Shule ya Msingi Pangatena kupata ujauzito. Mwanafunzi...

READ MORE

Kilichoonekana Kwenye Video ya Ushahidi Kesi ya Mbowe

VIDEO ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe na wenzake, iliyoibua mvutano katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Kesi ya Mbowe, Wenzake: Ushahidi wa Video Kutolewa Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeridhia kuonyeshwa video inayodaiwa kubeba matukio yanayomhusisha Mwenyekiti wa Chama cha...

READ MORE