×

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 9, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 9, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Rais Samia Afichua Siri ya Uhuru na Mapinduzi ya Zanzibar

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Uhuru wa Tanganyika ulikuwa chachu na mchango muhimu katika kuwezesha mapinduzi matukufu ya Zanzibar ya...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Taifa, Hotuba Maalum Leo Ikulu Dar – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Disemba 8, 2021 amehutubia taifa saa 3 kamili usiku,...

READ MORE

Amuua Mchumba Wake, Naye Ajinyonga

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Mwango Nzioka mwenye umri wa miaka 30 aliyekuwa akifanya kazi ya kuendesha bodaboda, amemuua...

READ MORE

Manji Amwaga Mabilioni Yanga

MWENYEKITI wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji ni kati ya majina manne yanayotajwa kuwa tayari kuwekeza mabilioni ya shilingi katika...

READ MORE

Scholz Kansela Mpya wa Ujerumani , Aapishwa

Olaf Scholz ameapishwa kama Kansela mpya wa Ujerumani, na kuhitimisha miaka 16 ya kihistoria ya Angela Merkel kama kiongozi. Alipigiwa kura...

READ MORE

Nyumba ya Mchungaji Yachomwa Moto Kisa Maiti Kukutwa Ndani

VIJANA wenye hasira kali wameichoma moto nyumba ya mchungaji wa kanisa mjini Adebun huko Ado-Ekiti nchini Nigeria baada ya mtoto...

READ MORE

Sure Boy Mbadala wa Aucho Yanga

RASMI sasa kiungo mchezeshaji wa Azam FC, Salum Aboubakary ‘Sure Boy’ anatua Yanga kuwa mbadala wa Mganda, Khalid Aucho.  ...

READ MORE

Lissu Afutiwa Kesi Zote za Uchochezi, Atoa Masharti Kurejea

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mahakama, wamefuta kesi zote za uchochezi zilizokuwa zikimkabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu katika...

READ MORE

Afariki Kwa Kupigwa na Radi Akizini na Mchepuko

Mkazi wa Kijiji cha Masweya Kata ya Mtunduru Wilaya ya Ikungi, Vaileth Hassan Mtipa (32) amefariki dunia baada ya kupigwa...

READ MORE

Auawa kwa Kupigwa Risasi Kagera

MTU mmoja amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika vurugu zilizotokea kati ya wakulima na walinzi wa wawekezaji wa mifugo...

READ MORE

Rais wa Zamani Comoro Aomba Msaada Tanzania

Rais wa zamani wa Comoro, Ahmed Abdallah Sambi hivi karibuni alimuandikia barua rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia...

READ MORE

Kenyatta Mgeni Rasmi Sherehe za Uhuru TZ

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya siku mbili nchini Tanzania kuanzia kesho, Desemba 9 ambapo atakuwa...

READ MORE

Saido Aiomba Shoo ya Simba Jumamosi Kwa Mkapa

KIUNGOmshambuliaji wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ amesema kuwa anatamani kuanza katika mchezo unaofuata dhidi ya Simba huku akiweka wazi kuwa...

READ MORE

Rais Samia Kuhutubia Taifa Saa 3:00 Usiku

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumatano 8, 2021 saa 3:00 usiku, atalihutubia taifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari....

READ MORE

Mabilioni Ya Diamond Yashtua, Wolper Hajui Umri Wake | HOTPOT-Video

KARIBU utazame kipindi cha ‘HOTPOT’ kinachokujia kila siku kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa saa 9 kamili Alasiri, kilichosheheni stori za mastaa...

READ MORE

Chongolo: Upatikanaji wa Maji Mjini ni 86% – Video

KATIBU  Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amesema kwamba baada ya miaka 60 ya Uhuru, upatikanaji wa maji...

READ MORE

Huduma ya Kufanya Mapenzi Kwenye Ndege Tsh Mil 2

Kampuni ya ndege binafsi ya nchini Marekani ya Love Cloud imeanza kutoa huduma kwa wapenzi wanaohitaji kushiriki tendo la ndoa...

READ MORE

Mjukuu Amkatakata Bibi Yake kwa Shoka na Kumuua

Kijana mwenye matatizo ya akili, Steve Olumbe amemvamia, kumkatakata kwa mapanga na shoka kisha kumuua bibi yake, Priscilla Were mwenye...

READ MORE