×

Michezo

Pablo Franco: Tulieni, Huyu Inonga Bado, Atawanyoosha

LICHA ya beki Mkongomani wa Simba, Henock Inonga Baka kuonyesha kiwango bora katika mchezo wao wa Jumamosi dhidi ya Yanga,...

READ MORE

Nabi: Kwa Yanga hii, Tunabeba Ubingwa

  Dar es Salaam: KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi ametamba kwa jinsi timu anavyoitengeneza, basi wanachukua ubingwa wa...

READ MORE

UCL: Man U Yapewa Atletico, PSG v Madrid

BAADA ya kupangwa kisha kufutwa tena, hii ndio droo ya mwisho (ya marudio) mechi za 16 Bora Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Uefa 16 Bora: Droo Yafutwa, Kurudiwa Tena

IKIWA ni saa chache baada ya droo ya kupanga michezo ya hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Barani...

READ MORE

Kocha Yanga Akosoa Mfumo wa Kocha Mpya Simba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amekosoa mfumo wa kocha mpya wa Simba, Pablo Franco kuwa ni wa tofauti na...

READ MORE

Nabi Akubali Muziki wa Manula

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mikono ya kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula iliwazuia kupata ushindi...

READ MORE

Yanga Yamchomoa Mudathir Yahya Azam FC

YANGA wamepania kukiongezea makali kikosi chao hasa eneo la kiungo ambapo inatajwa kuwa wamemalizana na kiungo Mudathir Yahya wa Azam...

READ MORE

MO Atoa Tsh Bilioni 2 Ujenzi Uwanja wa Simba

Mfanyabiashara ameahidi kuchangia TZS bilioni 2 katika ujenzi wa uwanja wa Klabu ya Simba. Amesema amepokea maoni ya watu wengi...

READ MORE

Yanga Wasikitishwa na Kauli za Mwenyekiti wa Simba

Uongozi wa Klabu ya Yanga umetoa taarifa ya kusikitishwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa wanachama wa klabu ya Simba,...

READ MORE

Makusu Awaita Simba, Yanga

SHAMBULIAJI wa zamani wa AS Vita na Orlando Pirates, Jean Marc Makusu Mundele, ameweka wazi kuvutiwa na timu za Simba...

READ MORE

Nabi Akabidhiwa Rungu Usajili Yanga

IKIWA zimebaki sikutatu kabla dirisha dogo la usajili hapa nchini halijafunguliwa, uongozi wa Yanga umefunguka kuwa katika kuhakikisha wanafanikisha mpango...

READ MORE

TFF Yaanika Kisa Cha Barbara Kuzuiwa Kwa Mkapa – Video

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limefafanua taarifa ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia kushuhudia...

READ MORE

FT: Simba 0-0 Yanga Ngoma Nzito

DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa Mkapa na ngoma kuwa nzito kwa timu zote ambapo zimegawana pointi mojamoja. Mpaka mwamuzi wa...

READ MORE

Kocha wa Chama: Yanga Inawafunga Simba

KOCHA Mkuu wa RS Berkane ya Morocco, Florent Ibenge, ameitabiria Yanga kuondoka na ushindi mbele ya Simba katika mchezo wa...

READ MORE

Senzo: Msiwe na presha, Tunachukua Pointi

MTENDAJI Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha, amewashusha presha mashabiki wa timu hiyo kuelekea kwenyemchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya...

READ MORE

Kuanzia Madrid Hadi Uingereza, Burudani Na Ushindi

Wikiendi bomba kabisa ya ushindi inaanzia kule Hispania, kwenye dabi ya Madrid, wakati Real Madrid anapovaana na Atletico Madrid. Hii...

READ MORE

Logo za GSM Zang’olewa Kwa Mkapa

HATIMAYE klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba SC na Shirikisho la soka Tanzania TFF wamefikia makubaliano ya pamoja baada ya...

READ MORE

Simba vs Yanga Giza Bado Nene

KUFUATIA Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kugomea mkutano na wanahabari wa kuelezea maandalizi ya mchezo wake dhidi ya Yanga uliopangwa...

READ MORE

Aliyebeti kwa Pesa za Bosi Zikaliwa Yamkuta

KIMEUAMA! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya raia wa Kenya, Robert M’munoru mwenye umri wa miaka 20 kutoka Kaunti ya...

READ MORE

Mangungu: Yanga Hii ni Kama Tunacheza na Timu ya Daraja la Kwanza Tu

KUELEKEA katika mchezo wa Derby ya Kariakoo, Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, amefunguka kuwa kwa namna alivyowatazama Yanga, anaamini Simba...

READ MORE

Simba Yagoma Kisa GSM – Video

UONGOZI wa klabu ya Simba kupitia kwa kitengo cha habari kinachoongozwa na Ally Shantri ‘Chico’ wamegoma kufanya kikao cha kocha...

READ MORE

Straika Yanga: Mbona Simba Wepesi Tu

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Yusuph Athuman, amesema kuwa kama watafanikiwa kujitoa kwa moyo wote katika mchezo dhidi ya Simba, basi...

READ MORE

Aucho: Simba Subirini Muziki

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Mganda, Khalid Aucho, amesema kuwa hataki kuuzungumzia mchezo wa Kariakoo Dabi na kikubwa yeye anataka kuonyesha...

READ MORE

Azam FC Yatoka Tamko Usajili wa Sure Boy Yanga

Uongozi wa Azam FC umetoa kauli kuhusu tetesi za Kiungo wa klabu hiyo Salum Abubakar ‘Suare Boy’ kuhusishwa na mpango...

READ MORE

Pele Alazwa Tena

Gwiji wa soka wa nchini Brazil, Edson Arantes do Nascimento ‘Pele’ amelazwa hospitalini kwa ajili ya matibabu ya uvimbe kwenye...

READ MORE

CAF Kufuta AFCON Mwezi Ujao?

Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (Caf), limekanusha uvumi kwamba Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwezi ujao linaweza...

READ MORE

Sala: Asingewa Ronaldo, Messi, Ningekuwa Mchezaji Bora

MOHAMMED Salah baada ya kufunga goli 20 na kutoa asisti za goli tisa katika michuano yote Pat Nevin amesema kama...

READ MORE

Mwamuzi Mtanzania Aanza Kuchezesha Soka England

MTANZANIA Ericson Temu amekuwa mwamuzi wa kwanza kutoka nchini Tanzania kuchezesha mchezo wa soka nchini England. Temu mwenye umri wa...

READ MORE

Man City, Chelsea, Liverpool Zatabiriwa Ubingwa UEFA

MKONGWE wa Manchester United, Rio Ferdinand ametaja timu tatu ambazo zinaweza kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa...

READ MORE

Suarez Amwaga Machozi Atletico Ikifuzu Uefa

ATLETICO Madrid ilibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Porto na kufanikiwa kufuzu kwenda hatua ya 16 boraya Ligi...

READ MORE

Rasmi, Yanga Yamfuata Mbadala wa Djigui Diarra

INASEMEKANA Yanga imemfuata rasmi kipa namba moja wa Mtibwa Sugar, Abuutwalib Mshery kwa ajili ya kumsajili katika dirisha dogo msimu...

READ MORE

Manji Amwaga Mabilioni Yanga

MWENYEKITI wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji ni kati ya majina manne yanayotajwa kuwa tayari kuwekeza mabilioni ya shilingi katika...

READ MORE

Sure Boy Mbadala wa Aucho Yanga

RASMI sasa kiungo mchezeshaji wa Azam FC, Salum Aboubakary ‘Sure Boy’ anatua Yanga kuwa mbadala wa Mganda, Khalid Aucho.  ...

READ MORE

Saido Aiomba Shoo ya Simba Jumamosi Kwa Mkapa

KIUNGOmshambuliaji wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ amesema kuwa anatamani kuanza katika mchezo unaofuata dhidi ya Simba huku akiweka wazi kuwa...

READ MORE

Diarra Ashusha Bonge la kipa Yanga

UPO uwezekano mkubwa wa Yanga kushusha kipa mwingine mwenye uwezo mkubwa kama Djigui Diarra raia wa Mali.Djigui alijiunga na Yanga...

READ MORE

Simba Haitaki Masihala Yajibu Mapigo Yanga

SIMBA haitaki masihala kabisa, ni baada ya kutangaza bonasi ya Sh 1Bil kuwapa wachezaji wao kama wakifanikiwa kuwafunga watani wao,...

READ MORE

Bosi Simba: Tulieni, Yanga SC Wanakufa

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’, amesema kuwa Yanga ni watoto wadogo kwa Simba...

READ MORE

Baba wa Dickson Job Afungukia Mwanaye Kurogwa Yanga

KATI ya mkoa ambao umebarikiwa vipaji vya soka basi ni Morogoro uliozalisha vipaji vingi katika Ligi Kuu Bara ndani ya...

READ MORE

Atletico Wakichafua, Watinga 16 Bora Kibabe

WAGUMU wa Atletico Madrid wameweza kufuzu hatua ya 16 Bora ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kuwafunga FC Porto...

READ MORE

Manara Alipuka Baada ya Simba Kugomea Mkataba wa GSM

KUFUATIA Klabu ya Simba kuugomea mkataba kati ya TFF na GSM Group wa kudhamini Ligi Kuu Tanzania Bara, hatimaye Msemaji...

READ MORE