×

Michezo

Sol Campbell: Beki Asili ya Jamaica Aliyeiweza Kazi na Kumpita Ilikuwa Kazi

JAMAA kacheza soka kwa miaka 20 huku akipata mafanikio makubwa, lakini kikubwa cha kumtofautisha na wengi ni kwamba Sol Campbell...

READ MORE

Yanga Sc Isidharau Kumlipa Ernie Brandts

Na BODI YA UHARIRI| CHAMPIONI JUMAMOSI| MICHEZO NA BURUDANI HIVI karibuni Yanga ililetewa taarifa ya kutakiwa kumlipa aliyekuwa kocha wake...

READ MORE

Muller The Machine! Mbaya wa Arsenal Anayetakiwa Man United

Na WAANDISHI WETU| CHAMPIONI JUMAMOSI| MICHEZO NA BURUDANI IKIWA na miaka 16 kwenye kikosi cha Bayern Munich, Thomas Muller ni...

READ MORE

Yanga Wafuzu Lakini Wakomaliwa na Wacomoro

Mwigizaji Ray akiwa na mashabiki wa Yanga wakicheki game. Mashabiki wakifuatilia mechi hiyo. Haji Mwinyi na wachezaji wenzake wa Yanga...

READ MORE

Kocha Afukuzwa kwa Kukataa Kuroga

  Na OMARY MDOSE| CHAMPIONI JUMAMOSI| HABARI KOCHA wa timu ya Mzimuni FC ya Sarawak mkoani Pwani, Ally Yusuf ‘Ostadh’,...

READ MORE

Mkude: Kila Anayekuja Mbele Yetu Tunamfyatua

Na SAID ALLY|CHAMPIONI JUMAMOSI| HABARI NAHODHA wa Simba, Jonas Mkude amesema kwamba hawaihofii timu yoyote watakayokutana nayo mbele yao na...

READ MORE

Yanga Mna Nafasi ya Kuishangaza Afrika Leo

BAADA ya kuifunga kwao mabao 5-1, Ngaya de MBE ya Comoro huko kwao, Yanga, wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya...

READ MORE

Pluijm: Yanga itafika mbali Afrika

STORI: Said Ally | CHAMPIONI JUMAMOSI | Dar es Salaam YANGA haijafanya mabadiliko makubwa katika kikosi chake na tayari imeanza...

READ MORE

Mwanjale Ashusha Presha Simba, Aanza Tizi

Na WILLBERT MOLANDI| CHAMPIONI IJUMAA| MICHEZO BEKI wa kati wa Simba, Method Mwanjale ameshusha presha katika kikosi cha timu yake...

READ MORE

Kotei: Yanga Wagumu Ila Watalainika Tu

STORI NA HADJA MGWAI| CHAMPIONI JUMAMOSI | KIUNGO wa Simba, James Kotei raia wa Ghana amesema kweli kwamba Yanga ina...

READ MORE

Kuliko Nguvu tu, Michezo Itumike Kupambana na Madawa ya Kulevya

Na SALEHE ALLY|CHAMPIONI IJUMAA| WACHAMBUZI KWA sasa ni suala la vita dhidi ya madawa ya kulevya ambayo inaongozwa na Mkuu...

READ MORE

Man United Ikiendelea Hivi Itatisha

Na WAANDISHI WETU| CHAMPIONI IJUMAA| MAKALA MANCHESTER United, jana ilikuwa uwanjani kukipiga dhidi ya St Etienne katika Europa League, ambapo...

READ MORE

Mnyama Amtafuna Lyon Taifa

Na WILLBERT MOLANDI| CHAMPIONI IJUMAA| MICHEZO TIMU ya Simba, jana Alhamisi ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya...

READ MORE

Mchezaji wa Yanga, Godfrey Bonny ‘Ndanje’ Afariki Dunia

Kiungo wa zamani wa Yanga, Godfrey Bonny maarufu kama Ndanje amefariki dunia katika Hospitali ya Makandana, Tukuyu mkoani Mbeya, baada...

READ MORE

Yanga Yaiandalia Simba Mabomu Mawili

Stori: Na Wilbert Molandi | CHAMPIONI | Dar es Salaam SIMBA na Yanga zinatarajiwa kukutana Februari 25, mwaka huu katika...

READ MORE

Kisa Yanga, Omog Awekwa Kikaangoni Simba

STORI: Khadija Mngwai | CHAMPIONI | Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog, yupo kwenye mtego mkali wa...

READ MORE

Simba Yalipa Kisasi cha 1-0 kwa African Lyon

MPIRA UMEKWISHA DAKIKA 2 ZA NYONGEZA Dk 89 Zimbwe anaingia vizuri lakini pasi yake inaokolewa na kuwa kona. Inapigwa hakuna...

READ MORE

Leicester Byebye, Tutaonana

Na WAANDISHI WETU| CHAMPIONI JUMATANO|MICHEZO NA BURUDANI LEICESTER City ndiyo ilikuwa timu tishio zaidi msimu uliopita, hakuna hata mmoja anayeweza...

READ MORE

Bale Arejea Mzigoni

GARETH Bale ameipa klabu yake pamoja na taifa lake matumaini kufuatia kurejea uwanjani kufanya mazoezi. Bale hajacheza tangu Novemba, mwaka...

READ MORE

Mkude Afungukia Hatma Yake Simba Fc

Na OMARY MDOSE| CHAMPIONI JUMATANO| HABARI/ TANGAZO BAADA ya kukosekana kwenye mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Bara, hatimaye nahodha...

READ MORE

Nape Uwe Kamanda, Tuwabebe Serengeti Boys

MAKALA: Saleh All | CHAMPIONI | Dar es Salaam BAADA ya timu ya taifa ya vijana chi­ni ya miaka 17,...

READ MORE

Pichaz: Yanga Walivyowasili Dar Wakitokea Comoro

    PICHA NA MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS Save

READ MORE

Global TV Live: Tazama Moja kwa Moja Mapokezi ya Yanga Wakitokea Comoro

Gari la Yanga likiwasili Uwanjani hapo kwa ajili ya kuwapokea Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara. Mwandishi wa Global...

READ MORE

Barcelona Kumkosa Staa Huyu kwa Msimu Mzima Baada ya Majeruhi

Mchezaji wa klabu ya Barcelona Alex Vidal atakua nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitano baada ya kupata majeraha...

READ MORE

Dakika 180 Zamuibua Mavugo Upya

STORI: NA MWANDISHI WETU | CHAMPIONI | DAR ES SALAAM LAUDIT Mavugo amegeuka gumzo kubwa kitaa kutokana na mabao yake...

READ MORE

Ngoma Akabidhiwa kwa Wahindi Aiwahi Simba SC

Wilbert Molandi |CHAMPIONI| Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa kutegemewa wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma, amebadilishiwa hospitali akokuwa anamtibiwa Mikocheni na...

READ MORE

Pasi ya Ajibu yamkuna Samatta, Atuma Salamu

STORI: Na Wilbert Molandi na Said Ally | CHAMPIONI PASI ya bao la dakika ya 68 iliyopigwa na Ibrahim Ajibu...

READ MORE

Yanga Waibabua 5 -1 Ngaya ya Comoro

  KLABU ya Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 5-1 dhidi ya Klabu ya Ngaya ya Visiwani Comoro. Magoli...

READ MORE

DC Ilala Azindua Kampeni ya Mazoezi

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema leo amezindua kampeni maalum ya kufanya mazoezi katika wilaya yake ambapo wananchi watakuwa...

READ MORE

Ndindi Anaonyesha Njia Kwa Samatta

| CHAMPIONI | LEICESTER, England KOCHA wa Leicester City, Claudio Ranieri alikubali kumuuza kiungo Ngolo Kante kwenda Chelsea akijua wazi...

READ MORE

LIGI KUU BARA: Simba Waichapa Prisons 3-0

KLABU ya Simba wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao la 3-0 dhidi ya Prisons ya Mbeya, mchezo ambao umefanyika kwenye...

READ MORE

Defoe Akubali Mtoto Bradley Kufia Mikono Mwake

SHABIKI wa Sunderland mtoto wa miaka mitano Bradly Lowery, aliomba muda utakapo timu mauti yamfike akiwa mikononi mwa Defoe. Madaktari ...

READ MORE

Prisons: Kichuya bora asicheze aisee

STORI: Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI | DAR ES SALAAM MIKWARA mingine siyo poa kabisa kwani mabeki wa Prisons wakiongozwa na...

READ MORE

Mabao 26 ya Yanga yawatisha Ngaya

STORI: Elie Djouma | CHAMPIONI | COMORO KWA rekodi Yanga imecheza na timu mbili za Comoro hadi sasa kwenye Ligi...

READ MORE

Yanga: Ushindi Lazima Comoro

STORI: Omary Mdose | CHAMPIONI | DAR ES SALAAM KOCHA wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina amesema ili kufikia malengo yao...

READ MORE

Simba Ikishinda, Yanga Ndiyo Basi Tena

STORI: Said Ally na Omary Mdose | CHAMPIONI | DAR ES SALAAM SIRIASI! Simba imesema ikishinda mechi yao ya leo...

READ MORE

Messi Anunua Nyumba ya Jirani Yake Baada ya Kukerwa na Kelele

Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (29) amenunua nyumba ya jirani yake katika eneo la Castelldefels, mjini Barcelona anapoishi kwa sababu...

READ MORE

Kagera Wamkumbuka David Burhani

NA MWANDISHI WETU | CHAMPIONI WIKI chache baada ya kufariki kwa kipa wa Kagera Sugar, David Burhan, timu hiyo juzi...

READ MORE