×

Kitaifa

Historia Fupi ya Marehemu Vaileth Bukumbi, Dada wa Shigongo

  MWILI wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi, unaagwa leo...

READ MORE

Ibada Kumuaga Dada wa Shigongo Yafanyika Bupandwamhela (Pichaz)

IBADA ya kuuaga mwili wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi,...

READ MORE

VILIO! Mwili wa Dada wa Shigongo Wawasili Bupandwamhela – (Pichaz + Video)

MWILI wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi, umewasili leo Alhamisi,...

READ MORE

MPINA AZITAKA TAASISI ZA UTAFITI KUONGEZA JUHUDI

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, amezitaka taasisi za utafiti wa mifugo nchini kuhakikisha zinafanya tafiti zaidi nchini  kwa...

READ MORE

Wakutwa Mlimani Wakitaka Kumtoa Kafara Mtoto

JESHI  la Polisi Mkoani Ruvuma linawashikilia watuhumiwa wanane wakiwemo wanne wa kutoka mkoani Njombe wakitaka kumtoa mtoto mdogo kafara katika...

READ MORE

Watumishi 7 NIDA Wanaswa na Vitambulisho 15,000, BVR na Vifaa Kibao

WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), wanashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, kwa tuhuma za...

READ MORE

Lori Lagonga Treni Dodoma, 29 Wajeruhiwa

Watu 29 wamejeruhiwa baada ya lori kugonga treni jijini Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Protas Katambi, amesema leo asubuhi...

READ MORE

Inasikitisha! Mtoto Miaka 16 Alivyobobea Kwenye Ukahaba – Video

Ni kisa cha kusisimua cha Binti (Jina linahifadhiwa) mwenye umri wa miaka 16, ambaye amemaliza darasa la saba na kushindwa...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Afariki Dunia Kwa Kuchomwa Visu

MWANAFUNZI wa Stashahada ya Maabara katika Chuo Kikuu cha Kampala, Tawi la Tanzania (KIU), Anifa Mgaya, amefariki dunia juzi Jumapili...

READ MORE

JPM Amtumbua Mwenyekiti REA, Ateua Mwingine

Rais John Magufuli amemteua Wakili Julius Kalolo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), akichukua...

READ MORE

Mtoto Miaka 15 Aliyehukumiwa Kuuawa

AKIWA na umri wa miaka 15, Magai Matiop Ngong hakuwa na msaada wowote wa kisheria wakati wa mashtaka yake kabla...

READ MORE

#BREAKING! MTANDAO wa Madawa ya Kulevya WANASWA – Video

JESHI  la polisi nchini,  kupitia kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya,  linawashikilia watu saba ambao wanadaiwa wapo...

READ MORE

Wafanyabiashara wahakikishiwa usalama katika Biashara zao

    MKUU wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza Jumanne Murilo amewahakikisha usalama wa pesa na mali zao.Akizungumza na wafanyabiashara...

READ MORE

Wema Sepetu Aswekwa Ndani Hadi Juni 24

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemwamuru msanii wa filamu nchini na Miss Tanzania wa mwaka 2006,...

READ MORE

Trafiki Kuwachapa Bakora Madereva Bodaboda, Waziri Abanwa – Video

Mbunge wa Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe amesema kuwa bado kuna baadhi ya askari wa barabarani wamekuwa wakiwakimbiza waendesha boda boda...

READ MORE

Kenya: Mwamamke Ashukiwa Kuwa na Ebola, Awekwa Chumba Maalum

Taarifa kutoka Ofisi ya Gavana Jimbo la Kericho nchini Kenya imesema imemweka mwanamke mmoja aliyeonesha dalili za ugonjwa wa ugonjwa...

READ MORE

Kigwangalla: Fedha za Mlima Kilimanjaro Kutokomeza UKIMWI

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk. Khamis Kigwangala amesema anatarajia kuandaa utaratibu wa makundi ya watu mbalimbali wakiwamo viongozi mashuhuri...

READ MORE

Ripoti Kifo cha Kabote, Wafungwa Kutoroka Zatua kwa Lugola

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amepokea ripoti mbili za uchunguzi ikiwemo ya kifo chenye utata cha...

READ MORE

Majaliwa Ampa Pole Abbas Tarimba kwa Msiba wa Wanaye

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimpa pole, Mkurugenzi wa Uendeshaji Sport Pesa Tanzania, Tarimba Abbas, kwa kufiwa na watoto wake wawili,...

READ MORE

NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 33

Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha kiasi kilichopendekezwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM), uliofanyika leo jijini Dar es...

READ MORE

Shahidi aomba maji mahakamani kesi ya Aveva

SHAHIDI namba tano, Jovin Kalinga ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar kuwa, alikuwa anafahamiana na kiongozi wa zamani...

READ MORE

M-BET kuwapeleka mashabiki wa soka Afcon

Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-BET itapeleka mashabiki wa soka katika fainali ya Mataifa ya Afrika (Afcon) yaliyopangwa kuanza...

READ MORE

JESHI LA MAGAREZA LAISHUKURU NMB KWA USHIRIKIANO KIMICHEZO

  JESHI la Magereza limekabidhi cheti maalum cha kuishukuru Benki ya NMB kwa msaada wa fulana ambao iliutoa kwa wanamichezo...

READ MORE

JPM: Tshisekedi Naomba Ukashughulikie Shida za Watu wa DRC – Video

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Antoine Tshisekedi,   amemaliza ziara ya kitaifa ya siku mbili nchini akiwa...

READ MORE

Mawakala wa Tigo Pesa wajishindia mamilioni

  Zaidi ya mawakala 2,000 wa huduma ya Tigo Pesa, wamejishindia zawadi za fedha taslimu zaidi ya shilingi milioni 160...

READ MORE

JPM Amkaribisha Rais Tshisekedi wa DRC, Ikulu – Dar (Video)

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Antoine Tshisekedi amewasili hapa nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku...

READ MORE

Kodi ya Mawigi, Soseji na Tomato Sosi Kupanda Juu – Video

SERIKALI  imependekeza kupandisha kwa ushuru wa asilimia 10 kwa bidhaa za nywele bandia zinazozalishwa nchini na asilimia 25 kwa bidhaa...

READ MORE

JPM Awajaza Mamilioni Wabunifu wa Mtambo wa Kufua Umeme – Video

Rais John Magufuli ameliijia juu Shirika la umeme nchini (Tanesco) kwa kushindwa kuwaunga mkono wabunifu waliobuni mtambo mdogo wa kufua...

READ MORE

Darasa la 7 Waliozindua Mitambo ya Kufua Umeme Wamkosha JPM – Video

Rais wa Tanzania, John Magufulia amesema wakati akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi aliwahi kumuweka Meneja wa Wakala wa Ufundi...

READ MORE

NMB yatoa misaada S/M Liwiti, Kituo cha Afya Gairo

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali kuboresha Sekta za Elimu na Afya, Benki ya NMB imekabidhi mabati 180 kwa Shule...

READ MORE

KCB TANZANIA KUTOA RUZUKU YA TSHS 85 MILIONI KWA WAKINA MAMA WAJASIRIAMALI

Benki ya KCB Tanzania leo imezindua awamu ya pili ya programu yake ya 2jiajiri katika warsha iliyofanyika katika makao makuu...

READ MORE

Kakunda Akabidhi Ofisi kwa Bashungwa

Wizara ya Viwanda na Biashara imesema kuwa kamwe haiwezi kushindwa katika utendaji kazi huku ikitoa mambo muhimu kwa watumishi wake...

READ MORE

Ebola Yaua Uganda, Shughuli za Zasitishwa, Tanzania Yatoa Tamko

Serikali ya Uganda imewataka raia wake katika mpaka na DR Congo kusitisha shughuli zote za kijamii zikiwamo masoko, sherehe, mazishi...

READ MORE

Kortini kwa Kumshika Nyeti Mtoto wa Miaka Mitatu

MKAZI wa Mbezi, Vicent Marseli (37), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam, akikabiliwa na shtaka...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Viongozi TTCL, Airtel

RAIS  John Magufuli amemteua Mohammed Abdallah Mtonga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).   Mtonga anachukua...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi TTCL na Airtel

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Mohammed Abdallah Mtonga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).  ...

READ MORE

Tigo yaunganisha wateja wa Sumbawanga na mtandao wa 4G          

  Kampuni ya Tigo  imezindua mtandao wenye kasi  wa 4G mjini Sumbawanga, utakaowawezesha wateja wake kupata huduma bora ya intanet,...

READ MORE