×

Michezo

Emmannuel Okwi Atua Simba, Haji Manara Asema Dili Limetiki

Mshambuliaji Ibrahim Ajib yupo njiani kuelekea Yanga akitokea Simba, hiyo siyo habari nzuri kwa Wanasimba lakini kuna taarifa njema kwao....

READ MORE

Michael Wambura Achukua Fomu Ya Kuwania Makamu Rais Wa TFF

Michael Richard Wambura amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF)....

READ MORE

Julio: Aikata, Aifunua TFF Ya Malinzi, Asema Hawajui Mpira

KOCHA na mchezaji wa zamani wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye kwa sasa anaendelea na shughuli zake binafsi jijini Dar...

READ MORE

Roma, Mr Blue na Darassa Kuliamsha Dude Idd Mosi Dar Live

  Roma akiwa darasani anafundisha somo la hisabati. BAADA ya kufanya miujiza katika bonge la shoo la Nichane Nikuchane lililofanyika...

READ MORE

#Sportpesa: Makamu wa Rais Bi. Samia Mgeni rasmi mchezo wa Everton vs Gor Mahia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amekubali ombi la kuwa mgeni rasmi katika...

READ MORE

Curry Agoma Kwenda Ikulu ya Trump

MCHEZAJI wa Golden State Warriors, Stephen Curry amesema kama timu hiyo itaalikwa kwenye Ikulu ya Marekani (White House), baada ya...

READ MORE

Obama Amtumia Ujumbe Kevin Durant

MARA baada ya kushinda taji la NBA, Jumanne ya wiki hii, akiwa na timu yake Golden State Warriors, staa wa...

READ MORE

Umesikia Hii! Bocco Amemzuia Nyosso Kutua Simba SC

TIMU ya Kagera Sugar, juzi Jumatano ilifanya usajili wa wachezaji sita kwa mpigo akiwemo beki wa zamani wa Simba, Ashanti...

READ MORE

Simba Wamuwahi Niyonzima Airport

WAKATI Yanga wakimsubiria kiungo wao mchezeshaji, Haruna Niyonzima atue nchini kwa ajili ya kumuongezea mkataba watani wao wa Simba wenyewe...

READ MORE

Rasmi Ibrahim Ajibu Ni Mali Ya Yanga

Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajibu imefahamika kuwa sasa ni rasmi anajiunga na Yanga baada ya klabu yake ya sasa kushindwa...

READ MORE

Juma Nyosso Asaini Kagera Miaka Miwili

HATIMAYE beki mahiri wa zamani wa Ashanti, Simba na Mbeya City, Juma Said Nyosso amesaini mkataba wa miaka miwili wa...

READ MORE

Bocco: Nipo Simba, Nitaifunga Yanga SC

Ibrahim Mussa, Dar es Salaam, Championi Jumatano, Habari UONGOZI wa Simba, jana umetangaza rasmi kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Azam, John...

READ MORE

GS Warriors Wawaliza Cleveland 129 – 120, GS Warriors Wametwaa Ubingwa NBA

KEVIN DURANT alikuwa katika kilele cha umahiri wake kwa kuisaidia timu yake ya Golden State Warriors kutwaa ubingwa wa Ligi...

READ MORE

Kapombe, Manula rasmi miaka miwili Simba SC

Mwandishi Wetu | Dar es Salaam RASMI sasa wachezaji wa Azam, mlinzi Shomari Kapombe na kipa, Aishi Manula msimu ujao...

READ MORE

Niyonzima: Msihofu, Narudi Yanga SC

Wilbert Molandi| CHAMPIONI| Dar es Salaam KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, amewaambia maneno mazuri mashabiki wa timu hiyo,...

READ MORE

Kaseke aandaliwa mkataba Singida United

Wilbert Molandi | CHAMPIONI| Dar es salaam UONGOZI wa Singida United umemuandalia mkataba kiungo mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke kwa...

READ MORE

Milioni 40 Zamshusha Mbaraka Azam

Musa Mateja na Said Ally | CHAMPIONI JUMATATU IMETHIBITIKA kuwa Klabu ya Azam imetumia milioni 40 kwa ajili ya kuipiku...

READ MORE

Samatta: Uwanja Ulitubana, Tukashindwa Kucheza

Ibrahim Mussa| CHAMPIONI | Dar es salaam NAHODHA wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, amefunguka kuwa sababu ya kushindwa kuibuka na...

READ MORE

Pichaz + Video: Gor Mahia Wababe SportPesa Super Cup, Wamewafunga AFC Leopards Mabao 3-0

  KIKOSI cha Gor Mahia cha Kenya leo Jumapili kimefanikiwa kuibuka mabingwa wa michuano ya SportPesa Super Cup baada ya...

READ MORE

Fainali Sportpesa Super Cup Leo Dar …Global TV Online Tutakuwa Live

  Timu za Gor Mahia na AFC Leopards zinatarajia kukutana leo Jumampili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam,...

READ MORE

Samatta Apiga Bonge La Bao Lakini Taifa Stars Yabanwa Na Lesotho

Licha ya Mbwana Samatta kufunga bao la kiwango cha juu dhidi ya Lesotho bado halikutosha kuipa ushindi timu ya taifa,...

READ MORE

TFF Yakanusha Kuwatelekeza Timu Ya Vijana wa Serengeti Boys

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUNI 10, 2017 TAARIFA KUHUSU SERENGETI BOYS Kuna taarifa zimekuwa zikienea na kusambazwa kwenye mitandao...

READ MORE

Video: LeBron Akifanya Kazi ya Ziada Kuiokoa Cavaliers Dhidi ya Warriors

KWA sasa hakuna ubishi mchezaji bora zaidi katika mpira wa kikapu kuwa ni LeBron James wa Cleveland Cavaliers. Katika fainali...

READ MORE

Yanga: Uhakika Mbaraka Yusuph Anatua Jangwani

Sweetbert Lukonge na Musa Mateja | CHAMPIONI YANGA imesema ina uhakika wa kumsajili mshambuliaji wa Kagera Sugar, Mbaraka Yusuph na...

READ MORE

Mwambusi: Yanga Haikuwa Na Bahati Katika Sportpesa Super Cup

Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi amesema timu yake haikuwa na bahati kwenye michuano ya SportPesa Super Cup baada ya...

READ MORE

Samatta: Taifa Stars Ushindi Uhakika Leo

Ibrahim Mussa | CHAMPIONI | Dar es Salaam NAHODHA wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amesema kwa maandalizi waliyofanya wana uhakika...

READ MORE

Ni Mashemeji Derby Kesho Fainali SportPesa Super Cup

Wilbert Molandi | CHAMPIONI| Dar es Salaam FAINALI ya michuano ya SportPesa Super Cup inatarajiwa kuchezwa kesho Jumapili kwa Gor...

READ MORE

Messi, Cristiano Ronaldo Wanatesa Kwa Mikoko

Bugatti Veyron GSV. MASTAA wa soka katika nchi zilizoendelea ni kawaida kuwa na mishahara mikubwa, hali ambayo inawafanya baadhi yao...

READ MORE

Simba Yafanya Kufuru Kumsajili Emmanuel Okwi Kwa Dau la Dola 50,000

Na Mwandishi Wetu | Championi Ijumaa | Habari AKITUA tu nchini na kumalizana na Simba, mshambuliaji mwenye kasi na mwendo...

READ MORE

Himid Mao: Yanga Leteni Mkwanja Nisaini

Musa Mateja na Wilbert Molandi | CHAMPIONI KIUNGO mkabaji anayesifika kwa kucheza soka la nguvu, Himid Mao ‘Ninja’ ametamka kuwa...

READ MORE

Manji amponza Mkemi, Polisi Wamuokoa Asipigwe

Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Salum Mkemi, jana Alhamisi alikumbana na...

READ MORE

Yanga 2-4 AFC Leopard Nusu Fainali ya SportPesa Super Cup (Full Match)

SpotiHausi: Live Match Yanga Vs AFC Leopard (SportPesa Super Cup) Yanga wanaondolewa mashindanoni kwa penalti. Leopards wanapata penalti 4, Yanga...

READ MORE

VIDEO: Kocha wa Chelsea, Antonio Conte Ampiga Chini Diego Costa

Kocha wa mabingwa wa Ligi Kuu England, Antonio Conte amemuandikia ujumbe mshambuliaji wake, Diego Costa kuwa hamhitaji. Awali ilionekana Costa...

READ MORE

SpotiHausi Leo, Saa 8:00 Mchana, ni Yanga Vs AFC Leopard LIVE

#SpotiHausi ni kipindi cha #Michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi Wachambuzi wa michezo Wilbert Molandi, Philip Nkini watakuwa wakiichambua LIVE mechi...

READ MORE

Pichaz + Video: Warriors Yawachapa Cleveland 118 kwa 113 NBA, Usiku wa Kuamkia Leo (Game 3)

ZIKIWA zimebaki sekunde 45.3 kabla ya mchezo kumalizika katika ligi ya mpira wa kikapu (basketball) nchini Marekani, Kevin Durant wa...

READ MORE

Isco Fundi Anayetaka Kubaki Real Madrid

Madrid, Hispania | Championi Jumatano | Makala PAMOJA na kwamba Cristiano Ronaldo alipewa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Fainali ya...

READ MORE