×

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

NBC Yatoa Saruji Mifuko 920, Madawati100 Kuboresha Elimu Mara, Mtwara

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa msaada wa mifuko ya saruji 920 (sawa na tani 46) yenye thamani ya...

READ MORE

Rais Museveni Afanya Ziara Bandari ya Dar

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Museveni amefanya ziara katika Bandari ya Dar Es Salaam na Ujenzi wa Reli ya...

READ MORE

Senene Kuongezwa Kwenye Orodha ya Huduma ya Vyakula Kwenye Ndege

Baada ya kusambaa kwa video inayomuonesha mchuuzi wa Senene aliyekuwa akiuza bidhaa zake ndani ya Ndege ya Shirika la Ndege...

READ MORE

Dkt.Abbasi Awataka Wasanii Kuipa Heshima Tasnia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, amewataka wasanii nchini kushiriki kuiendesha tasnia kwa weledi,...

READ MORE

Jukwaa La Taifa La Wanawake Wanaoishi Na Virusi Vya UKIMWI Lazinduliwa

Baraza la Watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania ( NACOPHA) leo limezindua Jukwaa la Taifa la Wanawake wanaoishi na...

READ MORE

Simba Yaipiga 3-0 Red Arrows Uwanja Wa Mkapa Dar – (PICHA +Video)

KIKOSI cha Simba kimeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Red Arrows kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa...

READ MORE

Mfumuko wa Bei… Wananchi Wapaza Sauti Mbele Ya Mbunge Shigongo-Video

Kufuatia kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali hapa nchini wananchi wa kata ya Bukokwa, Nyehunge na Nyanzenda wa jimbo la...

READ MORE

Rais Mwinyi Atoa Pole Kwa Waliofariki Kwa Kula Samaki Kasa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Novemba 28, 2021 ametoa salamu za...

READ MORE

Video: Rais Museveni Atembelea Kituo cha Reli ya SGR DAR

RAIS YOWERI MUSEVENI ATEMBELEA KITUO CHA RELI YA SGR DAR ES SALAAM…

READ MORE

Kocha Simba Atamba Kuwapiga Red Arrows Mapema Leo

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba SC, amesema ana dakika 180 za ushindi mbele ya Red Arrows ya Zambia ili...

READ MORE

Majaliwa: Rais Samia Amedhamiria Kulinda Na Kuimarisha Afya Za Watanzania

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia ipo makini na inaendelea kuboresha...

READ MORE

Kikosi cha Yanga Chatua Mbeya Leo

Kikosi cha Yanga leo Novemba 28, 2021 kimefika salama mkoani Mbeya tayari kwa maandalizi ya mchezo wao wa Ligi Kuu...

READ MORE

Video: Rais Samia Akifunga kongamano la Biashara

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Uganda Yoweri Kaguta Museveni...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi WFP, Programme Policy Officer

WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles. Selection of staff is made on...

READ MORE

Wakusanya Ushuru wa Maegesho Mkoa wa Dar Wafundwa

  Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) leo tarehe 28 Novemba, 2021 umeendesha Semina ya kuwajengea uwezo Wakusanyaji...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumapili, Novemba 28, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 28, 26021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Ateua Viongozi Mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 27, 2021 amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali kama...

READ MORE

Performance Ya Kwanza Ya P Square Nchini Nigeria Baada Ya Maelewano

  Kundi la muziki la P-Square kutoka Nigeria sasa limerejea rasmi, hii ni baada ya kutangaza show yao ya kwanza...

READ MORE