×

Kitaifa

Tembo Wavunja Nyumba 11, Waharibu Mali na Vyakula – Video

KUNDI la Tembo zaidi ya 10 wamevamia makazi ya watu na kuharibu nyumba, mali na vyakula vya aina mbalimbali katika...

READ MORE

Mtoto Aibwa Kimafia

MBEYA: INAUMA sana! Ni maneno ambayo mtu yeyote anayejua uchungu wa mtoto anaweza kuyatamka kutokana na mtoto Herieth Ismail mwenye...

READ MORE

Mahakama Yaamgomea Lissu, Yaridhia Mtaturu Aapishwe – Video

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeridhia Mbunge mteule wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Miraji Mtaturu kuapishwa...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi TEMDO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Fredrick Cassian Kahimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE

Mrithi wa Lissu Kuapishwa Kesho Bungeni

MKUTANO wa 16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utaanza kesho Jumanne Septemba 3, 2019, jijini Dodoma ambapo...

READ MORE

Hoja za Kibatala kwa Serikali Kesi ya Lissu Kuvuliwa Ubunge

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo Jumatatu, Septemba 2, 2019, inaendelea na usikilizaji wa maombi ya aliyekuwa mbunge...

READ MORE

Miili ya Waliofarikia kwa Ajali Kibiti Kupimwa DNA

NDUGU wa karibu wa watu waliofariki kwenye ajali ya gari iliyotokea wilayani Kibiti mkoani Pwani wametakiwa kujitokeza katika Hospitali ya...

READ MORE

MBUNGE SAME MAGHARIBI AJA NA STAILI MPYA YA KUTATUA KERO

    Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi Dkt. Mathayo David Mathayo ameendelea na ziara yake ya kutekeleza ilani ya...

READ MORE

Tanzia: Waziri wa Mwl. Nyerere Afariki Dunia

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa zamani katika serikali ya awamu ya kwanza ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyoongozwa...

READ MORE

Moto Wateketeza Ghala la Kiwanda, RPC Anena Mazito

MOTO mkubwa ambao chanzo chake hakijajulikana, umezuka na kuteketeza moja kati ya maghala matatu ya kuhifadhia pamba katika kiwanda cha...

READ MORE

Waliosababisha Ndege Kukamatwa Sauz Kushitakiwa – Video

MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Dkt. Hassan Abbas amesema watakaobainika walifanya hujuma dhidi ya  serikali  na kusababisha kuzuiwa kwa...

READ MORE

Makonda: Watendaji Kata Karibuni Dar, Hakuna Wezi – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo amewakaribisha jijini Dar es Salaam  watendaji wa kata zote nchini...

READ MORE

Breaking: Watano Wafariki Lori la Dangote Likiwaka Moto

WATU watano wamefariki baada ya lori la kampuni ya Dangote lililokuwa limebeba malighafi ya kutengenezea saruji likielekea Mtwara kugongana na...

READ MORE

Paka wa Ajabu Azua Tafrani Mjumbe

UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya firauni! Paka wa ajabu amezua taharuki si ya nchi hii nyumbani kwa mjumbe wa nyumba...

READ MORE

Watoto Mapacha Walioungana Watenganishwa, Warejea Nchini – Video

Hakika Mungu ni muweza… hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya watoto mapacha waliozaliwa wakiwa  wameungana na hatimaye kwenda kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Kabendera Apooza, Ashindwa Kupumua, Wakili Aiangukia Mahakama

UPANDE wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera, umeiomba mahakama kuliamuru Jeshi...

READ MORE

Makonda Azindua “PEKENYUA TUKUFUKUNYUE”

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo August 29 amezindua Mpango Mkakati wa Kutokomeza Wahamihaji haramu...

READ MORE

JP Apokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi Watano Ikulu – Video

Balozi mteule wa Zimbabwe nchini Tanzania, Meja Jenerali Anselem Nhamo Sanyatwe, amekabidhi hati za utambulisho kwa Rais Magufuli leo Agosti...

READ MORE

Shahidi Aanika Mazito Kesi ya Kina Aveva

SHAHIDI namba saba wa kesi inayowakabili waliokuwa viongozi wa Simba, Evans Aveva na wenzake, Frank Mkilanya(45) ameieleza mahakama jinsi nyasi...

READ MORE

Bibi Miaka 98 Ageuka Milionea Ndani ya Miezi 3

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ametoa miezi mitatu kwa wavamizi 110 waliovamia eneo la Ajuza...

READ MORE

TIC KANDA YA MASHARIKI YAENDELEA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI KUINUA SEKTA YA VIWANDA

MENEJA wa kanda ya Mashariki wa kituo cha uwekezaji Tanzania TIC Venance Mashiba , ameeleza wanajikita katika uwekezaji wa viwanda...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha 5 Awamu ya Pili

SERIKALI imewachagua wanafunzi 1,674 kujiunga kidato cha tano baada ya awamu ya kwanza kukosa fursa hiyo. Awali, serikali ilitangaza kuwa...

READ MORE

Dkt. Mathayo Ataka Same Magharibi Wamuunge Mkono JPM

MBUNGE  wa Jimbo la Same Magharibi  (CCM) Dkt. Mathayo David Mathayo, amewaomba wananchi wa  jimbo hilo kumuunga mkono na kumuombea...

READ MORE

Balozi wa Canada – Tanzania Ampongeza Diwani wa Kijichi

Diwani wa Kata ya Kijichi Bwana Elias Kassim Mtalawanje amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi wa Canada nchini Tanzania Bi.Pamela...

READ MORE

Breaking News: Wananchi Waandamana Dar Wakitaka Ndege – Video

UMATI wa watu umejitokeza leo Agosti 28, 2019, nje ya ofisi za Ubalozi wa Afrika Kusini jijini Dar, uliopo kwenye...

READ MORE

TRA Yaamua Magari Haya Wapewe Wananchi – Video

KILA Jumamosi, ndinga mpya za bei chee zinaanikwa! Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd iliyopewa...

READ MORE

Mashauri 14 Yafunguliwa, Yasikilizwa na Mahakama Inayotembea

    Jumla ya Mashauri 14 yamefunguliwa na kusikilizwa na Mahakama inayotembea ‘mobile court’ mkoani Mwanza.   Kwa mujibu wa...

READ MORE

Puma Yatoa Zawadi Kwa Wanafunzi wa Skuli Walioshinda Mashindano ya Uchoraji Visiwani Zanzibar

    NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amesema kuna kila sababu ya kuendelea kutolewa...

READ MORE

Mtuhumiwa Mauaji ya Naomi Aomba Simu Mahakamani Akatoe Pesa

HAMISI LUWONGO, mtuhumiwa anayedaiwa kumuua na kumchoma moto aliyekuwa mkewe, Naomi Marijani, amezua kioja kingine mahakamani baada ya kuiomba mahakama...

READ MORE

BASATA, COSOTA na Bodi ya Filamu Sasa Kuwa Chombo Kimoja

SERIKALI imekuja na mkakati wa kuundwa kwa mamlaka moja ya kusimamia sekta ya sanaa na ubunifu katika kuboresha na kuleta...

READ MORE

Makonda Aipongeza Muhimbili kwa Hili

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuendelea kusaidia wahitaji mara baada...

READ MORE

Lori la Mafuta Laanguka Kagera, Wanane Mbaroni Wakiiba Mafuta

WAKATI bado Watanzania wakiendelea kuomboleza vifo vya watu 102 kufuatia ajali ya moto wa ya lori la mafuta iliyotokea mjini...

READ MORE

Breaking: Tundu Lissu Ashinda Pingamizi

ALIYEKUWA Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, ameshinda pingamizi la Serikali ya Tanzania dhidi ya maombi yake ya kibali...

READ MORE

Waliofariki Ajali Lori la Mafuta Moro Wafikia 102

IDADI ya watu waliofariki kutokana na ajali ya moto wa lori la mafuta mkoani Morogoro imefikia 102 baada ya majeruhi...

READ MORE

Hatima ya Ubunge wa Lissu Kujulikana Leo Kortini

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajiwa kutoa uamuzi endapo maombi yaliyowasilishwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki,...

READ MORE

Serikali Yataja Sababu ya Ndege ya TZ Kuzuiliwa Sauz

MSEMAJI wa Serikali, Dk. Hassan Abbas amesema sababu ya kushikiliwa ndege ya Air Tanzania aina ya Airbus A200-300 ni kesi...

READ MORE

JPM Awaita Ikulu Watendaji Wote wa Kata Nchini

Rais Dkt John Pombe Magufuli ameitisha mkutano na Maafisa Watendaji wa Kata Tanzania Bara, unaotarajiwa kufanyika Ikulu, Dar es Salaam...

READ MORE

Bibi wa Miaka 114 Adai Kudhulumiwa Shamba – Video

BIBI kikongwe mwenye umri wa Miaka 114 ambaye ni mke wa Chifu Mareale, Veronica Mareale ameiangukia Serikali akiomba msaada ya...

READ MORE

Waziri Jafo aitaja NMB katika mafanikio serikalini

  Serikali imeitaja benki ya NMB kuwa miongoni mwa taasisi zilizofanikisha makusanyo ya fedha kwa mwaka 2018/19 kwa kuwa benki...

READ MORE