×

Yanga Ina Presha ya Ubingwa

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuna presha kubwa katika kusaka ushindi uwanjani ambao utawapa ubingwa kutokana na kila...

READ MORE

Itel A58 Yawa Gumzo Ni Kipekee Zaidi

Kampuni ya simu za mkononi ya itel imeachia smartphone mpya  inayotoka kwenye kizazi cha “A” Series ambayo ni A58. Taarifa...

READ MORE

Gigy: Hawajui Maisha Hao

MWANAMAMA mtata kunako Bongo Flevani, Gift Stanford almaarufu Gigy Money, anasema kuwa, asilimia kubwa ya watu wanaokesha kumsema vibaya mitandaoni...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Februari 21, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 21, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Babu Tale, Salome Makamba Wazungumzia Hali ya Prof. Jay

  Mbunge wa Morogoro Vijijini, Hamisi Shaban Taletale ambao wapo katika Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo...

READ MORE

JNIA Terminal II Kukarabatiwa

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali imetia saini mkataba wa makubaliano ya ukarabati na maboresho ya uwanja wa ndege wa...

READ MORE

Malkia Elizabeth II Akutwa na Covid-19

KASRI  la Buckingham limethibitisha kuwa Malkia wa Uingereza Elizabeth II amebainika kuugua ugonjwa wa  Covid- 19  leo Februari 20, 222...

READ MORE

Sakho, Banda Wampa Jeuri Pablo Simba

 KUREJEA kwa Pape Ousmane Sakho ambaye aliumia katika mchezo dhidi ya ASEC Mimosas na kuimarika kwa kiwango cha winga Peter...

READ MORE

Mapokezi Ya Rais Samia Akitokea Ubelgiji (Picha +Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anawasili nchini kutoka Ubelgiji, Leo Februari 20, 2022 baada ya...

READ MORE

Aliyerudisha Begi Lenye Mamilioni Apewa Tuzo

MKULIMA mmoja nchini Benin, Baraka Amidou (37), amepewa tuzo ya heshima kutoka kwa mamlaka ya nchi yake, baada ya kukabidhi...

READ MORE

Tanzania Yashika Nafasi ya 21 Unafuu wa Kununua Gb 1

MAMLAKA   ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema Tanzania ni moja kati ya Nchi 155 Duniani ambazo Intanenti yake ni gharama nafuu....

READ MORE

Uwoya: Simlei Mwanangu Krish Kimayai

IRENE Uwoya ni mmoja wa mastaa wakubwa wa Bongo Movies anayeaminika kuwa na mkwanja mrefu ambaye anasema kuwa, pamoja na...

READ MORE

Majaliwa Aongeza Siku Saba Uchunguzi wa Mauaji

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameridhia kuongeza muda wa siku saba kwa kamati maalum iliyopewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika Mtwara...

READ MORE

Kumbe Azam Fc Bado Sana

AZAM inakamata nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara lakini kocha wake, Abdi Hamid Moalin, amesema bado hajaipata...

READ MORE

John Bocco Awatuliza Wanasimba

JOHN Bocco, Nahodha wa Simba, amesema hawatawaangusha Watanzania kwenye mashindano ya kimataifakwa kuwa wapo vizuri na watapambana bila kuchoka. Simba...

READ MORE

Mayele Apewa Mbinu Mpya Yanga

KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi raia...

READ MORE

Diamond Platnumz – Gidi (Official Music Video)

 SUPASTAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul “Diamond Platnumz” leo Feb 19, 2022 ameachia video ya wimbo wake wa Gidi.

READ MORE

Vigogo Simba Wapandia Dau Pointi Sita CAF

SIMBA SC wakiwa wanashuka uwanjani usiku wa leo kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gendarmerie ya...

READ MORE

Utoaji wa Namba Kilimanjaro Marathon Waanza kwa Kishindo

MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam walijitokeza katika viwanja vya Mlimani City mwishoni mwa wiki kuchukua namba...

READ MORE

Zuchu Amuonea Aibu Mondi

PAMOJA na kukanusha kwamba wao si wapenzi, lakini ishara nyingi zinaonesha vingine baina ya mastaa wawili wa muziki wanaowika zaidi...

READ MORE