×

Kitaifa

Airtel Yatoa Msaada wa Kompyuta 30 kwa Chuo Cha Taifa cha Utalii

Meneja wa huduma za jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (Kulia) akizungumza na vyombo vya habari wakati wa hafla ya makabidhiano...

READ MORE

Vurugu Tena Bungeni, Ni Kuhusu Wanafunzi 7000 wa UDOM Waliotimuliwa

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kujali itikadi ya vyama vyao, leo wametoka nje ya ukumbi...

READ MORE

Nyongeza ya Majina Kidato cha 6 Walioteuliwa Kujiunga JKT

NYONGEZA YA MAJINA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA 2016. VIJANA WAFUATAO WAMEONGEZWA KUHUDHURIA MAFUNZO YA JKT KATIKA MAKAMBI MBALIMBALI KAMA...

READ MORE

TANCDA Yapima Afya za Wabunge Dodoma

Mbunge wa Viti Maalum, Bupe Mwakang’ata (CCM) Mkoa wa Rukwa, akipimwa mapigo ya moyo wakati wa programu maalumu ya wabunge...

READ MORE

Sirro Atinga Mtaani Kutoa Elimu ya Ulinzi na Usalama

   Kamishna wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro akizungumza na wanachi wa maeneo ya Manzese, wakati...

READ MORE

Symbion Kuiburuza Tanesco Kortini

Licha ya Rais John Magufuli kuisisitiza TANESCO kuepukana na mikataba ya “ajabu ajabu” na kulitia Taifa na shirika hasara, bado...

READ MORE

Uvuvi Haramu… Bwawa la Nyumba ya Mungu Lafungwa

Wavuvi katika Bwawa la Numba ya Mungu. Mwanga: Serikali imesitisha kwa mwaka mmoja shughuli za uvuvi katika Bwawa la Nyumba...

READ MORE

Harambee ya Mwanafunzi Aliyepoteza Uono Akiwa Chuo Kufanyika leo

Bernadetha Msigwa. Dar es Salaam: Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Mzumbe leo itafanya harambee chuoni hapo ya kumchangia mwanafunzi Bernadetha...

READ MORE

Mwili wa Makongoro Wawasili Kijijini Marasibora Tarime, Kuzikwa leo

Mama wa marehemu, Makongoro Oging’, Bi. Magreth Oging’ akilia kwa uchungu mara baada ya mwili wa mwanaye kuwasili nyumbani.Jeneza lenye...

READ MORE

Kumbe House girl Alitoweka Mchana, Dada’ke Msuya Akauawa Usiku

Marehemu Aneth Msuya. Siku moja baada ya kifo cha dada wa bilionea Erasto Msuya, Aneth imebainika kuwa msaidizi wa ndani...

READ MORE

Mchakato wa Ada Elekezi Kwa Shule Binafsi Wafutwa

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako SERIKALI imefuta mchakato wa kutangaza ada elekezi tangu katikati ya...

READ MORE

Pichaz: Noah Yapata Ajali na Kuuwa Watu Rombo

Gari hilo likiwa limeharibika vibaya baada ya kupata ajali. WATU wapatao sita wanasadikiwa kuwa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukutwa Wakiiba Mamilioni Kwenye ATM

Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukamatwa wakiwa wanatoa fedha benki ya NMB tawi...

READ MORE

Barabara za kuingia Stendi za Simu 2000, Makumbusho zalalamikiwa

BARABARA za kuingia stendi za mabasi ya daladala Simu 2000 na Makumbusho jijini Dar es Salaam zinalalamikiwa kwa kuwa na...

READ MORE

Aliyesota Muhimbili Kisa Laki 2… Achangiwa Sh. 800,000

Na Imelda Mtema, UWAZI DAR ES SALAAM: Katika toleo lililopita la gazeti hili liliandika habari ya kijana Noel Lazaro (26),...

READ MORE

Mshindi pikipiki; tuchezeni Bahati Nasibu ushindi njenje!

        Evans William aliyeshinda pikipiki. Shinda Nyumba Droo Ndogo… Mshindi pikipiki; tuchezeni Bahati Nasibu ushindi njenje! MSHINDI wa zawadi ya...

READ MORE

Lowassa Akutana na Balozi wa Japani Hapa Nchini

May 27 2016, aliyekuwa mgombea Urais mwaka jana kwa tiketi ya Chadema na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amekutana na...

READ MORE

Mwanza: Kijana Ajirusha Kutoka Kwenye Mnara wa Simu

Kijana Mmoja (picha) Jijini Mwanza amenusurika kifo baada ya kujirusha kutoka katikati ya mnara wa simu. Tukio hilo limetokea hii...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akagua Mradi wa Mabasi ya DART Leo

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akizungumza na mwanafunzi Amina Abdallah wa darasa la sita...

READ MORE

Magazeti ya Leo Ijumaa Mei 27, 2016

    

READ MORE

Inasikitisha: Dada wa Bilionea Msuya Auawa Kinyama Dar

Marehemu Aneth Msuya Mtumishi wa Wizara ya Fedha, Aneth Msuya (30) ambaye ni mdogo wa Bilionea Erasto Msuya aliyeuawa kwa...

READ MORE

Wakandarasi 4572 Wafutiwa Leseni Zao

Bodi ya Usajili wa Makandarasi imefuta usajili wa jumla ya makandarasi 4572 kwa kushindwa kutimiza matakwa ya Sheria ya Usajili...

READ MORE

JPM Afungua ZMkutano wa Bodi ya Wakandarasi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka wakandarasi kote nchini kufanya kazi kwa kutanguliza maslai...

READ MORE

Siri 5 Mauaji Msikitini!

Na Waandishi Wetu, UWAZI MWANZA: Usiku wa kuamkia Mei 19, mwaka huu ni wa kukumbukwa kwa wakazi wa Ibanda Relini...

READ MORE

Wanaogoma kuuza ‘kinga’ kukiona!

Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Abdul Shaweji STEPHANO MANGO, Amani Ruvuma: Wafanya-biashara wa Famasi na bidhaa za kawaida...

READ MORE

Makongoro Oging’ kuagwa leo Dar

Mwandishi Makongoro Oging enzi za uhai wake. ELVAN STAMBULI, Amani MWILI wa mwandishi mahiri wa habari za uchunguzi, Makongoro Oging...

READ MORE

Airtel Money Yawezesha Kubeti na Kulipa Kwa Airtel Money

    Meneja wa Airtel Money, Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea wakati wa kuzindua ushirikiano kati ya kampuni ya Airtel na M-bet...

READ MORE

Mtoto wa Kabwe Agoma Kushikana Mkono na RC Makonda

Anna Kabwe, binti wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amegoma kumpa mkondo Paul Makonda, Mkuu...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana na Watanzania Waishio Zambia

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watanzania waishio Zambia kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Lusaka Mei 24, 2016. Majaliwa alikwenda...

READ MORE

Waarabu wamteka Baby Madaha

Hans Mloli, Dar ess Salaam BAADA ya kuripotiwa kuwa mwanamuziki, Baby Madaha ‘amezama’ kimapenzi kwa mchumba wake aliyekuwa akiishi naye...

READ MORE

Shinda Nyumba Droo Ndogo: Mshindi wa Pikipiki Akabidhiwa

Mshindi wa Pikipiki aina ya Skymark, Evans William akiwa na zawadi yake mara baada ya kukabidhiwa.Mwandishi wa Gazeti la Championi,...

READ MORE

Mwanza: 14 Mbaroni Kwa Mauaji ya Waumini Msikitini

Jeshi la Polisi Nchini linawashikilia watuhumiwa 14 kufuatia tukio la mauaji ya watu watatu lililotokea katika msikiti wa Rahman eneo...

READ MORE

Usidanganyike, ni Kweli Inatolewa

ASUBUHI ya Julai 9, 2003 kijana mwenye umri wa miaka 36, Teddy LeBarge kutoka Snellville, nchini Marekani, hakuamini masikio na...

READ MORE

Umeipata Hii ya Mil 392 Zimejenga Barabara Hewa Dar?

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh 392 milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa...

READ MORE

Shinda Nyumba Droo Ndogo… Washindi Kukabidhiwa Zawadi zao Leo

MARA baada ya kufanyika kwa droo ndogo ya mwisho ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Global Publishers, wiki...

READ MORE

Haya Mabasi ya Mwendo Kasi, Acha tu

Wiki mbili hizi jambo jipya limezuka katika Jiji la Dar es Salaam, jiji ambalo mambo mapya huzuka kila kukicha. Kumekuja...

READ MORE

Mamia Wauaga Mwili wa Kabwe  Dar

       Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais...

READ MORE

Wakazi wa Mwanza Kupata Huduma za Vodacom Ndani ya Rocky City Mall

   Mgeni rasmi wa uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania, lililopo katika sehemu ya maduka makubwa(Rocky City Mall)jijini Mwanza, Mkuu...

READ MORE

Kariakoo Family Development Foundation Yazinduliwa

Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Kariakoo family Development Foundation Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi polisi mstaafu Jamal Rwambow akiogea machache na...

READ MORE