×

Kitaifa

Mbunge Mbaroni kwa Kumpiga Afisa Mtendaji

Mbunge wa Tunduma (CHADEMA), Frank Mwakajoka amekamatwa na polisi ikielezwa kuwa atafikishwa mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za kumpiga mtu...

READ MORE

Wanafunzi Walioongoza Kidato cha Sita, Matokeo Haya Hapa

    P0101 AZANIA CENTRE P0104 BWIRU BOYS’ CENTRE P0110 ILBORU CENTRE P0112 IYUNGA CENTRE P0116 KANTALAMBA CENTRE P0119 KIBAHA...

READ MORE

Maandalizi ya SADC: Makonda Atangaza Dau kwa Waendesha Mitandao

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo Julai 11 ametangaza Shindano litakakalohusisha Watu wote wanaoendesha Platform za...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Ashinda Kura za Maoni Kumrithi Lissu

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Singida Mashariki, wamepiga kura kupata mwana CCM mmoja ambaye atapeperusha bendera ya...

READ MORE

‘Majambazi’ 7 Yanaswa Dar, Pia Bastola na Risasi 9 – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam liimefanikiwa kukamata bastola aina ya FATIN 13- TURKEY yenye namba T.0622010J00535...

READ MORE

Mtumishi Tume ya Madini Anaswa kwa Wizi wa Dhahabu – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linamshikilia Dornald Joseph Njonjo (30) Meneja wa Maabara wa Tume ya...

READ MORE

Usalama Feki Aliyedaiwa Kumtapeli DC Jokate Yamkuta Takukuru

TAASISI ya ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini imemkamata Omari Chuma (55) anayedaiwa kumtapeli Mkuu wa Wilaya ya...

READ MORE

Shahidi wa Serikali Akana; “Sijui Chochote Kuhusu Kesi ya Kitilya”

KAIMU Kamishna wa Sera wa Wizara ya Fedha, Mgonya Benedict (52), amedai hajui lolote kuhusu kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili...

READ MORE

PICHA: JPM Amsimamisha Dereva Dalaladala na Kuwasalimia Abiria – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasalimu Abiria wa daladala iliyokuwa ikitoka Bukoba Mjini kuelekea...

READ MORE

Diamond Alamba Shavu Jingine WASAFI FESTIVAL – Video

MSANII  wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’, amesema haamini kuwa uhaba wa kondomu za kike ni...

READ MORE

JPM Ashuka Ghafla Barabarani, Amuita Dereva Daladala! – Video

RAIS  Dkt.  John Magufuli, amewataka madereva wanaoendesha vyombo vya usafiri wa abiria kuzingatia sheria na taratibu za usalama barabarani wakati...

READ MORE

Usalama wa Taifa Feki Anaswa Akitaka Kumtapeli DC Jokate Megelo

Ndugu Waandishi wa Habari, Awali ya yote kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

READ MORE

Tanzia: Global Yapata Pigo, Mwandishi wa Championi na Spoti Xtra Afariki Dunia

KWA masikitiko makubwa, uongozi wa Global Publishers, unatangaza kifo cha mwandishi wake wa aliyekuwa akiandikia Magazeti ya Michezo ya Championi...

READ MORE

13 Wajitosa Kumrithi Tundu Lissu Singida

WANACHAMA 13 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha...

READ MORE

Ofisa Utumishi Tanesco Akutwa Gesti Akiomba Rushwa ya Ngono

TAASISI ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mtwara inamshikilia ofisa utumishi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Jumanne...

READ MORE

MSAIDIZI WA MEMBE ALIYEDAIWA KUTEKWA APATIKANA

MSAIDIZI wa aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Bernard Membe, Allan Kiluvya amepatikana akiwa hai baada ya...

READ MORE

Serikali Kujenga Chato Stadium ya Ukweli – Video

SERIKALI imesema imedhamiria kujenga uwanja mkubwa wa mpira wa miguu wilayani Chato, mkoani Geita ambako ni nyumbani kwa Rais John...

READ MORE

JPM Azindua Hifadhi ya Taifa Burigi, Ampongeza Faru Rajabu – Video

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amempongeza faru Rajabu, ambaye ni mtoto wa Faru John,...

READ MORE

NMB Yakabidhi Gawio la Shilingi Bilioni 10.48 kwa Serikali

      Benki ya NMB jana ilikabidhi gawio la shilingi Bilioni 10.48 kwa Serikali ikiwa ni sehemu ya faida...

READ MORE

Familia ya Msaidizi wa Membe Yamwangukia JPM

FAMILIA ya msaidizi wa Bernard Membe, Allan Kiluvya,  anayedaiwa kutekwa usiku wa kuamkia Julai 7, imeomba msaada baada ya kufanya...

READ MORE

Makamba, Kigwangalla Waombana Msamaha; ‘Leo Upo Kesho Haupo!’

WAZIRI  wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla, amemuomba msamaha Waziri wa Mazingira, Januari Makamba, baada ya mvutano waliokuwa nao katika...

READ MORE

JPM Awalilia Wafanyakazi 5 wa Azam TV Waliofariki Wakielekea Chato

RAIS  John Magufuli amemtumia salamu za pole Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa, Said Salim Bakhresa kufuatia vifo vya wafanyakazi watano...

READ MORE

Saba Wafariki Wakienda Chato, Watano Wafanyakazi wa Azam TV

WATU saba wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya Azam Media wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa...

READ MORE

NMB YAAHIDI KUENDELEA KUCHANGIA JAMII KATIKA SEKTA YA ELIMU NA AFYA 

      SERIKALI Imeishukuru Benki ya NMB kuendelea kusaidia katika Sekta ya Elimu kwa kuchangia madawati baadhi ya Shule...

READ MORE

DCB YAJIKITA KWENYE VIWANDA NA KILIMO, YAJA NA DCBSOKONI

Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya DCB, James Ngaluko, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha kukoboa mpunga cha Kayuni...

READ MORE

KAMPUNI YA UUZAJI MAGARI KWA NJIA YA MTANDAO YAYATUA BONGO

  KAMPUNI ya uagizaji, usafirishaji na uuzaji magari  ya nchini Japan  ‘Nikkyo’ imeingia na  kuwekeza katika biashara hiyo nchini huku...

READ MORE

NMB Yajipanga kuhakikisha wafanyabiashara ngazi zote Wanakuza Mitaji Yao

      Benki ya NMB imejipanga kuhakikisha wafanyabiashara wa ngazi zote wanakuza mitaji yao, itakayowawezesha kuajiri Watanzania wengi na...

READ MORE

MRADI WA TLED KUWAFIKIA WAJASIRIAMALI KWA ASILIMIA 77 KATIKA MIKOA SITA

      OFISA Mawasiliano wa Mradi wa TLED ambao ni maalumu kwa ajili ya wajasiriamali wadogo na wakati Jemima...

READ MORE

Msaidizi wa Membe Adaiwa Kutekwa

KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Allan Kiluvya ambaye anatajwa kuwa ni msaidizi wa Waziri mstaafu wa Mambo ya Nje...

READ MORE

MAANDALIZI UJIO WAKE, MSHTUKO NYUMBANI KWA LISSU DAR

NI mshtuko wa aina yake! Wakati Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu akisubiriwa arejee nchini; nyumbani kwake Tegeta jijini...

READ MORE

Makochi ya Mbowe Yakosa Wateja

ULE mnada wa kuuza vifaa na samani mbalimbali vya Kampuni ya Mbowe Limited, inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia...

READ MORE

Gumzo la Faru Rajab Mtoto wa Faru John, Lazima Ucheke!

NINAAMINI utakuwa unamkumbuka Faru John, mnyamapori aliyekufa katika hifadhi ya Sasakwa Gruneti kwa kukosa matibabu alipoumwa.   Faru huyo aliacha mtoto...

READ MORE

Rais Kenyatta Amaliza Ziara Yake Chato, Arejea Kenya – Video

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ammaliza ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania na kurejea nchini mwake. Katika ziara yake...

READ MORE

NABII DKT. LUCY NATASHA AKONGA MAMIA WALIOJITOKEZA MKUTANO WA INJILI

NABII wa Kimataifa kutoka nchini Kenya, Dkt. Lucy Natasha amekonga mamia ya watu waliojitokeza katika  mkutano wa nje uliokuwa wa...

READ MORE

NEC Yatangaza Tarehe ya Uchaguzi Jimbo la Lissu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza  tarehe 31 Julai, 2019, kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mdogo Jimbo la Singida...

READ MORE

NMB WASISITIZA MTOTO AKAUNTI NA CHIPUKIZI AKAUNTI SABASABA

  BENKI ya NMB imewashauri wazazi na walezi kuwafungulia watoto wao akaunti za watoto pamoja na Chipukizi akaunti kwa ajili ya...

READ MORE

Mwalimu Ajichinja Ili Afe Kisa Ugumu wa Maisha

MWALIMU wa Shule ya Msingi Rung’abure iliyopo Serengeti mkoani Mara, Godfrey Tarimo,  amejikata na chupa eneo lake la shingo katika...

READ MORE

Tanzania Mwenyeji Mkutano Wa Shirika la Hakimiliki Duniani

Mratibu wa Mradi wa Uhamasishaji na Utoaji Elimu ya Haki Miliki ambaye pia ni Hakimu Mkazi na Msaidizi wa Msajili...

READ MORE

Mshtuko mali za Mbowe Kupigwa Mnada

TANGAZO la kupigwa mnada kwa mali za Kampuni ya Mbowe Limited inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, limeibua mshtuko...

READ MORE

Mke Asimulia Unyama wa Mumewe Alivyomlipua na Mtoto kwa Petroli

MKAZI wa Kijiji cha Mlazo, wilaya ya Chamwino, Mkami Mbarahi (19) na mwanaye wenye umri wa miezi mitatu wamelazwa katika...

READ MORE