×

Michezo

Kessy aigomea Simba, ataka mil 60

Beki wa Simba, Hassan Ramadhan Kessy. Khadija Mngwai, Dar es Salaam BEKI wa Simba, Hassan Ramadhan Kessy, amegomea mkataba wa...

READ MORE

Picha: Arsenal hoi kwa Man U, yapigwa 3-2

Manchester United wameibuka kidedea kwa kuichapa Arsenal mabao 3-2 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England iliyopigwa Uwanja wa Old...

READ MORE

Vikosi vya Man U na Arsenal leo

Kikosi cha Manchester United leo: De Gea; Varela, Carrick, Blind, Rojo; Schneiderlin, Herrera; Lingard, Mata, Memphis; Rashford. Benchi: Romero, McNair,...

READ MORE

Picha 15: Cheka alivyomkalisha Mserbia

Bondia Francis Cheka ‘SMG’ jana usiku alifanikiwa kuiandikia Tanzania historia nyingine mpya baada ya kumchapa Muingereza, Geard Ajetovic katika pambano...

READ MORE

Ni Man U au Arsenal leo?

MASHABIKI wa soka duniani wanalisubiri kwa hamu pambano la leo la Ligi Kuu ya England kati ya Manchester United na...

READ MORE

JK azindua rasmi ligi ya mpira wa kikapu

 Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  DK. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Ligi ya Mpira wa kikapu ya vijana...

READ MORE

Simba kesho itashusha kikosi kamili dhidi ya Singida United

Wachezaji wa Yanga wakishangilia kwa pamoja. SIMBA haitaki mchezo kwani kesho Jumapili itashusha kikosi kamili kupambana na Singida United katika...

READ MORE

Wahujumu Yanga wakamatwa Manzese

Ofisa Habari wa Yanga, Jerry Muro. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas YANGA imewakamata watu wanne waliokuwa wakiihujumu timu hiyo kwa...

READ MORE

Tambwe: Kiiza cha mtoto

Mshambuliaji wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe. Wilbert Molandi, Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe ametaja sababu za...

READ MORE

Maguri bado anawaota Tambwe, Kiiza

Straika wa Stand United, Elias Maguri. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam. LICHA ya kuachwa kwa mabao sita na kinara wa...

READ MORE

Ajib: Yanga haijazuia ubingwa wa Simba SC

Straika wa Simba, Ibrahim Ajib. Ibrahim Mussa, Dar es Salaam STRAIKA wa Simba, Ibrahim Ajib, amewapoza mashabiki wa timu yake...

READ MORE

Gianni Infantino ndiye rais mpya wa FIFA

Rais mpya wa FIFA, Gianni Infantino ametoa ahadi ya kufanya kazi na wote na kurudisha heshima ya FIFA. Matokeo ya...

READ MORE

Haji Manara: Nampeleka Jerry Muro polisi

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara. Nicodemus Jonas,Dar es Salaam KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni zaidi ya upinzani wa jadi,...

READ MORE

Mdogo wa Ngoma Agongwa, Afariki Dunia

Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma. Wilbert Molandi na Said Ally MSHAMBULIAJI wa Yanga, Donald Ngoma anatarajiwa kuukosa mchezo wa kimataifa...

READ MORE

Cannavaro arejea kwa mkwara kilo 200

Beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Hans Mloli, Dar es Salaam BAADA ya beki na nahodha wa Yanga,...

READ MORE

Video: Tazama filamu fupi ya maisha ya Victor Wanyama

https://youtu.be/d9gBEnOkE7Q STAA wa Timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars pamoja na Timu ya Southampton, Victor Wanyama ameteka ‘headlines’ katika...

READ MORE

Mzungu Atamba Kumaliza Cheka Raundi ya Tano

Kutoka kushoto ni, Juma Msangi (promota wa mpambano huo), Ostaz Yassin Abdallah (Rais wa Chama cha ngumi za kulipwa Tanzani...

READ MORE

Bao la Simba lampa Tambwe bonge la rekodi

straika wa Yanga, Amissi Tambwe. Mohammed Mdose, Dar es Salaam BAO la straika wa Yanga, Amissi Tambwe alilolifunga wikiendi iliyopita...

READ MORE

Simba yamuweka jukwaani Niyonzima

Kiungo wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima. Said Ally na Omary Mdose KIUNGO wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, atakaa nje ya...

READ MORE

Kadi nyekundu yawapeleka Simba TFF

  Beki wa Simba, Abdi Banda. Said Ally, Dar es Salaam UONGOZI wa Simba umeliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania...

READ MORE

Beki Simba apigiwa simu za vitisho

Beki wa pembeni wa Simba, Hassan Kessy. Wilbert Molandi,  Dar es Salaam BEKI wa pembeni wa Simba, Hassan Kessy, wikiendi...

READ MORE

Pluijm ataja alichofanya Yanga wakashinda

Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Said Ally, Dar es Salaam KOCHA wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der...

READ MORE

Hata Malinzi wa BMT naye ni jibu tu, kabisa anastahili kutumbuliwa

  Na Saleh Ally SIKU chache zilizopita, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nnape Nnauye alitangaza kutengua utezi wa...

READ MORE

Yanga yaifunga Simba bao 2-0 Taifa

Mashabiki wa Yanga wakishangilia baada ya Amiss Tambwe kushinda bao la pili dakika ya 72 kipindi cha pili. Mashabiki wakiendelea...

READ MORE

Vikosi vinavyoanza leo Simba vs Yanga

Kikosi cha timu ya Yanga. Kikosi cha timu ya Simba SC.

READ MORE

Mwamuzi atishwa, afichwa Dar

Mwamuzi wa mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga, Jonesia Rukyaa. Sweetbert Lukonge, Dar es...

READ MORE

Global FC, KKKT Pwani watoka suluhu mechi ya kirafiki

    Kikosi cha Timu ya KKKT Usharika wa Pwani kinavyoonekana. Kikosi cha Timu ya Global FC. Mtanange ukiendelea. Timu...

READ MORE

Yanga Jeuri, Simba Kiburi

Wachezaji wa Yanga, Ngoma (kushoto) na Kamusoko (kulia). Waandishi Wetu, Dar es Salaam DAWA ya Jeuri ni Kiburi, Yanga na...

READ MORE

Kiiza: Mmempa Bossou? Kazi mnayo

Mshambuliaji wa timu ya Simba, Hamis Kiiza. Wilbert Molandi, Dar es Salaam STRAIKA wa Simba, Hamis Kiiza ndiye wa kwanza...

READ MORE

Jonesia Rukyaa Mambo 10 kuhusu refa wa Simba vs Yanga

Refa Jonesia Rukyaa wa Kagera. SIMBA na Yanga zinatarajiwa kukutana kesho Jumamosi katika Ligi Kuu Bara ambapo ni mchezo wa...

READ MORE

Kwa mziki huu! Mkitoka mkatambike

Wachezaji wa Yanga Niyonzima na Tambwe wakishangilia. Waandishi Wetu, Dar es Salaam RAPA wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego katika...

READ MORE

Kuelekea Simba, Yanga: Fedha za Manji zaivuruga Simba

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. Khadija Mngwai, Dar es Salaam IKIWA imebakia siku moja mechi ya watani wa jadi, Simba...

READ MORE

Cannavaro mmh! Azua mshangao

Beki tegemeo, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Suleiman Hassan, Pemba LICHA ya Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm kujaribu kumshawishi...

READ MORE

Barua jahara kwa mwamuzi Jonesia

Jonesia Rukiyaa. Kwako sister Jonesia Rukiyaa, Najua wewe ndiye umepata nafasi nyingine muhimu ya kuchezesha mechi kubwa ya watani, yaani...

READ MORE

Jenesia apewa Yanga vs Simba

Mwamuzi Jonesia Rukyaa (28)  kuwa ndiye atakayezihukumu Yanga na Simba  Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SIMBA na Yanga, Jumamosi hii...

READ MORE

Chelsea hoi kwa PSG

Edinson Cavani (kulia) akishangilia pamoja na David Luiz baada ya kuifungia timu yake ya Paris Saint-Germain bao la pili dakika...

READ MORE

Kadi za Kiiza, Juuko zaivuruga kambi Yanga

Mchezaji wa Simba, Hamisi Kiiza. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam TIMU za Simba na Yanga zitashuka uwanjani, Jumamosi hii kuonyeshana...

READ MORE