The House of Favourite Newspapers

Kinachoendelea Kwenye Msiba wa Mke Mdogo wa Mzee Yusufu

0

Marehemu Bi Chiku, ambaye alikuwa mke mdogo wa Mzee Yusuf.

ALIYEKUWA mke mdogo wa Mzee Yusufu, aitwaye Bi Chiku, alifariki usiku wa kuamkia leo wakati akijifungua katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam ambapo pia mtoto alifariki.   Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kariakoo Mtaa wa Livingstone ambapo atazikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini hapa.

Inna Lilahi Wainna Ilaihi Raajioun!

Waombolezaji mbalimbali wakiwa na nyuso za huzuni nyumbani kwa marehemu.

Mzee Yusufu (katikati) akiwa ameubeba mwili wa mtoto wake aliyefariki,   Kulia ni mmoja wa wakurugenzi wa Jahazi Modern Taarab na Meneja wa Burudani wa Ukumbi wa Dar Live, Juma Mbizo.

Waombolezaji wakielekea katika msiba Mtaa wa Livingstone, Kariakoo.

Waombolezaji mbalimbali wakiwa msibani Kariakoo.

(PICHA NA GLOBAL TV ONLINE)

Leave A Reply