×

Kitaifa

Mchungaji Afunga Kanisa kwa Tuhuma za Kumbaka Mke wa Msanii

NIGERIA: Mchungaji wa kanisa la Commonwealth Of Zion Assembly, Biodun Fatoyinbo amesitisha kuendesha shughuli za kiroho katika kanisa lake, kufuatia...

READ MORE

Zitto Aanika Mfanyabiashara wa Kenya ‘Alivyotekwa’ Tanzania – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT- Wazalendo), Zitto Kabwe ameitaka Serikali ya Tanzania kuangalia kwa uzito suala la kutekwa kwa raia...

READ MORE

Mauaji ya Watanzania 10…. Sirro Akutana na IGP Msumbiji

Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amekutana na kufanya mazungumzo ya kina na Mkuu wa Jeshi la...

READ MORE

Mafaili ya Wagonjwa Yanaswa kwa Daktari Feki

HOFU imetanda katika Jiji la Mbeya na vitongoji vyake baada ya Jeshi la Polisi mkoani hapa kumkamata Abdallah Shaibu Shija...

READ MORE

Simanzi! Wanne wa Familia Moja Wafariki!

SIMANZI nzito imetanda kila kona baada ya watu wanne wa familia moja kupoteza maisha ghafla wakiwa ndani ya nyumba yao,...

READ MORE

Amuua Mdogo Wake, Kisa Anaitwa Sana Jikoni

JESHI la Polisi mkoani Mara linamsaka Mniko Chacha (20) mkazi wa Kijiji cha Kitagutiti Kata ya Mbogi Wilaya Tarime mkoani...

READ MORE

‘Shule ya Nape’ Yateketea kwa Moto Usiku

MABWENI ya Shule ya Sekondari Mtama, mkoani Lindi,  yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo ambapo  taarifa za awali zinasema...

READ MORE

BREAKING: BoT Yakabidhiwa Madini Yaliyokamatwa Yakitoroshwa – Video

Benki kuu ya Tanzania (BOT), leo Juni 29, imekabidhiwa madini, fedha na vito mbalimbali viliyotaifishwa na serikali vilipokuwa vinatoroshwa nje...

READ MORE

Watanzania 9 Wauawa Mpakani na Msumbiji, Sirro Atoa Tamko – Video

RAIA tisa wa Tanzania  na raia wawili wa Msumbiji wameuawa na watu wasiojulikana huku Watanzania wengine sita wakijeruhiwa vibaya katika...

READ MORE

Lissu: Hakuna Mwenye Mamlaka ya Kunivua Utanganyika

BAADA ya Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai,  kusema Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, amepoteza sifa za...

READ MORE

CCM Yafanya Maamuzi Haya

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo...

READ MORE

Bashe Awaka Baada ya Kutajwa Kutimkia ACT Wazalendo

MBUNGE wa Nzega Mjini (CCM) Hussein Bashe ameonesha kutofurahishwa, baada ya yeye, Januari Makamba pamoja na Mbunge wa Mtama Nape...

READ MORE

Kisa ‘Kumpongeza’ JPM…. Nape, ACT Wazalendo, ‘Wamkana’ Zitto

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amedaiwa kusema kuwa licha ya yeye kuwa mpinzani lakini...

READ MORE

Zitto: Bunge Liibane Serikali Kuhusu Mikopo – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, amesema kuna umuhimu wa Bunge kuipangia serikali ya kiasi cha fedha inachotakiwa kukopa...

READ MORE

M-pawa kuongeza faida mara mbili wateja wake kwa kuwazawadia washindi wa droo ya 3

CBA na Vodacom wametangaza leo washindi wa droo ya 3, kwa ajili ya promosheni yao ya kuadhimisha miaka 5 ya...

READ MORE

Dk. Shein Aongoza hitma ya Kumuombea Dk. Badriya

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj, Dk. Ali Mohamed Shein ameongoza hitma ya kumuombea Dk. Badriya...

READ MORE

Basi Laingia Dukani Kahama, Abiria Saba Wanusurika

ABIRIA saba wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamenusurika kifo baada lori la mizigo aina ya Fuso lenye namba  za usajili T...

READ MORE

Wazee wa ‘Nitumie kwa Namba Hii’ Wanaswa Dodoma

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limefanikiwa kuwakamata watu kumi wanaojihusisha  na usajili laini za simu kwa kutumia vitambulisho vya...

READ MORE

Ngo’mbe Anavyochinjwa, Kuchunwa Hadi Kutolewa Utumbo! – Video

Wengi wetu tunaishiaga kuona nyama ya Ngo’mbe ikiwa Buchani tunanunua na kwenda kupika majumbani, lakini hatujui mnyama huyu anaandaliwaje mpaka...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AZINDUA GHALA NA MITAMBO YA GESI KIGAMBONI, VIJIBWENI, DAR – Video

       RAIS John Magufuli amemruhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kwenda nchini Misri...

READ MORE

Watumishi Wawili TARURA Wafariki Ajalini Songwe

WATUMISHI wawili wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tanzania Rural and Urban Road Agency – TARURA) wamefariki dunia...

READ MORE

Rostam Afunguka Kilichomrudisha Nchini, Amtaja Magufuli- Video

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Ltd. mfanyabiashara Rostam Aziz, amemshukuru Rais John Magufuli kwa...

READ MORE

Bajeti Kuu ya Serikali Kupigiwa Kura Leo

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muunganom wa Tanzania, leo wanatarajiwa kupiga kura kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya 2019/20...

READ MORE

GGM, TACAIDS Waanzisha Vituo vya Huduma za VVU na Ukimwi

TUME ya Kudhibiti Ukimwi nchini kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM) imefanikiwa kuanzisha vituo vinne vya utoaji...

READ MORE

Watanzania washauriwa kuwekeza katika masoko ya fedha

  WATANZANIA wameshuariwa kuwekeza katika masoko ya fedha ili kunufaika na fursa zinazopatikana katika masoko hayo ambayo hayahitaji mtaji mkubwa...

READ MORE

HESLB: Maombi ya Mikopo Elimu ya Juu Kuanza Julai Mosi

Tunapenda kuwafahamisha waombaji mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2019/2020 kuwa dirisha la kuomba mkopo kwa njia...

READ MORE

Waziri Mkuu akabidhi kombe  timu ya Mpira wa Kikapu ya  NMB

      WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesifu juhudi za Benki ya NMB kwenye kuunganisha jamii kupitia huduma bora za...

READ MORE

MAZIKO YA VAILETH — DADA WA SHIGONGO — YALIVYOKUWA BUPANDWAMHELA

MWILI wa marehemu Vaileth James Bukumbi, dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, hatimaye umelazwa katika...

READ MORE

Msiba wa Vaileth Bukumbi…. DC Magu “Taifa Limepoteza Mpambanaji

MWILI wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi, umeagwa na kuzikwa...

READ MORE

Historia Fupi ya Marehemu Vaileth Bukumbi, Dada wa Shigongo

  MWILI wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi, unaagwa leo...

READ MORE

Ibada Kumuaga Dada wa Shigongo Yafanyika Bupandwamhela (Pichaz)

IBADA ya kuuaga mwili wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi,...

READ MORE

VILIO! Mwili wa Dada wa Shigongo Wawasili Bupandwamhela – (Pichaz + Video)

MWILI wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi, umewasili leo Alhamisi,...

READ MORE

MPINA AZITAKA TAASISI ZA UTAFITI KUONGEZA JUHUDI

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, amezitaka taasisi za utafiti wa mifugo nchini kuhakikisha zinafanya tafiti zaidi nchini  kwa...

READ MORE

Wakutwa Mlimani Wakitaka Kumtoa Kafara Mtoto

JESHI  la Polisi Mkoani Ruvuma linawashikilia watuhumiwa wanane wakiwemo wanne wa kutoka mkoani Njombe wakitaka kumtoa mtoto mdogo kafara katika...

READ MORE

Watumishi 7 NIDA Wanaswa na Vitambulisho 15,000, BVR na Vifaa Kibao

WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), wanashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, kwa tuhuma za...

READ MORE

Lori Lagonga Treni Dodoma, 29 Wajeruhiwa

Watu 29 wamejeruhiwa baada ya lori kugonga treni jijini Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Protas Katambi, amesema leo asubuhi...

READ MORE

Inasikitisha! Mtoto Miaka 16 Alivyobobea Kwenye Ukahaba – Video

Ni kisa cha kusisimua cha Binti (Jina linahifadhiwa) mwenye umri wa miaka 16, ambaye amemaliza darasa la saba na kushindwa...

READ MORE